RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Huwa sishangai mashoga, nashangaa zaidi wanaume wanaokula mashoga. Huwa nawaona wendawazimu na wapumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ulipatana naye kula papuchi au tanki la majitaka?Sitasahau siku nilinunua dada poa...kwanza hakutaka kujeuka mbele...(Kwa wanunuaji mnajua kabisa mbuzi kagoma lazima uongeze hela)..ila iyo aliitega mwenyewe...nilivyomaliza zangu akili ya juu ilivyorudi nikaangalia vizuri naona muscles and masculinity features... Khaaa 🚮🚮 siku hiyo nilichukia sana na ndo kuacha kula wadangaji wembamba ...lile lilikua shoga 😭😭
Wajumbe wamakataa utetezi wako.No, silagi hizo.
Kuna jamaa alijichanganya kwenye massage parlour kumbe ya mashoga akala limoja akirirekodi ndo akatuonesha, lilikua linajituma balaa
Magomeni, kariakoo 💥💥Mbezi beach
Kawe
Msasani
Mikocheni
Mwenge
Kijitonyama
Magomeni
Kinondoni ya mjini
Sinza
Makongo
Kigamboni.
Kama una mume, kama una familia, basi fanyeni muhame hayo maeneo kwa vyovyote vile maana ndiyo maeneo yenye kasi ya 5G kwenye mambo ya ushoga...
Kimsingi maeneo mengi yenye ushua ushua ndiyo yanaongoza kwa uchafu wa aina hii..
Mpaka umeenda kumtembelea mlishasomana na kila mmoja kumkubali mwenzake.....😂Kuna jamaa nilikutana nae kariakoo kwenda kumtembelea ananiomba nimle na offer nyingi takataka anipe na friji ila nashukuru Mungu nilikataa kabisa
Hapana ni jamaa tu nilifahamiana nae kitaa siku naenda kumcheki baada ya story akaanza kusema nimle nilimkataa na namba nikafutaMpaka umeenda kumtembelea mlishasomana na kila mmoja kumkubali mwenzake.....😂
Kah!Mkuu tusijadili hili kwa sasa...
alilenga kula kisamvu ndio maana hakushtukaKwa hiyo ulipatana naye kula papuchi au tanki la majitaka?
Kuwa muwazi kidogo uwaokoe vijana😂
Inawezekana ikawa ametunga lakini haya mambo huwa yanatokea kwenye jamii zetu. Nakumbuka miaka ya nyuma kwenye kipindi cha Njia panda cha redio clouds kulikuwa na story ya Shoga akielezea uzoefu wake hadi akavunja ndoa ya mke wa mtu. Yaani huyo shoga alikuwa nyumba ndogo ya Mume wa mtu akapangiwa chumba na akawa anahudumiwa kila kitu kama mke hadi ikafikia jamaa haendi kulala kwa mkewe.hii ni sanaa
umetunga hadithi bandia .
ila ujumbe umefika
Tunaweza kulizungumza zaidi hili?Hapana ni jamaa tu nilifahamiana nae kitaa siku naenda kumcheki baada ya story akaanza kusema nimle nilimkataa na namba nikafuta
Kafakamia kaka poa baunsa. Ndo akaona achungulie marinda ya malaya akidhani yameundwa kwa misuli😂😂alilenga kula kisamvu ndio maana hakushtuka
Mjumbe unataka kuniangushia jumba bovu kwamba nilikula YasWajumbe wamakataa utetezi wako.
Rudi tena na utetezi wenye mashiko
Asante sana kaka mkubwa, yani hilo la kwanza ilikua tiket ya huyo mwanamke kupaka matako siagi yeye na watoto wake. Gumegume la hivyo halishindwi hata kuingilia watoto wake mwenyewe. Tena pia anaweza aje mke mwenzio afirimbe watoto na kuwaharibu. Na tena naamini kabisa hata Mungu ataridhia wewe mwanamke kuondoka hapo.Kwa Dada zangu wapendwa, mwanaume anayeenda kwa shoga Hana thamani wala sababu ya kupambaniwa, maana huwezi kuwa shoga, mshukuru Mungu, pambania maisha!
Wewe kama ni shoga usilazimishe kila mmoja aonekane kama wewe! Mbona unalazimisha maelezo ambayo sijayasema?Tunaweza kulizungumza zaidi hili?
Mlikutana Kariakoo na mkajenga ukaribu wa kutembeleana au mpo wote Kariakoo mnabangaiza na ukafuta namba wakati mnaonana daily?