Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Hahaah nimehuzunika sana mkuu.Alisahau kuswitch,
Tumsamehe bure [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaah nimehuzunika sana mkuu.Alisahau kuswitch,
Tumsamehe bure [emoji3]
Zanzibar wanashiriki kwenye utungaji na usahihishaji wa mitihani, sasa shida nini hapo?Ni wakati Sasa Zanzibar kuwa na Baraza Kamili la Mitihani. Dhuluma hii haivumiliki.
Waje mtaani wajaribu bahati zao,wasipokuwa makini watapakatwa..!Division ziro 474....noma sana
Una uhakika ukipata zero unakubakiwa kwenye vyio vya ualimu??Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Wewe ni mpumbavu sana na reasoning yako iko chini sanaaNi wakati Sasa Zanzibar kuwa na Baraza Kamili la Mitihani. Dhuluma hii haivumiliki.
Darasa kuwa na wanafunzi 900+ sio tatizo kabisaHawa nouma
Ina maana darasa lina wanafunzi 900+ ? [emoji3064] Hapa serikali ifanye jambo aisee
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Tutafute pesa watoto wakasome shule nzuri.
Yupo jamaa alifeli mwaka wetu akarudi shule ya private ada ya mamilioni akapiga one safi.
Msenger wewe.Umepatikana hahahaha we kenge eti nawe ni mwalimu hahahaha hapo upo na shikwambi kama nakuona multiple IDs zimekuumbua teh teh teh
Sisi wazazi wenye watoto wa kiume tunawapeleka wapi sasa?NECTA imemwaga waolewaji!
😂😅nimecheka sana aisee dah.Sasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli
Ova
View attachment 2499347
Unataka nikutomber ndio maana unajipendekeza kwangu.Umepatikana hahahaha we kenge eti nawe ni mwalimu hahahaha hapo upo na shikwambi kama nakuona multiple IDs zimekuumbua teh teh teh
Sidhani kama hiyo ni sababu! Kama darasa moja lina wanafunzi 900 mikondo hapo inabidi iwe at least 20... Kama mikondo ni 3 how can a teacher manage that class size? Pia mkuu wa shule anawezaje kumanage shule yenye wanafunzi 900*4=3,600?Unawaonea Sasa japo tmk vishawishi vingi bangi madawa uswahili ,madanguro ,wahaya Sudan keko
Sio jf tu ata huku mtaaniWalasio uongo ukitaka kujua kuwa n kweli hzo division 0 sio uongo fuatilia comment na stori zenye wafuasi wengi n za namna GANI hapa jf ndio utajua Kuna bomu hapo ikifika 2035-2050 hao watu wazima(40-50'yrs) na watoto wa umri huo nakwambia itakuwa n majanga sana kama taifa halitarud kwa mkolon sijui
Sekta 1, 2, na 5 ni za muhimu sana ndo hupata watu wengi wenye ufaulu mdogo kama taifa apa tunafeliHakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Bible knowledge somo gumu sana, unakutana na who said? Where?when? to whom? Ukijichanganya kidogo tu unapoteanaWanapata F hadi somo la dini duuuu...wakati Bible knowledge mtu ulikua ukipata b unaona umefelii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]