Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mkuu kwa sisi wa mikoani inakuwaje? Kwa mfano mimi niko mkoa wa Mara wilaya ya Rorya ila nataka ya mafuta.
 
Habari wadau,
Nahitaji kufahamu sehemu naweza kununua incubator kwa ajili ya shughuli zangu za ujasiriamali inayoweza kuchukua mayai 200 au zaidi.

Kwa mwenye kufahamu na bei pia itasaidia. Nipo dar

Natanguliza shukrani!
 
Kabaunyeri za umeme zinauzwa pale shekilango kwenye jengo la Millennium Business park kuna wachina wengi pale wanauza alafu pia kuna mdau kule jukwa la matangazo amauza pia
 
Last edited by a moderator:
Piga simu namba 0784413039,tupo Dar es salam,na tuna mawakala mikoani,tunaunda egg incubator za aina zote.

Pia waweza kutufuatilia face book na kuona picha mbalimbali za incubator zetu.

Fungua page hii........MWAKALINGA GENERAL ENTERPRISES.....,Au tafuta google itakuleta ktk page yetu.

Tunaunda pia inverters,power backup za kutumia ktk incubator au matumizi mbalimbali nyumbani umeme ukikatika.

Tahadhari,jiridhishe kwanza kwakuona incubator yenye sifa zote muhimu,kama inayoweza kudhibiti unyevu,joto,nk.vinginevyo utanunua incubator ikutie hasara.
Fanya window shoping kwanza ktk maduka ya nakumati pugu road karibu na kamata,mlimani city,milenium shekilango,imberuzi vingunguti,na ndipo uje kwetu MGE.
 
Je wewe ni mfugani na unahitaji Incubator kwa gharama nafuu. Natengeneza Incubator zenye ufanisi wa 89% ya ukubwa wowote utakao hitaji,kwa sasa nipo Mbeya ila ninakuja popote utakaponiita nije kukufanyia kazi.

Tuwasiliane kwa no. 0754078015.
 
Mdau ametoa maelezo mazuri sana,nimeyapenda,kwani mimi ndiye muundaji maarufu wa incubator za aina mbalimbali hapa tz toka mwakalinga general enterprises.
 
INCUBATOR SALES!Fully Automatic
Egg capacity: 48 chicken eggs(free 132 quail egg tray)

Easy to clean, simple to use with instructions included. LED display temperature /humidity /hatching days /egg turning time.

Free 10 Nipple Drinkers

Am Based In Nairobi. Text/Whatapps (+254700320880) I will call back.
Free Delivery to Arusha. Other Towns Delivery by Bus or EMS.
Price Tsh. 400,000/= (Negotiable)

528df47516ac06a4dc87cdd0c.jpg
7-22-12 Button cooplet (26).JPG
1391507_711126138915099_1001151813_n.jpg
dr-01.jpg
nipple_waterer1.jpg
IMG-20140204-WA0000.jpg
528df47542ae9be5c545657d0.jpg
 
KUHUSU INCUBATORS
Incubators ni Mashine zinazo tumika kutotoreshea viuombe mbali mabali hasa Ndege,

AINA ZA INCUBATORS
1. Forced Air Incubator
2. Still Air Incubators


FORCED AIR INCUBATOR
- Forced Air Incubators ni mashine yenye Feni kwa ajili ya kutawanya joto ndani ya incubators

STILL AIR INCUBATORS
- Hii ni mashine siyo kuwa na fane

IPI NZURI?
- Inashauriwa kutumia/kununua Forced Air Incubators ndo bora kabisa na haiatakusmbua na hatahivyo kwa incubator kubwa karibia zote ni Fored air, na mara nyingi ndogo ndo still air

3. AINZA INCUBATOR KWENYE OPERATION
- Manual
- Automatic

MANUAL INCUBATORS
- Hizi hutumia mikono katika kugeuuza mayai na katika maswala mengine kama kucontro joto na kazalika

AUTOMATIC INCUBATORS
- Hizi hujiendesha kama Computer, kila kitu hufanywa automatically so kazi za manual hupunguza sana
- Ukiwa na Incubnator Automatic na ikawa na sehemu ambayo inajiongeza maji automatically basi inaweza hata kata wiki bila kuchungulia mashine yako na ikawa inapiga kazi bila tatizo.
-

NI IPI NZURI?
-Kwa kweli kwa maisha ya sasa inahitajika Automati Incubators ambayo haitahitaji wewe kuwepo mara kwa mara katika ku contro mashine, Ingawa kuna wakati Manual inahitajika kuliko Automatic na kuna wakati Automatic inahitajika kuliko manual
NB: Automatic nyingi zina manual, yaani kuna sehemu ya kushft kwenda manual, ila manual karibia zote hazina sehemu ya kushift kwenda automatic

ILA ZOTE ZINAFANYA KAZI KWA UFANISI SAWA, TOFAUTI MOJA NI AUTOMATIC NA NYINGINE NI MANUAL
MAMBO MUHIMU SANA KWENYE INCUBATORS
- Aina ya incubators
- Model of operation
- Manufacture
- Nguvu inazo tumia
- Altenative source of power

4. MANUFACTURE
Incubator nyingi za nje ni nzuri sana, Kuna za Italy, Denmark, Uk, China, USA, India, South Africa Trukey na kazalika na bei zinatofautiana. Na utaona kwamba Incubator kama za Uk, South, USA, Italy ni very expensive compare na za kutoka China au India.
Ila bei kutofautiana sana sio ishu na kama mnavyo jua China wao wna Policy yao kuhusu Internatinal Trade that is why.

Mashine nza Ndani ya Nchi nazo zipo nzuri na zipo zingine ni vimeo ila watengenezaji wanatakiwa kuwekeza zaidi kwenye Utafiti na si kujikita kwenye mauzo, inatakiwa kuboreshwa zaidi na zaidi ili ziwe na viwango vizuri

5. SOURCE OF ENERGY
Incubators karibia zote zinatumia Umeme kama source namba one na jua, makaa yam awe au gas kama source namba mbili, ingawa zipo za mafuta ya taa pia kama source No 1

6. ALTENATIVE SOURCE OF ENERGY
Kila aina ya mtengenezaji ana source yake ya altenative energy, zipo za Gas, zipo za umeme jua na zipo za mvuke wa maji na zipo za mafuta ya taa, na zipo za makaa yam awe.

7. ALTENATIVE SOURCE NZURI
- Kwangu mimi Incubators ambazo altenative source of energy ni Mvuke wa maji nimetokea kuzipenda sana
- Hapa umeme ukikatika unaunga pipe kwenye Mashine na unakuwa na birika special na unaiweka jikoni maji yanachemka na mvuke unapita hadi kwenye incubators, ni source nzuri sana,
- Hata jua nayo ni source poa

ILA BADO SOURCE YA JUA AU GAS INAKUWA NI ALTENATIVE NZURI SANA.


MATATIZO YA INCUBATORS
Incubators nyingi zina shida moja kubwa sana, Incubators inaweza ikaharibika na wewe usiwe na habari kabisa na mpaka uje kushutuka ilisha haribu mayai yote na hilo ni tatizo kubwa sana,

MFANO:
-Heating tube zinaweza kufa na wewe usijue kabisa, na ukija shitikia ilisha haribu kila kitu
-Humidity Tube inaweza kufa na wewe usijue na ukija shitukia ni balaa
-Eggs turning inaweza kufa na usitambue hata siku mbili
- Humidity sensor na temperature sonsor zinaweza kufa na wewe usijue chochote
Na mara nyingi kinaweza kufeli kifaa kimoja za vingine viakendelea na kazi bila shida ila ikawa ndo kama hivyo, Mfano Mashine inaweza kuwa imekufa Humidity tube, na hapo inaweza endelea kufanya kazi na some time ni vigumu sana kugundua.
- Na tofauti na mitambo kama gari, Incunator inapo haribika huku ukiwa umeweka mayai ni balaa tupu, kama huna mashine nyingine ndo inakuwa imeharibu mayai yote.

KUKATIKA KWA UMEME- Endapo umeme utakatika na ukatumia Gas, au mafuta ya taa au makaa yam awe kama source nyingine ni lazima ugeuze mayai kwa mkono, na hapa tatizo liko kwamba ile mashine haiwezi kukubali kugeka ni lazima ubonyeze sehemu ya kubadilisha kutoka automatic kwenda manual. HAPA NDO HUWA KUNA KAZI PEVU

Na Mwisho ni kuhusu uendeshaji wa Incubators, Mara nyingi uendeshaji nao ni tatizo kubwa nasa hasa kwenye seting joto na humidity, make seting lazima zitofautiane kulingana na maeneo au vipindi Fulani, Joto na wakati wa Baridi kari

Mkuu,
Nimefuatilia kuhusu incubators hapa uk, hasa hizi kubwa zinatoka China, hivi nina planing ninunue huko China, kwani hapa uk kwa mfano incubator 1050 eggs ni pounds 2000 na kitu. Lakini kwa China haitafika pounds 500 mpaka zanzibar au dar es salaam.

Before nyumbani kwetu tulitumia incubator, miaka ya 1980 tayari tunayo tulifaidika sana, nazaliwa naikuta, mpaka leo hii mzee wangu anafuga kuku. Incubator za manual naona ni rahisi ku fix. Sijui za automatic. Tupe more information
 
Kwa wafugaji hasa wa majumbani, ninatengeneza mashine za kutotoleshea vifaranga kwa gharama nafuu.

Mashine zangu ni semi auto. Na zinatengenezwa kwa kutumia vifaa vinavyopatikana kirahisi na nafuu sana. Efficiency ya mashinr izi ni 80% kama mayai yote yapo fertilized.

Maintainance ya mashine hii ni bure kwa miezi sita. Karibuni nipo dar es salaam

0755815174
WP_20150108_15_45_26_Pro.jpg
WP_20150108_15_45_33_Pro.jpg
WP_20150108_15_45_06_Pro.jpg
WP_20150108_15_45_59_Pro.jpg
WP_20150108_15_46_10_Pro.jpg
 
Mkuu ni bei gani, capacity, na power consumption ipo vipi? Na sio vibaya kama na picha utaweka.., karne hii hakuna excuse ya kuweka vitu nusu nusu, vitendea kazi vyote vipo, na dunia imeshakuwa kama kijiji unaweza pata order toka hata Timbuktu
 
Bei inategemea na unataka ya mayai mangapi. pia picha zipo nyingi humu nimeweka tafuta uzi umeandikwa incubator kwa wakazi wa dar utaona, sasa hiv nashindwa weka can pc na niko safarini
 
Brand new incubator zenye uwezo kubeba mayai 1056 na za mayai 2112 zinauzwa,bei ni kama ifuatavyo kwa mayai 1056 ni Tshs 2'600'000/= na za mayai 2112 ni Tshs 4'700'000/= bei inapungua,na unapewa Warranty ya mwaka mmoja na pia unapatiwa spare parts bure!incubator zote ni full automatic, zinapatikana kwenye duka letu Tabata Barakuda,kwa mwenye kuhitaji awasiliane na namba zifuatazo: 0713670026
 
Kampuni yetu ya backyard (T) ltd ni kampuni iliyodhamiria kusaidia wakulima wadogo wadogo kwa kuwa tengenezea mashine za kutotoleshea vifaranga zinazotumia technologia ya kisasa na ya gharama nafuu sana.

Lengo la project hii ni kuinua uzalishaji wa majumbani kwa mazao ya mifugo hasa kuku wa kienyeji.

Mashine zetu zinatumia nishati nafuu sana na ufanisi wake ni zaidi ya asilimia 80. Tunapatikana dar es salaam.
Tuwasiliane kupitia 0755815174
 
Je munauza incubator,mnatengeneza,au mnafunfisha kutengeneza incubator? Kama mnauza mnauza bei gani bei ya chini?
 
Je munauza incubator,mnatengeneza,au mnafunfisha kutengeneza incubator? Kama mnauza mnauza bei gani bei ya chini?

Tunauza, tuna design natunaunda incubators kwa mujibu wa matakwa ya mteja.. Gharama ni kwanzia laki na nusu kutegemea na aina ya materials ma muundo mteja anaohitaji.

Incubators zetu zinatumia umeme mdogo mno takribani watt 30 na kuendelea kutokana na ukubwa na design mteja anayohitaji.
 
Kampuni yetu ya backyard (T) ltd ni kampuni iliyodhamiria kusaidia wakulima wadogo wadogo kwa kuwa tengenezea mashine za kutotoleshea vifaranga zinazotumia technologia ya kisasa na ya gharama nafuu sana.

Lengo la project hii ni kuinua uzalishaji wa majumbani kwa mazao ya mifugo hasa kuku wa kienyeji.
Mashine zetu zinatumia nishati nafuu sana na ufanisi wake ni zaidi ya asilimia 80. Tunapatikana dar es salaam.
Tuwasiliane kupitia 0755815174
 
Pia tunatoa consultation na tips za namna ya kuzitumia. Warrant ya biadhaa zetu ni ya miaka 2.
 
Back
Top Bottom