Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Nyamazisha bakuli hilo.

Si mlisema wanatakiwa wasitoke milele????

Tuacheni tunaandaa sherehe maalum Zanzibar huku.
 
Hili ni wengwe tu. Haki gani unaoizungumzia wewe.

Shukran Rais wangu Mama Samia Suluhu Hassan.

Madai ya Muungano yapo pale pale.
 
Allahu Akbar! ALLAH Akbar! Allahu Akbar! Alshukrulillah!.
Mungu ndie mkubwa! Yeye ndio anaepaswa kushukuriwa!
 
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Haki itadaiwa kwa njia zozote hata kama watafsiri hatua hiyo ni vurugu...

Na haya mambo asikudanganye mtu, chanzo chake kikuu ni MUUNGANO tu...

Na kauli au viapo batili vya viongozi vya "...nitaulinda muungano kwa gharama zozote..." zitaanza kuwatokea puani wenyewe

Hakuna kitu kama hicho tena. Utafika wakati na wakati huo umekwisha kufika wa gharama hizo kulipwa na viongozi wenyewe wanaojiapiza kijinga na kipumbavu namna ile....!
 
Hili swala Ni sensitive Sana kwa nchi yetu lakini watu wanalichukulia kisiasa lakini huko mbeleni hawa masheikh wataleta shida sana.kwa Yale mahubili yao ya kuhamadisha vulugu halafu Leo wanaachiwa huli.Tena ikizingatiwa Mambo yaliyopo Msumbiji sijui nini kitatokea.Labda watakua monitored by government nje ya hapo hawa jamaa sio watu wazuri kwa mstakabali wa nchi yetu.N mawazo yangu Wala Sina chili nao.
 
Hili swala Ni sensitive Sana kwa nchi yetu lakini watu wanalichukulia kisiasa lakini huko mbeleni hawa masheikh wataleta shida sana.kwa Yale mahubili yao ya kuhamadisha vulugu halafu Leo wanaachiwa huli.Tena ikizingatiwa Mambo yaliyopo Msumbiji sijui nini kitatokea.Labda watakua monitored by government nje ya hapo hawa jamaa sio watu wazuri kwa mstakabali wa nchi yetu.N mawazo yangu Wala Sina chili nao.
 
Kiusalama hii imekaaje?
Kiusalama wewe unatakiwa uende mahabusu ukakae 7 solid years then uachiwe baada ya hiyo miaka kwa kua ushahidi utakua hakuna.
Bladful, uzalendo wa kitanzania.

Nyie ndio mlikua mmefunga shughuli za kisiasa kwa vyama vya upinzani mkidai sababu za ki integensia, sababu za ki usalama bludful kumbe mnakula keki ya kitaifa kimya kimya.
 
Unajihisi hisi tu. Unajua kuwa Chadema ndio walisimama mstari wa mbele kutaka haki itendeke kwa mashekhe wote nchini waliotiwa ndani kwa kesi za kubambikia.

wakati huo nyie wachawi mnashabikia mauwaji na mateso kwa watu wengine. Bahati nzuri pioneer wa uonevu sasa akapigwa adhabu ya kifo mazima.
 
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Ikiwa mahakama imewaona hawana hatia ,iweje wewe useme hivyo?
Kumwagia mtu Tindikali ni hatia ,kama wewe unao ushahidi si uende ukaweke pingamizi.!
Mzushi mkubwa weee!
Ushindwe na ulegee kwa jina la aliye Kuumba
 
Bila jiwe kufa haki isingetendeka. Mungu ni mwema
 
Kiusalama wewe unatakiwa uende mahabusu ukakae 7 solid years then uachiwe baada ya hiyo miaka kwa kua ushahidi utakua hakuna.
Bladful.

Nyie ndio mlikua mmefunga shughuli za kisiasa kwa vyama vya upinzani mkidai sababu za ki integensia, sababu za ki usalama bludful kumbe mnakula keki ya kitaifa kimya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…