Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658Strategy formulation of making extra money
Wajanja wanataka posho tu, mamlaka hutoka kwa Mungu
 
Divide them 😳
Watawanye 😳
😂😂🤣🤣😄😄😄😁😁😁
Propagandist’s in Action !
Heri Zimwi likujualo halikuli likakuisha ! 🫡
Habari za Lissu kwa sasa zimewekwa mfukoni 😅👍🙏✅👨‍💻
 
Hiyo ndo laana yenu kamwe haitowaacha mmeweza kwa manabii mtashndwa vipi kwa binadamu?
Juzi tuu hapa Papa Francis kaleta uzushi na kiroja cha ajabu eti kaongea na mungu awabariki LGBT...bado mtasema na mnaamini lkn hamchoki kutafuta uzushi juu ya uislamu mara ugaidi mara majini alimradi litakokupendeza...
Mmekutana pipa na mfuniko 😂,sasa mm nawaambia nyinyi wote hampo sahihi sababu hizo imani mnazoamini si asili ya mwafrika
 
Hii kali sana kwamba atakuwa rais wa majini. Ngoja tumuone huyo pendekezo la majini kama kuna nafasi atashika.
 
Wakifanya wao ni miujiza ila tukifanya sisi waafrika ni ushirikina na uchawi,sawa mkuu umeeleweka na watumwa wenzio
Mimi na wenzangu ni watumwa wa Allaah muumba wa mbingu na ardhi.
Hatumuabudu mwingine asiyekuwa yeye.
Dunia hii haijaumbwa na mizimu, vibwengo wala mashetani wengine bali imeumbwanna Allaah na yeye ndiye mwenye kiteua manabii na mitume na kuwapa nguvu za kufanya miujiza.
Allaah alimtuma Nabii Musa kwa firauni huko Misri na akampa miujiza maalumu ya kuthibitisha utume na unabii wake.
Firauni alikuwa na timu ya wachawi wanaomfanyia ramli na mambo ya ukuhani ili kuilinda serikali yake.
Firauni alipoona miujiza ya Nabii Musa عليه السلام akataka kuishindanisha na uchawi wa wachawi wake matokeo yake wachawi wa firauni wote wakasilimu baada ya kuona kuwa ile miujiza ya Nabii Musa ni kitu kubwa na tafauti sana na uchawi wao.
Wale wachawi waliposilimu Firauni akaamua kuwaua wote kutokana na aibu aliyoipata ya kushindwa na Nabii Musa عليه السلام.
Kwahiyo MIUJIZA NI NGUVU TOKA KWA ALLAAH ANAZOWAPA MITUME NA MANABII NA UCHAWI NI NGUVU ZA KISHETANI WANAZOPATA WACHAWI NA MAKUHANI.
 
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Hili ni agizo kwa waislamu wampigie ‘mama’ kura. Naiona hatari oliyo mbele yetu.
 
Mmekutana pipa na mfuniko 😂,sasa mm nawaambia nyinyi wote hampo sahihi sababu hizo imani mnazoamini si asili ya mwafrika
Acha ubaguzi! Waafrika , wahindi, wazungu na waarabu sote tumeumbwa na Mungu mmoja.
Allaah anapoleta mtume na utume kutoka kwake yatakiwa tumuamini bila kuangalia kabila lake , taifa Wala rangi yake . Chamuhimu ni kupatikana hoja ya kuthibitisha kuwa mtume huyo katumwa na Allaah muumba wa kila kitu.
 
Udini uko wapi hapo wakati kilichowekwa hapo ni maneno kutoka kwa viongozi rasmi wa dini ya kiislam kuhusiana na uchaguzi?

Kwa nini hampendi ukweli? Umewekewa mpaka video clip za hao viongozi wa dini ya kiislam, halafu unasema eti ni uchochezi dhidi ya dini!! Sasa mchochezi ni nani? Ni hao viongozi wa dini au sisi tuliosikia kauli zao?

JF siyo gazeti la uhuru ambalo habari ambayo chama haiitaki inatakiwa kufutwa au kuhaririwa. Hapa JF, kama hukubaliani na kilicholetwa, kikatae, kikosoe au kirekebishe kwa hoja. Kama habari iliyoletwa ni ya uwongo, mods wana haki ya kufuta, lakini kwa habari hii umewekewa mpaka ushahidi wa video, na video hizi zinazunguka kwenye magroup mengi ya whatsapp.
Hakika kwenye huu uzi usingweka ushahidi wa video hawa masheikh shehena wangesema hizi ni chuki na nina uhakika huu uzi ungefutwa
 
Hii kali sana kwamba atakuwa rais wa majini. Ngoja tumuone huyo pendekezo la majini kama kuna nafasi atashika.
Kwhy hiyo clip yametajwa majini?au Samia ndo Rais wa kwnz kuombewa na viongozi wa dini?...uzushi ndo laana mliyopewa wagalatia...kwani uzushi wa Papa Francis awabariki LGBT hukuhusikia?...kwmb aliongea na mungu?
 
Kwa wale tu wenye Akili za kuona mbali
Je mumeshagundua nini kuhusu Uzi huu ???!
Uchaguzi umekaribia kwahiyo sisi wenye uwezo wa kudadavua mambo tunaanza kupata mashaka kwamba ukiona nyuzi zinapandishwa humu zenye muelekeo wa Udini na kisha kukaanza malumbano ya kidini nia ya waleta nyuzi siku zote inakuwa ni moja tu !
Ni ile ile principal ya tangu Enzi na Enzi
“DIVIDE THEM AND RULE “
Waleta nyuzi za namna hii huwa wana ajenda zao za Siri !

Waliosomea Cuba 🇨🇺 wanaweza wakaelewa hii maneno imekaaje !
Hiyo yaweza kua ni starting point ya kuupima upepo ili tanga likae sawa kwa ajili ya kuanza safari 😳🙄!

Muwe mukitumia common sense sometimes !

Au nasema uongo ndugu zanguni !!! 🤣🙏 🙄 !?
Wewe nae ni matade unafikiria kwa kutumia mshipa wa t**I,umewekewa mpaka na clip ya viongozi wako halafu unakuja kuandika utumbo hapa,kwahiyo unataka kusema hizo clip ni editing?!
 
Kwhy hiyo clip yametajwa majini?au Samia ndo Rais wa kwnz kuombewa na viongozi wa dini?...uzushi ndo laana mliyopewa wagalatia...kwani uzushi wa Papa Francis awabariki LGBT hukuhusikia?...kwmb aliongea na mungu?

Acha kupindisha mada. Bila Majini samia hashindi! Hii vita mliyoingia ni kubwa kweli kweli, Ngojeni muone nguvu ya asiyetumia majini.
 
Ungepitia Uzi niliowahi kuandika usemao:

" Wajue mapepo katika form ya WANADAMU,ungekuwa na uelewa mpana zaidi kuhusu maekezo ya sheikh.

Pia ungemuuliza sheikh, kwamba Kuna majini walio "chawa"?
 
Back
Top Bottom