Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aisee kwahiyo hayo majini mahaba nayo yatapiga kura!!
 
NAunga mkono,hoja yako.
 
Kila uzi humu una sema Lissu anaombewa sana. Ni mtu wa mungu.
Sasa imeku maneno Masheik walipo sema wanataka kumuombea Samia.

Lissu anaombewa na wachungaji.
Samia anaombewa na na Masheikh.
 
Pata somo kutoka kwa FaizaFoxy adriz Ritz Malaria 2 kuhusu majini wabaya na majini wazuri.
Ni uchache wa Elimu na uchawa uliopitiliza ukiona mtu , analeta mafungamano kati ya majini na Wanadamu huyo ni mshirikina . Hakuna ushirikiano kati ya majini na wadamamu jap wapo Wema na waovu.
 
Huyu mama hata aroge vipi - anaondoka tu. Huu ni Ujumbe kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi.
 
Majin tena bas YATUMWE NA KWETU sis tunao SIKILIZIA usail wapo 600 wanao hitajika 75,,, WATU TUTOBOE ufugaji wa nguruwe unatoa harufu sanaaa
 
Sheikh ni sheikh tu Hamna tofauti ya sheikh mganga wala sheikh mkuu. Wote wafuga majini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…