Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Mkuu hata mke azingue kiasi gani, hata awe na makelele na matumizi ya kupitiliza haimpi mtu uhalali wa kwenda kuchokonoa tope la mwanaume mwenzake.

Jamaa hiyo ni tabia yake halisi na si ajabu hajaanzia kwa huyo aliyeko nae saivi. Asilimia kubwa ya wanawake wana uwezo wa kuvumilia sana maisha yetu ilimtadi tu uwe umenyooka na mambo yako.
 
Sasa hiyo misamiati ya 'shoga' na 'msagaji' kazi yake nini?

Na unavyosema ni issue za mirembe hauko mbali na ukweli kwasababu huwezi kuniaminisha mtu ataamua tu kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja bila kichochezi kwenye akili yake.

Mtu anaamua tu kuwa vile. Inaingia akilini kweli?

Wale sio wanaume na sisi hatuwatambui.
 
Hivi ni kwanini wanyama hawana akili na hawakosei tundu Wala hawaingiliani dume Kwa dume Wala jike Kwa jike

Lakini mbona wanadam wana akili kabisa na wanakosea tundu afu wanaingiliana dume Kwa dume na jike Kwa jike

Why????? Kwanini???????
 
Kohiyo kaka poa anapeleka kiuno na kuifinyia kwa ndani??? Au hawa kaka poa wanakatika sana nini?? Eti dada zangu kazi imewashinda mpaka kaka poa wanawasaidia au ni nini tatizo??
Tatizo nadhani ni hizi hulka za wanawake zetu; unakuta mwanaume anatimiza majukumu yake kadri ya uwezo wake lakini bado haonekani anafanya kitu cha maana; kila siku hataki "uvute sigara" (wakati alikukubali ukiwa unafanya hivyo), hataki marafiki zako, hataki nywele zako zilivyo, ana maindi kwanini humpi pesa kama jinsi mme wa shosti yake anavyofanya na mengine mengi wakati hawa makaka poa unakuta kwa asilimia kubwa kuna uhalisia wa aina mbili:

1. Wengi wamepitia ukatili kutoka kwa wanaume mbalimbali; ubakaji, vipigo, kuna wanaotembea nao na wanaishia kuwaacha kwa kinyaa..... Sasa imagine kaka poa wa aina hii akakutana na mwanaume ambayo hajaonesha sifa zote hapo juu na mwanaume huyo kwenye ndoa yake mambo sio shwari yaani hapa kama wewe ni mke utaona picha zote

2. Wanasema kuishi na mwanamke unahitaji akili nyingi hivyo kwa makaka poa sidhani zinahitajika akili nyingi maana kwenye nyumba mnakuwa wanaume wawili ; yaani hapo mshkaji akirudi patupu kaka poa sio wa kuuliza "sasa tunafanyaje honey" lazima atakuwa na solution ya cha kufanya maana mwanaume hajaumbwa kulelewa kama mtoto
Hivi ni kwanini wanyama hawana akili na hawakosei tundu Wala hawaingiliani dume Kwa dume Wala jike Kwa jike

Lakini mbona wanadam wana akili kabisa na wanakosea tundu afu wanaingiliana dume Kwa dume na jike Kwa jike

Why????? Kwanini???????
Utashi ni mzigo mkuu, unakuja na added complications
 
Uwepo wa hiyo misamiati sio baraka ya jambo/tendo kufanyika.

Muuwaji/Jizi/Jambazi ipo lakini ni watu wasiotakiwa kuwepo.

Na kuwakataa tu kwamba sio wanaume hakubadirishi ukweli kwamba hao ni Wanaume walioamua kutumia tundu la matakoni la kutolea kinyesi kuingiziwa m.b.o.o na wanaume wenzao!

Men! will surely be his own Destroyer!
 
Asee
 
Dah, nimekushindwa coach๐Ÿ˜‚

Sasa kama nyie mnawaona wana kasoro mnataka na sisi tuwatambue vipi?

Wana kundi lao, uanaumeni hawafit.
 
Hivi mwanaumee mwenzio anakuvutia Nini?.. mbona kama sielewiiii..hilo tendo linasisimuliwa na Nini?..Sasa daahh sijuii hata nataka kusema Nini๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Endeleeni kuupaisha...yatawafikia mpk makwenu...
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Yani tuache kufatilia maendeleo ya watoto tuanze kulinda mikundruu ya watu wazima??
Kweli kabisa?!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mtu km kaamua kulichezesha kalio lake ni yeye na mwili wake, wanawake tuna mengi ya kufanya bro.!
Sasa hao ambao mnawasahau eti kisa mnalinda watoto wenu ndio wanakuja kuwaharibu watoto wenu sasa , huyo mtoto untamlinda 24/7? Hatakuwa na marafiki? Hataona tamaduni ya hawa watu haijatapakaa mtandaoni? Hatahongwa playstation 10 wakati wewe umekataa kumnunulia iphone X 2035?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ