Mashindano ya Division ZERO 2023

TEKU?
 
Mtoa mada halo kwenye watakao faidi na hayo maziro naomba uutoe uwalimu tafadhari
 

Kuna mtu demu wake yupo katika hiyo orodha ya zero nyingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazazi jitahidini mtengeneze pesa muwapeleke watoto wenu shule binafsi, hizi za umma ni kama unamhakikishia mwanao zero, mambo mazuri gharama na hakuna vya bure
 
Kumbe shule ya seko inaweza kuwa na hata wanafunzi 10,000!
Hata kama hiyo shule ingekuwa na vitendea kazi vyote, mkuu wake atakuwa na wakati mgumu sana kuisimamia
 
Kumbe shule ya seko inaweza kuwa na hata wanafunzi 10,000!
Hata kama hiyo shule ingekuwa na vitendea kazi vyote, mkuu wake atakuwa na wakati mgumu sana kuisimamia
Alafu kuna mikondo mitano tu ..!! A,B,C,D,E
 
Taifa Secondary School ipo sehemu gani au uwanja wa Taifa mule ndani?
 
Duh Stroke now days anatumia lugha kali,Id yake anatumia mtu mwingine

Ova
Tumemfuma anatumia ID mbili moja hiyo juma nyingine hii...

Jana kajiroga kasahau kulog out kajikuta anajijibu mwenyewe...mi nawaweza hawa vijana wa hovyo ndo maana anapanic na kutukana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…