Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Taifa iko Mkoa gani na Wilaya gani au Manispaa Gani? Hii Guinness world record tuitangaze zaidi.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
Umewazaje wewe hio future generational prospect?Walasio uongo ukitaka kujua kuwa n kweli hzo division 0 sio uongo fuatilia comment na stori zenye wafuasi wengi n za namna GANI hapa jf ndio utajua Kuna bomu hapo ikifika 2035-2050 hao watu wazima(40-50'yrs) na watoto wa umri huo nakwambia itakuwa n majanga sana kama taifa halitarud kwa mkolon sijui
Onyesha hiyo hujuma iliyopo acha kupayuka ovyoWe komaza tu hilo fuvu. Tuseme huoni hujuma bado?
Ila tuache utani vijana wametaga ZERO Hadi aibu, sijawahi kuona ZERO za kutosha design hii.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
[emoji3][emoji3]Zama hizi WASTAARABU, wanaficha mpaka majina. Enzi zetu ilikua unaenda kuangalia matokeo shuleni ukiwa umekula MZINGA unakuta wadau wameshazungushia DUARA kwenye jina lako.
0Zuchu kapata divisheni ngapi?
Hawa ni wale waliorudia mtihaniView attachment 2500044
Kuna vitu vinatia Huduma aisee
Kwani mtu akifeli mtihani ndio anakuwa amefeli Maisha?.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
[emoji38][emoji38][emoji38] hapa na wale madogo wa hivi hawakosi " oy bro inakuaj,mixhe vp naomba nixaidie buku 5 au kama kuna ishu nishtue"Kwenye hilo kundi ndio kuna wanawake wa 'Baby nakj bdae ira ntpta kw rfk yngu Mwanaisha c unjua leo kna shughuli? Ila mwnzio nanjaa kwl sijal mpk saiv ile hera nrinnua kijora
MATOKEO NDIO SABABU YA KUTO TANGAZA TOP TEN BORA KITAIFA... MATOKEO YA GOV SCHOOL NI MABAYAA SANAA HAYARIDHISHI... KAMA PRIVATE SCHOOL ZIMEKUA BORA KITAALUMA KWANINI TUSI TANGAZE ZILIZO ONGOZA NA ZILIZO FELISHA... SIUNGI MKONO UTARATIBU WA MWAKA HUU...Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
Tatizo linaanza darasa la 4, mchujo watakiwa uanzie hapo.Kwenye hilo kundi ndio kuna wanawake wa 'Baby nakj bdae ira ntpta kw rfk yngu Mwanaisha c unjua leo kna shughuli? Ila mwnzio nanjaa kwl sijal mpk saiv ile hera nrinnua kijora
Hii inatisha mkuu... Mahafali zibadilishwe mifumo hii sio maadiliSasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli
Ova
View attachment 2499347