pozzyfaza
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,453
- 268
Unaweza pata isiyotumia umeme bei ni kulingana na mteja anataka mashine ya ukubwa gani. Endapo unahitaji mashine unataja mashine unayoitaji iweje, iwe inabeba mayai mangapi, iwe inatumia umeme au mafuta iwe automatic ama manual. zen unapewa bei kulingana na oda uitakayo zen unatengenezewa mashine