Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Mwachiluwi mpenda vya bure umesikia hilo
 
Haya mambo yako saana mtaani, nilishawah pata kisa kwamba mfanyakaz wa taasis fulan ya hela alikuwa anaish na shoga nyumban kwake,

Tujiulize wote vitu hivi vina maajabu Gani?
Tuki refer back wakat wa sodoma na ghomora, watu walikataa kuwala mabinti bikira wanataka wanaume,
Yaani nitahiriwe kwa shida vile afu Nile dume??
 
Hivi watu wa humu mko na akili gani sijui

Mada kama hii inatakiwa ukae uone chanzo, effect utoke hapa uone jamii ilivyo haribika, ndo ujue namna ya kumkinga mwanao.... Na ndugu zako

kingine wanawake punguzeni kuwa marafiki wa hao jamaa....... wakimjua mumeo hachomoi..... Labda asiwe anataka totally

buswagg pita huku uone jamii ilivyo
 
Mwanzoni umeelimisha vizuri sana lakini wanawake siku zote awana mbadala kwenye swala linalohusu tendo
Penzi la mwanamke na penzi la awa poa lina interval kubwa sana kwenye ku enjoy itoshe kusema mwanamke asimame kuwa mwanamke kwenye tendo lakini awa poa uchafu na ni mwiko
 
OYa we msitujazie laana humu.
 
Huyo jamaa hamjamtema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…