Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Incubator zenye uwezo kubeba mayai 1056 na za mayai 2112 zinauzwa,bei ni kama ifuatavyo kwa mayai 1056 ni Tshs 2'600'000/= na za mayai 2112 ni Tshs 4'700'000/= bei inapungua,na unapewa Warranty ya mwaka mmoja na pia unapatiwa spare parts bure!

Incubator zinapatikana kwenye duka letu Tabata Barakuda, incubator zote ni automatic, kwa mwenye kuhitaji awasiliane na namba zifuatazo: 0713670026 na 0784784634
 
Natarajia kua dar hivi karibuni, kama utahitaji kutengenezewa mashine ya kuangulia mayai unakaribishwa. Gharama zetu ni nafuu na mshine ni yenye uhakika.

Pia natarajia kufungua ofisi Dar. Nawakaribisha wajasilia mali mtakao hitaji huduma kutoka kwangu. 0754078015
 
Mkuu humu jamvini wafugaji tupo wengi sana ila fanya yafuatayo kuvutia wateja:

1.weka picha ya aina za mashine mnazo tengeneza.

2. Weka wazi aina ya nishati inayo tumika kwenye hizo incubators.

3. Bei kwa kila size ya mashine (mfano mashine ya mayai 5,000 ni shilingi .......)
 
Kampuni ya mge inatangaza bidhaa nyingine ya egg incubator yenye muundo wa kisasa,ambayo inatumia mafuta ya taa kutengeneza joto la kuangua mayai.

Mashine hizi zina uwezo wa kutotolesha mayai ya ndege wafugwao.

Mashine hizi unaweza kuzitumia ktk umeme wa inverter, solar na umene wa tanesco, na pia unaweza kuitumia kwa upande wa mafuta ya taa umeme ukikatika.

Mashine hizi zote ni mwendelezo wa ubunifu wa mwanzilishi wa kampuni, mwalimu Eliasante Mwakalinga.

Pia vilevile ugunduzi unaendelea kuunda incubator ambazo zitakuwa zinatumia gesi.

Kampuni ya mge inawakaribisha wote wenye mawazo mazuri ya ubunifu, wajitokeze kushirikiana nasi ili kuleta maendeleo bora ktk jamii zetu na Tanzania kwa ujumla.

Lengo letu ni kupata bidhaa bora na nzuri za kizalendo badala ya kuagiza bidhaa za nje ambazo zilizo nyingi zikiharibika hazina zpea.

Wasiliana nadi kwa simu namba
0784 413039.
 
kuna mtaalamu wa hayo mambo yupo veta chang'ombe anaitwa bukuku nenda pale atakupa ushauri au weka namba yako hapa ili nim2mie then muwacliane
 
Boss inabidi tujue
1. unataka auto au manual?
2. Yakutumia Umeme au gas au mafuta ya taa?
3. Yakutotolesha mayai mangapi?
 
Kwanza mashine inakicontrol joto so kinabalance joto na kupata joto linalotakiwa. Pia ktk mazingira ya joto kama dar unashauliwa kwa mashine yoyote ni lazima uiweke sehem isiyokua na joto ili kuweza kupata range inayotakiwa,co unaweka mashine juani au ktk banda la kuku zen unaset joto.

Hii utaset ila mazingira iliyopo linaongeza joto ata kama joto liko sahihi ndani.
 
Pia wasiliana nami kwa incubator za kila aina.

Za mafuta ya taa,za solar,za umeme,automatic au manual,pia natengeneza backup ilu incubator yako isikose umeme.nipo mburahati,au napatikana pia tabata.

Naunda mwenyewe hizo incubator za kila aina,lakini pia nauza za kutoka ulaya,asia,na afrika kusini.kwa sasa ninazo za mayai elfu mbili automatic,nauza milioni nne na na nusu ya mayai elfu mbili.

Wasiliana nami kwa simu namba.0784413039

karibu sana.
 
Nashukuru Mama Phanuel wa kibaha kwa kuwa mmoja wa ofic yetu nakutakia mafanikio ktk ufugaji
 
Kampuni ya mge inatimiza miaka saba tangu ianzishwe mnamo miaka saba iliyopita.

Tunapenda kuwashukuru watanzania wote kwa kutuamini sana na kutumia bidhaa zetu.pia tunawashukuru wateja wetu toka msumbiji,comoro,malawi,zambia,ambao kwa nia njema wameungana na sisi kununua bidhaa zetu na kuzitangaza ktk nchi zao.
Tunahitaji kujitangaza zaidi ya hapo tulipofika,na tunahitaji watu watambue kuwa kununua bidhaa yoyote kwetu ni sawa na kuwekeza ktk mali ambayo itazidi kukusaidia kiuchumi.
Pia tunawashukuru wale wote mliotuamini mkatuma fedha zenu,tukawatengenezea mashine,na tukawatumia,mungu awabariki sana.ktk kumbukumbu zetu ni mteja mmoja tu ambae ameshindwa kuwa mwaminifu licha ya sisi kumuamini,tunamuombea kww mungu amfungue ili pepo la dhuluma linalomtawala lishindwe ktk jina la yesu.
Mbali na kufanya kazi zetu kama biashara,lakini pia lengo letu ni kusaidia au kuwawezesha makundi mbalimbali wapate kujitegemea kwa kutumia bidhaa zetu.walengwa wakiwa ni wajane,yatima,vituo vya kulea watoto yatima nk,na kumbukeni kuwa unaposhindwa kuwa mwqminifu unaathiri utendaji wetu.
Mashine zetu za kutotolesha mayai ni ubunifu wetu wa pekee na tuna miliki ubunifu wetu,hivyo ni marufuku kwa yeyote kuiga au kutengeneza mashine yoyote bila kibali chetu.

Hii ni kwa kulinda ubora wa bidhaa zetu kwakuwa hivi sasa watu wengi wameanza kuiga uundaji wa incubator wakitumia ujuzi wa wengine,na hivyo kuunda incubator zisizo na ubora.
Mfano wa bidhaa hizo feki ni bidhaa zilizokutwa kwenye maonyesho,hata muundaji mwenyewe alishindwa kujieleza na kueleza umuhimu wa kugeuza mayai,kwani yeye alitengeneza mashine ambazo akasema hakuna kugeuza mayai.

Mfugaji anaweza kuona hiyo ndio mashine nzuri lakini hiyo ni feki kwwni ili kuumbika kwa kifaranga,yai lazima ligeuzwe,hata kuku anageuza mayai yake.

Tutakuwa na offa kwa watu wote watakaoagiza bidhaa ndani ya mwezi huy wa tatu,mpaka mwezi wa nne.

Yeyote alionaye tangazo hili asikose kumpa taarifa hii ampe taarifa mwenzie.
Tupigie,

0784413039.
Tupo mburahati,dsm.na tabata dsm.
 
mali mpya
WP_20150319_001.jpgWP_20150319_002.jpgWP_20150319_003.jpgWP_20150319_004.jpgWP_20150319_007.jpgWP_20150319_005.jpg
 
Hizi mashine ni za umeme, ukihitaji ya nishati nyingine unaweza tengenezewa kulingana na oda yako.
mashine ya bei ya chini ni laki 1.30 inabeba mayai 30

mkuu kwa naomba taarifa zifuatazo;
nahitaji incubator ya mayai 30 kwa kuku na kware, ningepependa ziwe na watts ndogo sababu nategemea nishati ya solar
je zinapatikana?
bei gani?
zinatumia siku ngapi kutotolesha?
naweza kutotolesha mayai ya bata au kanga kwa incubator ya kuku?

Asante
 
Incubator zote zinatotoresha siku 21 sababu zinatoa joto kama la ndege wengine, mashine hiyo utaipata kwa laki 1.50
inatumia watt 15, pia inauwezo wa kutotoresha mayai ya ndege aina yeyote
 
Inaingia mayai mangap je naweza pata ambayo haitumii umeme na bei yake ni ngap.Asante sana.
 
Yakutumia umeme na mafuta huwezi pata kwa hiyo bei yako unayotaka
yakutumia umeme na mafuta kwa hii nitakuuzia laki 3.30
 
Kwa bataba bado cjapata ofic ila mzigo unaupata popote pale ulipo. Ubora wake ni kuwa na ufanisi wa 86% na kutumia umeme mdogo, inapoleta hitirafu kwa kipindi cha miezi 3 unatengenezewa bure kwa wale waliopo ndani ya dar. mikoani utaonana na mawakara wetu na kupata huduma
 
Back
Top Bottom