Mashindano ya Division ZERO 2023

Mashindano ya Division ZERO 2023

Sasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli

Ova
View attachment 2499347
Sio poa
 
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.

Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474 + 533 Division 4 (ambayo ni division ZERO iliyochangamka) = YUTONG 15 full capacity).

NB: unapata F F F F mpaka Civics, Kiswahili?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
6. Baa
Tutue sie walimu vipanga.
 
Shule za Dar kwa o level ni majangaa, hasa za kata.
 
Sasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli

Ova
View attachment 2499347
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
idadi ya wanafunzi 1070 duhh wengi hivi hapo nini kilitegemewa? kama sio hayo?
 
Kwenye hilo kundi ndio kuna wanawake wa 'Baby nakj bdae ira ntpta kw rfk yngu Mwanaisha c unjua leo kna shughuli? Ila mwnzio nanjaa kwl sijal mpk saiv ile hera nrinnua kijora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] hapa na wale madogo wa hivi hawakosi " oy bro inakuaj,mixhe vp naomba nixaidie buku 5 au kama kuna ishu nishtue"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!!
 
Tumemfuma anatumia ID mbili moja hiyo juma nyingine hii...

Jana kajiroga kasahau kulog out kajikuta anajijibu mwenyewe...mi nawaweza hawa vijana wa hovyo ndo maana anapanic na kutukana!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Darasa kuwa na wanafunzi 900+ sio tatizo kabisa
Mbona miaka 20 iliyopita Mawenzi secondary kule moshi kila darasa lilikuwa na wanafunzi wa kukariribia 500 na walikuwa wanafaulu tu (nimeongelea miaka 20 iliyopita; hivyo kufikisha wanafunzi hata 1000+ kwa darasa sio tatizo; tatizo ni miundo msingi na wakuu wa shule wasaidizi kadhaa na ikipendeza wawe wanajeshi uone kama hakutakuwa na Div 1; 300 +
Na hii sheria ya wazungu ya kutudanganya tuondoe Fimbo mashuleni inatuharibia watoto. Hivi utaleaje wanafunzi wa kidato cha pili ambapo wengi wao wamekua bila maadili alafu wakose viboko; si wanaishia kuwa machokora mtaani?
Mkuu wanajeshi tena wakati Makongo na Jitegemee tu four na zero zinakuwaga za kumwaga tu
 
Back
Top Bottom