Bin Mwamedi punguza jazba, nawewe umeshawekewa majini au Maruani?Mmeweza kumzushia Yesu ni mungu na mkamchora katuni mkamchonga katuni na movie juu...bado hamjaridhika sahv mnadai anawatokea mpk mnauza mafuta udongo na kuchoma magari....ndo mtaweza kuuletea uzushi uislam?...ndo laana mliyoachiwa kuzusha uzushi...na hamtoacha
Kutoa msaada katika njia ya Allah ukienda kwa mganga au ukienda kwa watabiri wa nyota kutaka msaada unakufuruKwahiyo tumeelewa mkuu.
Lissu.Hii Hofu inasababishwa na nini Wajameni?
Swali lako ni muhimu sana, japo likikosa JAWABU sahihi washirikina watapata kichochoro Cha kuhalalisha ushirikina wao.Ila mbona binaadamu tunasaidiana?
Post ya kipuuzi kabisa👆 kuwahi kutokea JF.Kwa wale tu wenye Akili za kuona mbali
Je mumeshagundua nini kuhusu Uzi huu ???!
Uchaguzi umekaribia kwahiyo sisi wenye uwezo wa kudadavua mambo tunaanza kupata mashaka kwamba ukiona nyuzi zinapandishwa humu zenye muelekeo wa Udini na kisha kukaanza malumbano ya kidini nia ya waleta nyuzi siku zote inakuwa ni moja tu !
Ni ile ile principal ya tangu Enzi na Enzi
“DIVIDE THEM AND RULE “
Waleta nyuzi za namna hii huwa wana ajenda zao za Siri !
Waliosomea Cuba 🇨🇺 wanaweza wakaelewa hii maneno imekaaje !
Hiyo yaweza kua ni starting point ya kuupima upepo ili tanga likae sawa kwa ajili ya kuanza safari 😳🙄!
Muwe mukitumia common sense sometimes !
Au nasema uongo ndugu zanguni !!! 🤣🙏 🙄 !?
Mitazamo tofauti na uelewa tofauti pia !Post ya kipuuzi kabisa👆 kuwahi kutokea JF.
Ingekuwa umeandikwa uongo hapo ungeeleweka, lakini kumewekwa taarifa ili wananchi wafahamu kinachoendelea nchini na wapate wasaa wa kutoa maoni yao wewe unaingiza siasa. Kama uko kundi la hao mashehe ulitamani hiyo iwe siri baina yenu peke yenu basi ndiyo ujue na sie tumebahatika kuyafahamu luckily kupitia humu janvini otherwise tusingeyajua haya ambayo seriously ni muhimu kuyajua ili tuwafahamu vizuri hao mashehe, taasisi yao na misimamo yao kama viongozi wa imani(dini) au pia unaweza usiwe miongoni mwao ila ukawa ni mpambe au shabiki au chawa wa bibi Chura-Kiziwi hivyo haya ya mashehe-chawa ulitamani yasijadiliwe kwa kuwa unajua kwamba kwanza ni udini(ambao hata CCM wanadai wanaupiga vita) ambao unaleta mpasuko katika jamii na pia huyo bibi ni aibu ameshirikishwa kwenye shirki.
Usidanganye watu kuwa eti nchi za kiislam ni tajiri, ni uwongo mkubwa.Mbona nchi za Wakristo ndio masikini zaid ata ukienda America ya kusini umaskini umetamalaki tena ni Wakatoriki mnajiona ni Wasomi Tafaut na Nchi za Waislam Waarabu matajili Sana.,, NENDA Malawi wengi Wakristo Wadada wao wamejazana kufanya kazi za ndani apa mjini tofaut na nchi zenye Waislam wengi !!! Zaid duniani mnasifika Viongozi wenu wamakanisa wana makesi tu ya kuwala O sio kwenye Uchumi!!!!
Malaika hawashikamani na majini. Kiimani, hata ukimwomba Mungu, halafu ukamwunganisha katika maombi na shetani, atakuacha na shetani wako. Ni sawa utangaze kuomba msaada kutoka kwa majambazi na watu wema, watu wema watakuacha na majambazi yako.Ametaja na malaika si majini tu pekee yake.
HakunaKuna tofauti yeyote ya Uislam na ushirikina?
Rushwa hupofusha macho.Shehe mzima atakujaje na hii takataka?
Nadhani kuna fungu kapewa, sasa anarudisha fadhila!
Shehe ni mtu mwenye elimu ya dini ya kiislam isiyoweza kutiliwa mashaka, iweje ajifyetue kwa kiwango cha lami kiasi hicho?
Wadau fuatilie yaliyo nyuma ya pazia mtaelewa mengi yaliyo nyuma ya kauli hizi.
Hao mashehe sipendi kuamini kuwa labda mh Rais kawaambia waseme hayo waliyoyasema.Post ya kipuuzi kabisa👆 kuwahi kutokea JF.
Ingekuwa umeandikwa uongo hapo ungeeleweka, lakini kumewekwa taarifa ili wananchi wafahamu kinachoendelea nchini na wapate wasaa wa kutoa maoni yao wewe unaingiza siasa. Kama uko kundi la hao mashehe ulitamani hiyo iwe siri baina yenu peke yenu basi ndiyo ujue na sie tumebahatika kuyafahamu luckily kupitia humu janvini otherwise tusingeyajua haya ambayo seriously ni muhimu kuyajua ili tuwafahamu vizuri hao mashehe, taasisi yao na misimamo yao kama viongozi wa imani(dini) au pia unaweza usiwe miongoni mwao ila ukawa ni mpambe au shabiki au chawa wa bibi Chura-Kiziwi hivyo haya ya mashehe-chawa ulitamani yasijadiliwe kwa kuwa unajua kwamba kwanza ni udini(ambao hata CCM wanadai wanaupiga vita) ambao unaleta mpasuko katika jamii na pia huyo bibi ni aibu ameshirikishwa kwenye shirki.
Uislamu ni UPUUZI.Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658
Dahaaaa! Pole Mama Samia,umeruuhusu hii nchi kuwa ya kidini kwa ajili ya madaraka. Unaposema siasa isicchangaywe na dini mnamaanisha nini?Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658
Kwhy alichofanya Samia ndo mara ya kwnz kutokea na kufanya yeye?..wagalatia mtaacha lini uzushi?..kabla ya kwnd umoja wa mataifa Nyerere hakuombewa na mashekhe bagamoyo?..kwa nini hakwnd kanisani mkalaumu?Post ya kipuuzi kabisa👆 kuwahi kutokea JF.
Ingekuwa umeandikwa uongo hapo ungeeleweka, lakini kumewekwa taarifa ili wananchi wafahamu kinachoendelea nchini na wapate wasaa wa kutoa maoni yao wewe unaingiza siasa. Kama uko kundi la hao mashehe ulitamani hiyo iwe siri baina yenu peke yenu basi ndiyo ujue na sie tumebahatika kuyafahamu luckily kupitia humu janvini otherwise tusingeyajua haya ambayo seriously ni muhimu kuyajua ili tuwafahamu vizuri hao mashehe, taasisi yao na misimamo yao kama viongozi wa imani(dini) au pia unaweza usiwe miongoni mwao ila ukawa ni mpambe au shabiki au chawa wa bibi Chura-Kiziwi hivyo haya ya mashehe-chawa ulitamani yasijadiliwe kwa kuwa unajua kwamba kwanza ni udini(ambao hata CCM wanadai wanaupiga vita) ambao unaleta mpasuko katika jamii na pia huyo bibi ni aibu ameshirikishwa kwenye shirki.
Ona na hii matade nyingine unafikiri mm ni mtumwa wa fikra kama wewe,Mbona wewe unamuabudu Allah wa waarabu?
Wewe ni miongoni mwa makabila ya waarabu?
Hapo ulipo bila lugha ya kiarabu hutoboi
Waislamu wa bongo bwana mnavyojua kutetea mila za jamii nyingine mpo vizur,hapo umeshindwa kusema tuu hao sio waislamu kwasababu wanajulikana ndio viongozi wenu,ila ingekua wale ndugu zenu wacheza vigodoro hakika ungesema wale sio waislamuNdugu yangu ni kwamba sisi waislamu tuko katika makundi na madhehebu tafauti tafauti.
Hao mashehe wanaotangaza ushirikina hadharani kama mlivyoona kwenye video wana wafuasi wao wanaokubaliana na uchawi na ushirikina wao na wengine wamonserikalini na wapo tayari kuwatetea na kuwaunga mkono kwa hali na mali.
Pili kidini maandamano sio njia sahihi ya kuondoa maovu katika jamii.
Tunaishi katika nchi inayoamini uhuru wa kuabudu kwahiyo nchi kama hii hata waabuduo shetani Wana haki ya kumuabudu shetani wao kulingana na katiba, sheria na kanuni za nchi, sisi tunaloweza ni kusema tu kwamba vitendo hivyo ni kinyume na uislamu sahihi aliofundisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
Hiyo ndo laana yenu kamwe haitowaacha mmeweza kwa manabii mtashndwa vipi kwa binadamu?Bin Mwamedi punguza jazba, nawewe umeshawekewa majini au Maruani?
Hebu njoo mada husika hawa viongozi wa dini kuwaombea Marais ni Samia ndo wa kwnz kuombewa?Ona na hii matade nyingine unafikiri mm ni mtumwa wa fikra kama wewe,
Waislamu wa bongo bwana mnavyojua kutetea mila za jamii nyingine mpo vizur,hapo umeshindwa kusema tuu hao sio waislamu kwasababu wanajulikana ndio viongozi wenu,ila ingekua wale ndugu zenu wacheza vigodoro hakika ungesema wale sio waislamu
Wakifanya wao ni miujiza ila tukifanya sisi waafrika ni ushirikina na uchawi,sawa mkuu umeeleweka na watumwa wenzioHuyu ni mpumbavu mmoja anajiuta Dr sule.
Anachozungumza siyo sahihi.
Mitume wa Allaah wamepewa miujiza ya kuweza kuongea na kuviamrisha viumbe ambavyo havisikii wala kuongea katika hali ya kawaida.
Baadhi ya mitume waliweza kuviamrisha hata miti na mawe na viumbe hivyo vikawasikiliza mitume na kufuata amri zao.
Nabii Suleiman aliwezeahwa kuzungumza na wanyama wote na alifundishwa lugha za ndege sisimizi na wanyama wengine ikiwa pamoja na mashetani na majini pia aliwezeahwa kuuamrisha hata upepo ufanye anavyotaka na upepo ulifanya.
Mtume صلى الله عليه وآله وسلم hakufuga majini ila kwa uwezo wa Allaah aliweza kuongea nao na kuwadhibiti baadhi ya majini waovu wasifanye kama kupita mbele yake akiwa anaswali na kitendo hiki ni katika miujiza aliyopewa kithibitisha utume na unabii wake na haimaanishi kwamba alifuga majini.
Tukisoma biblia hata Yesu aliyaamrisha mashetani yameache mgonjwa na yahamie kwenye kundi la nguruwe na kitendo kama hicho ni katika miujiza ya kuthibitisha utume na unabii wake na kila mtume na Nabii hupewa miujiza kulingana na hali , mazingira na watu aliotumwa kwao .