HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Nilinunua China,
Sababu inahesabu na kudisplay siku za incubation mayai yangu yalipofika siku ya 18 nilipata vifaranga hadi jana siku ya 24 nimepata vifaranga. Mayai mengine nilikuta mabovu tokea siku ya 12.
Mimi kuna mtu alikuwa kule nikamtumia hela akanunua akaipakia kwenye ndege akaja nayo.
Ya mayai 580,880,1000,2000,3000 bora uweke baharini itafika after 50 days hivi.
Sababu inahesabu na kudisplay siku za incubation mayai yangu yalipofika siku ya 18 nilipata vifaranga hadi jana siku ya 24 nimepata vifaranga. Mayai mengine nilikuta mabovu tokea siku ya 12.
Mimi kuna mtu alikuwa kule nikamtumia hela akanunua akaipakia kwenye ndege akaja nayo.
Ya mayai 580,880,1000,2000,3000 bora uweke baharini itafika after 50 days hivi.