Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Visit hii web upate ukweli wa uislam wako answering-islam.org
Quraani ni moja kama alivyo Mungu mmoja, nakwambia ukikuta inantofauti na nyingine ujue fake, tunajua vita mnazo zitangaza kuihujumu but will remain intact always till the end, anailinda mwenyewe aloi shusha, chezeeni bibilia sio Quraani, ilisha kua memorized na majority ya waumini, hizozenu zitabaki kua feki feki feki.
 
Yaelekea hujui kusoma na kuelewa wewe.

Nimekuwekea Quran zilizopo duniani katika nchi mbalimbali mpaka sasa na iliyo general zaidi ni ''Hafs''

Hebu pinga kwa hoja sio kwa kujipa matumaini.

Weka hapa hiyo Quran iliyo moja duniani namimi nikuwekee utofauti hapahapa.

Karibu.
 

Kama hujui ki2 kaa kimya
 
Soma Dini yasome Maisha ya Mtume Muhammad utaona namna alivyowaathiri watu Kwa tabia zake njema

Wao Wana Dini yao nawe una Dini yako waonyeshe uzuri wa Dini yako wavutiwe nayo
 
Acha uongo,

Dini yetu ya Kikristo aimtambui mohamedi. Angalau shetani hua anazungumziwa lakini sio huyo dogo wanaosema mtume...sjui katumwa na nani?
 
Serikali haina dini.
 
Kama hujui ki2 kaa kimya
Acha kiherehere mama, usidandie treni kwa mbele

Nimekuwekeeni aina za vitabu vya Quran kwa versions tofauti.

Weka hapa hiyo version moja peke yake mimi nikuwekee tofauti ya maandishi kwenye hizo Quran hapo.
 
Soma Dini yasome Maisha ya Mtume Muhammad utaona namna alivyowaathiri watu Kwa tabia zake njema

Wao Wana Dini yao nawe una Dini yako waonyeshe uzuri wa Dini yako wavutiwe nayo
Wewe ndio MUISLAM, sio hawa wajaa njaa za wali wa manjano.
 
Tusibishane sana, Tujadiliane tujifunze

Wekeni hapa hiyo Quran moja inayotumika dunia nzima, Mimi niwaoneshe matoleo tofauti kama nilivyoonesha hapo.

Nitaonesha mpaka tofauti katika maandishi ya ndani.

Dalmine Jibala
 
Acha uongo,

Dini yetu ya Kikristo aimtambui mohamedi. Angalau shetani hua anazungumziwa lakini sio huyo dogo wanaosema mtume...sjui katumwa na nani?
Kanisa lilituma mtu aende Uarabuni kueneza imani Katoliki. Kufika huko akaasi na kuanza kufanya yake. Kanisa kuona tabu likaanzisha Agano Jipya ili kipingana na aliyetumwa.

Uthibisho wa hili ni mfanano wa maandiko Agano la Kale na Kitabu kile na matendo kadhaa ya kiimani mfano mfungo n.k.
 
Hivi unajua misri, syria, iraq, algeria, gaza,, hazikuwa high muslim populated?,
Nenda sasa ugoogle, ISLAMISATION,,
so ulaya 2050 itakuwa si hii ya leo[emoji134][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…