Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Kuendekeza machawa
2. Kuruhusu watumishi kula kutokana na urefu wa kamba
3. Bandari kuuzwa
4. Kufukuzwa kwa Wamasai kwenye maeneo yao ya asili
4. Ufisadi wa wazi wazi ( Suala la sukari)
5. Matumizi mabovu ya fedha za umma
6. Kushindwa kuwa na vipaumbele
7. Kuwanyima wananchi kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa wanaowataka
8. Kujipitisha mwenyewe pasipo kufuata kanuni za chama
9. Watu kupotezwa, kutekwa na kuteswa na kuuwawa

. Nakadhalika nakadhalika

Alafu leo Unaanza kuwatumia binadamu wenzako kuongea ujinga kwenye nyumba za binadamu eti hata MAJINI yatasimamia na utashinda. Dah inachosha na kusikitisha 😭😭😭
 
Sisi binadamu tunamapungufu mengi sana, na huwenda hizi dini zetu kunaupande ni kama huwa tunadanganyana saana

Hawa hawa Mashekhe kipindi Rais Samia anaingia madarakani, walitusomea aya kuwa, Mwanamke kuwa kiongozi mwenye maamzi, yaani Mtawala, Kitabu na Dini ya Mnyaazi Mungu haikubali

Embu ona tena leo walivyomugeuka Huyu Mnyaazi Mungu na Kitabu chake!

Kuna mahali hata Mungu akitutazama anacheeeka na kutudharau sana kwa sababu huwa hatuna tujuacho kumhusu
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Niliwaambia watu hapa JF kuwa viongozi waislamu ndiyo wanatuhalibia nchi ...wapumbavu wakabisha ...ni vyema waislamu waweke pembeni moja kwa moja kwenye uongozi wowote nchini ...nchi iongozwe na wapagani au wakristo tutafika mbali ila waislamu watakuja kuitumbukiza nchi shimoni
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Raha ya TZ masheikh ndiyo huwa hawasemwi kwamba wanachanganya dini na siasa, kwao ni ruksa.
NB: Huo upuuzi wa dua na makafara mara majini vyote havifanyi kazi, dini zililetwa kupumbaza watu.
 
Back
Top Bottom