Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Nduli na Ronaldo walikuwa hawapendi kucheza pamoja Yale maeneo ya Majengo, Kwata Mwizi alikuwa anamwogopa Sana Nduli japo Ndul alikuwa mbabe Ila Kuna vijana walijitoq Sana kucheza nao na nna Imani Kuna washindani wakubwa sasa hvi
Hahahaaa!kwata mwizi jamaa ana ongea yule, ila nishawahi kumuona anacheza na nduli, kwata mwizi akamshika nduli pabaya ,nduli akaanza kufikiria, kwata mwizi akaanza maneno yake naombeni gazeti nisome au kama hamna ngoja niende choon nikakate gogo huku navuta fegi wakati nduli anafikiria asogeze kete ipi na aliondoka kweli, nduli alimaindi sana.
 

Mi nauitaga mchezo wa draw sio wa ushindi

Ukikata tu basi mnaanza kuelekea kwenye ma draw
 
Mi nauitaga mchezo wa draw sio wa ushindi

Ukikata tu basi mnaanza kuelekea kwenye ma draw
Wee thubutu! kukata kete ni kuelekea kwenye draw?

Juma mchafu alipewa kibarua cha kutoa sare na jamaa mmoja hivi, kwa mkataba huu kua jamaa aanze kutoka na kete ya road halafu mchafu anachotakiwa ni kuikata ile kete

Hiyo ndiyo siku ambayo mchafu aliliwa pesa zote na kuvuliwa nguo
 
Huyu Amani siri ni yule wa clouds au?
 
Hii ndo miamba sasa,,


Mkuu gemu zinaanza saa ngapi..

Na utaratibu wa kiingilio uko vipi.?
 
Simba Dom 3 Mtanga 2 mech ambayo bdo no Noel Namalowe vs Swed inaendelea
 
Noel Namalowe 1 Swed swedanga 0 wanaenda kwenye robot fainal
 
Robot fainali Ronald vs gaidi,issa mamba vs dogo Cisco,noel vs dogo ally,Simba was Dom vs ndul ndulma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…