INAUZWA Mashine za kisasa za juisi ya miwa zishakuja; wahi zipo chache

INAUZWA Mashine za kisasa za juisi ya miwa zishakuja; wahi zipo chache

Kwa watt 750 haili umeme mwingi kivile,ukichukulia hii haiwaki saa nzima kwa mfuatano,
ina maana akija mteja ndo inawashwa mteja anapata juice fresh papo kwa papo
Juice inakua ya moto sasa
 
Ukipata sehemu yenye umeme mbona fresh tu unafanya biashara,tatizo mikoani maeneo mengi hayana umeme labda ndio inaweza ikawa changamoto mkuu
Mikoani wanatafuna miwa wenyewe hawana haja ya machine.
 
Karibuni machine mzigo upo mpyaa
 
View attachment 683933 View attachment 683933 View attachment 683933 Habari,
Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa

Inachuja yenyewe

Inaweza kusaga mpaka miwa 300 kwa saa 1
750W
Inawarranty ya mwaka mzima
1,100,000/ only
Call/whatsapp 0673206639 or 0788622610 whatsapp
Tupo kariakoo Dar es salaam

UPDATE
Mzigo mpya umeingia,zipo pisi 2 wahi sasa ujipatie
Naskia zinasababisha kansa, hasa kwakuwa hayo mabati yanakuwa na madini ya zinclusixituoslty?
Na pili, hizo juisi barafu zake zinatengenezwa na maji ya bomba huko ferry , zina typhod, ni kweli?

kama si kweli, haya
 
Karibuni sana,machine zipo bado
 
Machine ni mpya
1 year warranty
0673206639
Tupo kkoo
 
Machine ni mpya
1 year warranty
0673206639
Tupo kkoo
 
Machine ni mpya
1 year warranty
0673206639
Tupo kkoo
 
Machine ni mpya
1 year warranty
0673206639
Tupo kkoo
Mashine zilizopo ni za aina ile ile na specifications zile zile za awali? Na bei haijabadilika bado ni 1.1m?

Na je uwa mnauza na zile mashine ndogo kwa ajili ya matumizi madogo madogo ya nyumbani ili mtu akiwa nayo ajitengenezee juisi hiyo nyumbani kwake?
 
Mashine zilizopo ni za aina ile ile na specifications zile zile za awali? Na bei haijabadilika bado ni 1.1m?

Na je uwa mnauza na zile mashine ndogo kwa ajili ya matumizi madogo madogo ya nyumbani ili mtu akiwa nayo ajitengenezee juisi hiyo nyumbani kwake?
Machine kama za awali,hakuna ndogo
 
Back
Top Bottom