Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Sitasahau siku nilinunua dada poa...kwanza hakutaka kujeuka mbele...(Kwa wanunuaji mnajua kabisa mbuzi kagoma lazima uongeze hela)..ila iyo aliitega mwenyewe...nilivyomaliza zangu akili ya juu ilivyorudi nikaangalia vizuri naona muscles and masculinity features... Khaaa 🚮🚮 siku hiyo nilichukia sana na ndo kuacha kula wadangaji wembamba ...lile lilikua shoga 😭😭
Kwa hiyo ulipatana naye kula papuchi au tanki la majitaka?

Kuwa muwazi kidogo uwaokoe vijana😂
 
Mbezi beach

Kawe

Msasani

Mikocheni

Mwenge

Kijitonyama

Magomeni

Kinondoni ya mjini

Sinza

Makongo

Kigamboni.

Kama una mume, kama una familia, basi fanyeni muhame hayo maeneo kwa vyovyote vile maana ndiyo maeneo yenye kasi ya 5G kwenye mambo ya ushoga...

Kimsingi maeneo mengi yenye ushua ushua ndiyo yanaongoza kwa uchafu wa aina hii..
 
Mbezi beach

Kawe

Msasani

Mikocheni

Mwenge

Kijitonyama

Magomeni

Kinondoni ya mjini

Sinza

Makongo

Kigamboni.

Kama una mume, kama una familia, basi fanyeni muhame hayo maeneo kwa vyovyote vile maana ndiyo maeneo yenye kasi ya 5G kwenye mambo ya ushoga...

Kimsingi maeneo mengi yenye ushua ushua ndiyo yanaongoza kwa uchafu wa aina hii..
Magomeni, kariakoo 💥💥
 
hii ni sanaa
umetunga hadithi bandia .
ila ujumbe umefika
Inawezekana ikawa ametunga lakini haya mambo huwa yanatokea kwenye jamii zetu. Nakumbuka miaka ya nyuma kwenye kipindi cha Njia panda cha redio clouds kulikuwa na story ya Shoga akielezea uzoefu wake hadi akavunja ndoa ya mke wa mtu. Yaani huyo shoga alikuwa nyumba ndogo ya Mume wa mtu akapangiwa chumba na akawa anahudumiwa kila kitu kama mke hadi ikafikia jamaa haendi kulala kwa mkewe.
 
Hapana ni jamaa tu nilifahamiana nae kitaa siku naenda kumcheki baada ya story akaanza kusema nimle nilimkataa na namba nikafuta
Tunaweza kulizungumza zaidi hili?

Mlikutana Kariakoo na mkajenga ukaribu wa kutembeleana au mpo wote Kariakoo mnabangaiza na ukafuta namba wakati mnaonana daily?
 
Kwa Dada zangu wapendwa, mwanaume anayeenda kwa shoga Hana thamani wala sababu ya kupambaniwa, maana huwezi kuwa shoga, mshukuru Mungu, pambania maisha!
Asante sana kaka mkubwa, yani hilo la kwanza ilikua tiket ya huyo mwanamke kupaka matako siagi yeye na watoto wake. Gumegume la hivyo halishindwi hata kuingilia watoto wake mwenyewe. Tena pia anaweza aje mke mwenzio afirimbe watoto na kuwaharibu. Na tena naamini kabisa hata Mungu ataridhia wewe mwanamke kuondoka hapo.

Jesus is coming back...lets repent
 
Tunaweza kulizungumza zaidi hili?

Mlikutana Kariakoo na mkajenga ukaribu wa kutembeleana au mpo wote Kariakoo mnabangaiza na ukafuta namba wakati mnaonana daily?
Wewe kama ni shoga usilazimishe kila mmoja aonekane kama wewe! Mbona unalazimisha maelezo ambayo sijayasema?
 
Kuna shoga mmoja nilikutana nae kwenye semina ya masuala ya UKIMWI mwaka 2011, kwanza yule shoga alijiweka wazi kabisa kuwa yeye ni shoga.
Siku moja muda wa lunch tumekaa meza moja na dada mmoja ambae ni mkufunzi kwenye hiyo semina akawa anamdadisi maswali kadhaa.
Yule Shoga huku akiongea kwa kujiamini alimwambia kuwa mimi nakuzidi ujuzi wa kitandani na nikitembea na mume wako tunakuwa wake wenza. Yule mkufunzi alikataa kuwa haiwezekani akajibiwa kama unabisha nitambulishe kwa mumeo uone nini kitakachotokea.
 
Back
Top Bottom