Wacha tukajiokotee wake sasaNECTA imemwaga waolewaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha tukajiokotee wake sasaNECTA imemwaga waolewaji!
Nikuchakata tunavyotaka hasa huku uswahiliniWacha tukajiokotee wake sasa
Kabisa wala hupati shoda maana tayari wana uzoefu wa de libolozNikuchakata tunavyotaka hasa huku uswahilini
Sio poaSasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli
Ova
View attachment 2499347
Ipo temeke mkuu karibu na uwanja wa mkapa stadium [emoji909]Wakuu,
shule ya taifa iko wapi?
TemekeHii Taifa iko Mkoa gani na Wilaya gani au Manispaa Gani? Hii Guinness world record tuitangaze zaidi.
Hawa wana reseat mkuuView attachment 2500044
Kuna vitu vinatia Huduma aisee
Tutue sie walimu vipanga.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli
Ova
View attachment 2499347
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had machoziiiiMafunzo ya Mgambo mwaka huu watapata wengi
Hiii mbna ni hatareeee sanaaa, khaaaahView attachment 2499861
Mwaka huu ni aibu.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.Kwenye hilo kundi ndio kuna wanawake wa 'Baby nakj bdae ira ntpta kw rfk yngu Mwanaisha c unjua leo kna shughuli? Ila mwnzio nanjaa kwl sijal mpk saiv ile hera nrinnua kijora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!![emoji38][emoji38][emoji38] hapa na wale madogo wa hivi hawakosi " oy bro inakuaj,mixhe vp naomba nixaidie buku 5 au kama kuna ishu nishtue"
Asante mkuu.
Makazi yangu kwa sasa ni kibaha mkoa wa pwani hapo huwa napita tu nikielekea nyumbani.
Tumemfuma anatumia ID mbili moja hiyo juma nyingine hii...
Jana kajiroga kasahau kulog out kajikuta anajijibu mwenyewe...mi nawaweza hawa vijana wa hovyo ndo maana anapanic na kutukana!
Mkuu wanajeshi tena wakati Makongo na Jitegemee tu four na zero zinakuwaga za kumwaga tuDarasa kuwa na wanafunzi 900+ sio tatizo kabisa
Mbona miaka 20 iliyopita Mawenzi secondary kule moshi kila darasa lilikuwa na wanafunzi wa kukariribia 500 na walikuwa wanafaulu tu (nimeongelea miaka 20 iliyopita; hivyo kufikisha wanafunzi hata 1000+ kwa darasa sio tatizo; tatizo ni miundo msingi na wakuu wa shule wasaidizi kadhaa na ikipendeza wawe wanajeshi uone kama hakutakuwa na Div 1; 300 +
Na hii sheria ya wazungu ya kutudanganya tuondoe Fimbo mashuleni inatuharibia watoto. Hivi utaleaje wanafunzi wa kidato cha pili ambapo wengi wao wamekua bila maadili alafu wakose viboko; si wanaishia kuwa machokora mtaani?