Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bin Mwamedi punguza jazba, nawewe umeshawekewa majini au Maruani?
 
Ila mbona binaadamu tunasaidiana?
Swali lako ni muhimu sana, japo likikosa JAWABU sahihi washirikina watapata kichochoro Cha kuhalalisha ushirikina wao.
Ni kweli Allaah ametumrisha kila tunaposwali tuseme
katika Aya ya 5 ya suuratul faatiha:
{ إِيَّاكَ نَعۡبُدُ وَإِيَّاكَ نَسۡتَعِينُ }
"Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada."


Lakini ni Allaah huyohuyo aliyesema katika Aya ya 2 ya suuratul maaidah:
وَتَعَاوَنُواْ عَلَى ٱلۡبِرِّ وَٱلتَّقۡوَىٰۖ وَلَا تَعَاوَنُواْ عَلَى ٱلۡإِثۡمِ" وَٱلۡعُدۡوَٰنِۚ
" Na saidianeni katika wema na uchamngu. Wala msisaidiane katika dhambi na uadui."
Aya 2 hizi hazipungani na maelezo yake kama walivyoeleza wanachuoni ni kama ifuatavyo;.
1️⃣ Kumuomba msaada binadamu mwenzio anayeendelea kuishi ( sio mfu, maiti, marehemu )
katika jambo ambalo lipo katika uwezo wake wa kibinaadamu kama kukusaidia au kukukopesha pesa, kukubebea mzigo, kupeleka ujumbe fulani kwa binadamu wengine, kukutibu ugonjwa ulionao kama anayo elimu ya matibabu ( sio kuonyesha! Daktari anatibu, Allaah anaponyesha akitaka ) kusaidiana huku ni HALALI na ndio kusudio la Aya ya pili katika suuratul Maaidah.
2️⃣. Kumuomba msaada binadamu mwenzio ambayo yapo nje ya uwezo wa kibinadamu kama kuleta mvua, kuotesha mimea, kuponyesha maradhi ( sio kutibu!, daktari anatibu , Allaah anaponyesha akitaka )
kufufua wafu na mengineyo yaliyopo nje ya uwezo wa binadamu katika hali ya kawaida kusaidiana huku ni HARAMU.
3️⃣. KUWAOMBA MSAADA WATU WALIOKUFA HATA KAMA NI MITUME NA MANABII NI HARAMU.Wale waislamu wanaodai kufanya kisomo cha Albadiri kisomo hicho ni haramu kwa sababu huwa wanawaomba wafuasi wa Mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم waliopigana vita pamoja na mtume katika eneo maalumu linaloitwa Badru.
Kwahiyo ukisikia kisomo cha Albadiri ni KUWAOMBA MASHUJAA WA VITA VYA BADRU. HARAMU.

4️⃣. Kuwaomba viumbe wasioonekana kwa macho ya kawaida kama malaika , majini na mashetani ( majini waovu ) pia ni HARAMU.
 
Post ya kipuuzi kabisa👆 kuwahi kutokea JF.
Ingekuwa umeandikwa uongo hapo ungeeleweka, lakini kumewekwa taarifa ili wananchi wafahamu kinachoendelea nchini na wapate wasaa wa kutoa maoni yao wewe unaingiza siasa. Kama uko kundi la hao mashehe ulitamani hiyo iwe siri baina yenu peke yenu basi ndiyo ujue na sie tumebahatika kuyafahamu luckily kupitia humu janvini otherwise tusingeyajua haya ambayo seriously ni muhimu kuyajua ili tuwafahamu vizuri hao mashehe, taasisi yao na misimamo yao kama viongozi wa imani(dini) au pia unaweza usiwe miongoni mwao ila ukawa ni mpambe au shabiki au chawa wa bibi Chura-Kiziwi hivyo haya ya mashehe-chawa ulitamani yasijadiliwe kwa kuwa unajua kwamba kwanza ni udini(ambao hata CCM wanadai wanaupiga vita) ambao unaleta mpasuko katika jamii na pia huyo bibi ni aibu ameshirikishwa kwenye shirki.
 
Mitazamo tofauti na uelewa tofauti pia !
Naendelea kusisitiza kwamba hii itaenda kuwagawa watu wasiwe kitu kimoja katika kufanya maamuzi mwisho wa siku wanufaika siku zote wanafahamika ni wale wale tu !

Watu watasema ni bora wale wale wetu tuliowazoea miaka yote !
Na ndio hasa nia ya waleta mada za Udini Udini kama hizi 😳
 
Usidanganye watu kuwa eti nchi za kiislam ni tajiri, ni uwongo mkubwa.


Soma hapo chini, labda utaijiwa na akili:

Is Yemen a rich or poor country?

Despite possessing significant oil and gas resources and a considerable amount of agriculturally productive land, Yemen remains one of the poorest of the world's low-income countries. In 2018, more than 80 percent (2018) of the population lived in poverty.

Does Lebanon have a good economy?

Lebanon's economic and financial crisis ranks among the worst economic crises globally since the mid-nineteenth century
Ametaja na malaika si majini tu pekee yake.
Malaika hawashikamani na majini. Kiimani, hata ukimwomba Mungu, halafu ukamwunganisha katika maombi na shetani, atakuacha na shetani wako. Ni sawa utangaze kuomba msaada kutoka kwa majambazi na watu wema, watu wema watakuacha na majambazi yako.

Malaika hawasaidiani na mashetani katika utendaji wao.
 
Rushwa hupofusha macho.
 
Hao mashehe sipendi kuamini kuwa labda mh Rais kawaambia waseme hayo waliyoyasema.
Kinachoonekana KWA KUJIPENDEKEZA ILI WAONGEZEWE MKATE WAO WANAOPEWA MARA KWA MARA!, wanemuomba au kumpa taarifa mheshimiwa rais kwamba wanataka wamfanyie dua Mungu amlinde yeye na serikali yake dhidi ya maadui.
Mh Rais ktk hali ya kawaida hata angekuwa wa chadema asingekataa ombi hili. Jambo hili msilihukumu kwamba ni udini ndani ya serikali Moja kwa moja bali lichukulieni kuwa ni jambo ambalo limefanywa n viongozi wa taasisi inayoitwa bakwata ambao wanapalilia maslahi yao ndani ya serikali iliyopo madarakani.
Siku yoyote msije kushangaa KKKT au kanisa lolote jingine na wao wakaandaa maombi ya kumuombea mama Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Taasisi za kidini ambazo zinapokea ruzuku za mabilioni ya pesa za walipa Kodi ni nyingi na ushahidi upo ila HAWA BAKWATA WANAJIPENDEKEZA KUPITA KIASI.
Mwaka jana nilihudhuria maadhimisho ya siku ya kansa katika hospitali ya KCMC Moshi ambapo mgeninrasmi alikuwa RC wa Kilimanjaro mh Nurudini Babu.
Katika taarifa mkurugenzi wa hospitali ya KCMC alieleza mabilioni ya pesa alizotoa mama Samia na na mabilioni mengine ambayo ameahidi kutoa kwa ajili ya kuboresha kitengo Cha saratani Cha KCMC kwa vifaa na miundombinu pesa nyingi sana ambayo Nina uhakika BAKWATA hawajawahi pewa hata robo yake kwakuwa HAWANA MIPANGO WALA MALENGO ZAIDI YA KUTANGAZA MWEZI NA SHEREHE ZA MAULIDI.
Taasisi za kidini zinazopata pesa toka serikalini ni nyingi sana hasa makanisa na miradi na taasisi za makanisa
ILA HAWA BAKWATA ULIMBUKENI WAO NDIO UNAWAFANYA WAFANYE VISA VYA AJABU KAMA VINAVYOONEKANA KWENYE HIYO VIDEO.
 
Haaa maskini wanamchora mama samia na lait angelijua hizi ndo dalili zenyewe kwamba hatashinda
 
Uislamu ni UPUUZI.
 
Dahaaaa! Pole Mama Samia,umeruuhusu hii nchi kuwa ya kidini kwa ajili ya madaraka. Unaposema siasa isicchangaywe na dini mnamaanisha nini?
Sawa ,ebu ona atakapotokea mkristo kugombea, wakristo nao waitishe maombi huyo muumini mwenzao ashinde. Hapo mmoja asiposhinda vurugu za kutuibia kura zitaanza kusemwa misikitini na makanisani .
Toa tamko la kukemea hii tabia ya udinni.
Hizo pesa unazomwaga misikitini na makanisani zitaleta vita ambayo police hawataweza kuzuia
 
Kwhy alichofanya Samia ndo mara ya kwnz kutokea na kufanya yeye?..wagalatia mtaacha lini uzushi?..kabla ya kwnd umoja wa mataifa Nyerere hakuombewa na mashekhe bagamoyo?..kwa nini hakwnd kanisani mkalaumu?
 
Mbona wewe unamuabudu Allah wa waarabu?
Wewe ni miongoni mwa makabila ya waarabu?
Hapo ulipo bila lugha ya kiarabu hutoboi
Ona na hii matade nyingine unafikiri mm ni mtumwa wa fikra kama wewe,
Waislamu wa bongo bwana mnavyojua kutetea mila za jamii nyingine mpo vizur,hapo umeshindwa kusema tuu hao sio waislamu kwasababu wanajulikana ndio viongozi wenu,ila ingekua wale ndugu zenu wacheza vigodoro hakika ungesema wale sio waislamu
 
Bin Mwamedi punguza jazba, nawewe umeshawekewa majini au Maruani?
Hiyo ndo laana yenu kamwe haitowaacha mmeweza kwa manabii mtashndwa vipi kwa binadamu?
Juzi tuu hapa Papa Francis kaleta uzushi na kiroja cha ajabu eti kaongea na mungu awabariki LGBT...bado mtasema na mnaamini lkn hamchoki kutafuta uzushi juu ya uislamu mara ugaidi mara majini alimradi litakokupendeza...
 
H
Hebu njoo mada husika hawa viongozi wa dini kuwaombea Marais ni Samia ndo wa kwnz kuombewa?
 
Wakifanya wao ni miujiza ila tukifanya sisi waafrika ni ushirikina na uchawi,sawa mkuu umeeleweka na watumwa wenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…