Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

Hatujifunzi!! Nyie toeni tu mnachoweza kutoa.
 
A funny person you are! Ya’ll want to be women so bad!

Karibuni

😂
 

chai
 
Lawama kwa mwanamke badala ya mapokeo potofu na kuendekeza tamaa za mwili kati ya watu wa jinsia moja ambao ni wanaume!
 
Kuna mambo ya kijinga nilishakubali yanipite kushoto. Na kwa umri huu naamini sitakuja kuyafanya;

1.Kuvuta bangi au kutumia madawa yoyote ya kulevya.

2.Kuhudhuria casino.

3.Kula kwa mpalange (awe mwanaume au shoga).

Mamamaeeeeeeee kabisaaaaaaaa!!
Nilifiki utaongeza la nne kwamba hautaruhusu mtu aku.... kwa kuwa hujalitaja basi ni jambo ulilolipa kibali
 
Kah! Ulikuwa umelewa au😂😂😂😂
 
Wewe unasemea watoto au mume? Mbona sasa hueleweki.!!

Hebu soma tena ulichoandika vizuri, km ni watoto jukumu la wote mume na mke.!!
Ila km ni kumlinda mume km uzi wako unavyosema, Narudia tena hakuna mwanamke wa kufatilia mkundruu wa mumewe anautumia vipi kwenye shughuli zake binafsi…!! Hapo utakuwa umenielewa.
 
Kuna chimbo niliingia na washkaji kupoza koo mitaa ya home karibu na kwa bibi tbt aisee jamaa mwenye nyumba kaibadili nyumba yake kua bar , Jamaa ni shoga . Tukajichanganya kuchukua private room . Yaliyokua yanaendelea mule ni mazito haswa
 
Kuna chimbo niliingia na washkaji kupoza koo mitaa ya home karibu na kwa bibi tbt aisee jamaa mwenye nyumba kaibadili nyumba yake kua bar , Jamaa ni shoga . Tukajichanganya kuchukua private room . Yaliyokua yanaendelea mule ni mazito haswa
🤔🤔
 
Kuna chimbo niliingia na washkaji kupoza koo mitaa ya home karibu na kwa bibi tbt aisee jamaa mwenye nyumba kaibadili nyumba yake kua bar , Jamaa ni shoga . Tukajichanganya kuchukua private room . Yaliyokua yanaendelea mule ni mazito haswa
Eeeeh
 
Mke wangu Labella..
 
Kwani na wewe ni shoga? Mbona umeandika kama
unaf
kwani wewe ni shoga mkuu? Mbona umeandika kwa bakshishi sana?
 
Kuna chimbo niliingia na washkaji kupoza koo mitaa ya home karibu na kwa bibi tbt aisee jamaa mwenye nyumba kaibadili nyumba yake kua bar , Jamaa ni shoga . Tukajichanganya kuchukua private room . Yaliyokua yanaendelea mule ni mazito haswa
Upo ulimwenguni so si kila jambo unalotaka liwe litakuwa kila mtu ana yake. Dunia uwanja wa fujo so ukichunguza sana unaweza kutana na mambo ya ajabu sana. Hao mnaowasema sana wanakuwaga na upendo sana sema tuu kuna wengine wanajichubua hadi kwenye meno, so kila mtu afanye issue zake utaishi vzr. Alaf ujue haya mambo ni kam circle unaweza kuta hata ndugu zako wapo wanaweza kuwa top, verse au bottom so mambo yapo sanaa na yanatendeka sanaa kikubwa usikele jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…