Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Kerosene egg incubator
1427754410322.jpg
 
Kware wwliototolewa na kerosene egg incubator,pichani ni mwalimu eliasante mwqkalinga,engineer wa mge.
1427754585834.jpg
 
Si shauri mtu kununua incubator ya mafuta ya taa kamwe, make kila kitu ni manual inabdi uishi hapo kwenye mashine, hakuna hata kwenda mjini, wakati mashine za automatic unaweza hata safiri na ukakuta mashine iko sawa,
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikisoma baadhi ya post za baadhi ya watu na ushauri wanaoutoa kwa watu wqlio wahitaji wa incubator au bidhaa zingine.

Jf ni mahali ambapo siku zilizopita tulikuwa tunategemea kupata ufumbuzi au msaada wa baadhi ya mambo ambayo huelewi utapata wapi majibu yake.

Kwa ufupi mimi ndiye mwanzilishi wa kampuni ya MWAKALINGA GENERAL ENTERPRISES,iliyopo mburahati mkoani Dar es salaam.

Kampuni yangu ilianzishwa mwaka 2008,mkoani njombe,kisha kufungua ofisi mtwara 2010,na Dar es salaam,2013.

Kampuni inajishughulisha na kazi zaidi ya 20 za ufundi na ubunifu wa bidhaa rafiki wa mazingira na mwanadamu.

Kutokana na tatizo la umeme ktk nchi yetu,tulibuni incubator rahisi sana ya mafuta ya taa.

Ktk incubator hii,ubageuza mayai kwa mkono kila baada ya masaa nane,unaiwasha saa nne usiku,au saa kumi na mbili asubuhi,au saa nane mchana,ili kurahisisha muda wa ugeuzaji mayai.

Incubator hii hutumia mafuta kati ya lita nne mpaka lita nane kwa siku 21,inategemea ukubwa wa incubator kwani kuna zinazobeba mayai 60-200.

Pia inaruhusiwa kugeuza mayai kwenye incubator hii mara mbili kwa siku,endapo tu huwezi kugeuza ktk masaa nane.

Incubator hii ni rafiki wa mjasiliamali,kwani kazi yake kubwa ni kugeuza mayai,kuongeza maji na mafuta ya taa na usafi.Ikifika siku ya 19,Hugeuzi mayai,hayo kama ni mayai ya kuku.

Tumeunda incubator hii kwa ustadi mkubwa,na bado tunaendelea kuziboresha.

Pia tumeunda incubator ya mafuta ya taa,semi automatic,ambayo inatumia mafuta ya taa ktk kutengeneza joto,lakini inageuza yenyewe kila baada ya masaa manne.Huu ni ubunifu wa pekee ambao hata huwezi kupata incubator hii hata nje ya nchi,labda kwa vishoka wanao kopi na kupesti,lakini hata hivyo tunawatahadharisha kuwa mashine zetu zote tunazounda zina hati miliki,hivyo atakaeiga,atakuwa anatenda kosa kisheria.

Kuna mtu alipost hapa jf kuwa incubator za mafuta ya taa huwezi hata kusafiri,huo ni uongo kabisa tena anawakatisha tamaa wajasiliamali.
Mtu unatakiwa kutoa ushauri mzuri,sio kuwatisha watu eti huwezi hata kusafiri au kufanya kazi nyingine,utakuwa unalala kwenye incubator,nilishangaa sana kwa uongo huo.Nilijiuliza,sasa kufanya kazi za kwa wahindi ambazo hupumziki,na kuwa na incubator unayokuwa free masaa 12 ipi bora?

0784413039.
 
Mashine ndogo na za kisasa za kuangulia vifaranga kwa matumizi ta nyumbani zinapatikana kwa gharama nafuu.

Specifications.
-Zinatumia umeme Watts 100
-Zinauwezo wa kutunza joto kwa wastani masaa matatu baada ya umeme kukatika.
-Portability hubebeka kurahisi (10kg)
-User friendly
-Inatumia digital setting mechanism
-Manual eggs turning
-inatotolesha mayai ya aina yote
-warrant ya miaka miwili
-90% efficiency
-+/- 1 control accuracy
-size mayai 150

Bei 450,000/=

Mawasiliano 0755815174
Napatikana Dar es salaam. Tunasafirisha mashine kwenda wilaya uliopo.
Kaibuni
WP_20150327_002.jpg
WP_20150326_004.jpg
 
Kwa ushauri wangu agiza incubator kutoka nje either uk or china coz hizi za hapa kwetu ni shida.Efficiency yake ni ndogo sana, nilinunua nikaona hasara tupu.

Now nimeagiza from china 2 incubator 1 ya 1056 egg and 2 ya 1400 eggs.Total cost $ 1050 including freight to dsm port.
 
Nilikua kidogo nje ya mji nimerejea tena. Kama utahitaji huduma tuwasiliane
 
Nilikua kidogo nje ya mji nimerejea tena. Kama utahitaji huduma tuwasiliane
 
Ushauri mwingine ni mbaya na haufai, huwezi ukashauri watu wasinunue incubator za mafuta ya taa au za hapa tz eti tu kwa sababu ulizoziona hazikuwa bora, magundi ni wengi kila mtu anaujuzi wake, mbona incubator ninazounda watu hawajawahi kulalamika, na wengine wanaagiza mbilimbili?

labda kama mliingizwa mjini na wahuni wakawatengenezea bila viwango, incubator zangu ni bora na imara sana, natengeneza aina zote automatic hata za mafuta ya taa.
 
Nitakua mwanza hivi karibuni kama utahitaji mashine tuwasiliane 0754078015
 
Nitakua mwanza hivi karibuni kama utahitaji mashine tuwasiliane 0754078015
 
Kampuni ya mge imebuni incubator mpya inayotumia mafuta ya taa,na ambayo imefungwa mfumo wa kugeuza mayai automatic.

Kwa wale wanaohitaji incubator za mafuta ya taa tuwasiliane.

Pia tumeboresha sana incubator zote za umeme,automatic na manual kwa teknolojia ya peke yake.

Incubator zetu hazitumii umeme mkubwa,waweza kutumia kwenye inverter.

Vifaa vyote vinavyotumika kuunda incubatir zetu vinapatikana popote mikoani au dsm.

Guarantee ni mwaka mmoja na zaidi,mikoani tunawatumia na pia kuwatembelea pale inapokuwa lazima.

Epuka kununua incubator toka kwa watu wasiojua kuunda incubator.

Wengi wanajitoa ktk matangazo mbalimbali,sasa kabla ya kununua hakikisha viwango vya ubora vimezingatiwa.

Epuka kununua incubator manual ambayo utaambiwa hakuna haja ya kugeuza mayai,kwani mayai ni lazima yageuzwe ktk incubator yoyote.

Pia wa Tanzania lazima tubadilike,tumezidi kupenda vitu vya bei ndogo,unakuta mtu anatoa matangazo kwamba anauza incubator,akiona wenzie wameweka bei labda 300000,yeye anaweka 200000,yenye idadi sawa ya mayai.

Tuweni makini tunapochagua bidhaa,kampuni yetu haiwezi kuweka bei za kuvutia wqteja kwani kwa kufanya hivyo unaweza kununua vifaa hafifu na kuunda mashine isiyodumu.

Sisi bei zetu ni calculated kulingana na taratibu zote za kibiashara za nchi yetu.

Tunawakaribisha sana wateja wetu wote .

Kwa mawasiliano,piga simu 0784413039,au tembelea facebook"MWAKALINGA GENERAL ENTERPRISES"
 
Kwa ushauri wangu agiza incubator kutoka nje either uk or china coz hizi za hapa kwetu ni shida.Efficiency yake ni ndogo sana, nilinunua nikaona hasara tupu.Now nimeagiza from china 2 incubator 1 ya 1056 egg and 2 ya 1400 eggs.Total cost $ 1050 including freight to dsm port.


Mkuu unaweza weka details kidogo hata website ya kununua hizo incubator maana kwenda China itaongeza gharama.
 
Kaka hii nimeipenda ila kwangu sina umeme natumia sola vip inaweza kunifaa mkuu?
 
Back
Top Bottom