Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Wanawake asili yao nikuchuna sio kuchunwa, ukimwona mtu wewe mwanaume unamchuna usimchukulie poa kakupenda.

Sasa kuna watu wanaongea shit kuhusu watu wa humu sio nawapenda sana wanawake wa humu but anajumlisha wanawake wote . Nasio mara moja wanadai anaona profile picture anaenda pm sasa profile picture ya rihanna halafu kweli unaenda pm eti ukakutane na rihana .

Aisee acheni kuzingua basi hakuna kichaa ataona picha halafu aweke ndio mtu halasi . Mtoa ni tz halafu kaweka picha ya white not yake halafu unaenda huko huko unamtag unaenda naye kulala naye. Shame on you men.

Hivi unaanzaje kukutana na mtu humjui hujawahi mwona mpaka unamvua nguo zote hizo ulikuwa unaona ile profile picture . Au ulikuwa na shida zako . Zimeisha eti mtu yuko kama mfuniko .

Halafu unatujumlisha wote kabisa hii sio sawa . Wanaume wa jf jieshimuni tokea nifanye kazi za watu wa jf wote ni watu wazima wenye familia zao. Humu jf siwajui wanawake kwa sura japo mmoja nimemuona kupitia facebook kweli ni anasura ya baba ila wanaume wazee sana mnakera mnadhalilisha watu . Kuweni na adabu andika fulani unakera mpe makavu basi sio watu wote mimi na shida zangu naingia jf nifurahie nakuta wadada wajf wamefanya hili au lile why mnamjulisha watu wote nani sasa amtake nani humu kwalipi sasa mbwa tuambie sasa mnatembelea magari ya mikopo na yakazini hamna lolote.

Acheni ujinga mnakeraaa . Hakuna mtu amewahi nipa pesa yakujikimu humi ndani hata mwezi mmoja zaidi yakufanya kazi nakujitoa kwa jasho .

Kila saa wadada wa jf andikeni wa mf kimeumana umekula hela yangu rudisha sio wote wanaishi kwa hela za wajinga wa humu.
Nicheki pm, nina ujumbe wako
 
Yani kapigika vibaya sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
20231215_075429.jpg
 
Nitoe huko kwenye Hilo kundi
Hata kama naomba siwezi kuomba efu 5
Haya tumeshakutoa kwenye kundi la kausha damu a.k.a ombaomba

Tunawataka wanawake kama nyinyi kind of woman that can do for herself she got her own thing and her bills are paid on time

Omba omba BIG NO iwe kizinga ni kikubwa au kidogo
 
Wanawake asili yao nikuchuna sio kuchunwa, ukimwona mtu wewe mwanaume unamchuna usimchukulie poa kakupenda.

Sasa kuna watu wanaongea shit kuhusu watu wa humu sio nawapenda sana wanawake wa humu but anajumlisha wanawake wote . Nasio mara moja wanadai anaona profile picture anaenda pm sasa profile picture ya rihanna halafu kweli unaenda pm eti ukakutane na rihana .

Aisee acheni kuzingua basi hakuna kichaa ataona picha halafu aweke ndio mtu halasi . Mtoa ni tz halafu kaweka picha ya white not yake halafu unaenda huko huko unamtag unaenda naye kulala naye. Shame on you men.

Hivi unaanzaje kukutana na mtu humjui hujawahi mwona mpaka unamvua nguo zote hizo ulikuwa unaona ile profile picture . Au ulikuwa na shida zako . Zimeisha eti mtu yuko kama mfuniko .

Halafu unatujumlisha wote kabisa hii sio sawa . Wanaume wa jf jieshimuni tokea nifanye kazi za watu wa jf wote ni watu wazima wenye familia zao. Humu jf siwajui wanawake kwa sura japo mmoja nimemuona kupitia facebook kweli ni anasura ya baba ila wanaume wazee sana mnakera mnadhalilisha watu . Kuweni na adabu andika fulani unakera mpe makavu basi sio watu wote mimi na shida zangu naingia jf nifurahie nakuta wadada wajf wamefanya hili au lile why mnamjulisha watu wote nani sasa amtake nani humu kwalipi sasa mbwa tuambie sasa mnatembelea magari ya mikopo na yakazini hamna lolote.

Acheni ujinga mnakeraaa . Hakuna mtu amewahi nipa pesa yakujikimu humi ndani hata mwezi mmoja zaidi yakufanya kazi nakujitoa kwa jasho .

Kila saa wadada wa jf andikeni wa mf kimeumana umekula hela yangu rudisha sio wote wanaishi kwa hela za wajinga wa humu.
Wamekosa kazi za kufanya hivi mtu mwenye akili timamu anaweza sema oohnyonyinyonyonyo kama sio utahira ni nin eww.
 
99% ya wanaume humu wanaopiga kelele na kuwapa sifa mbaya wanawake kila kukicha sifa zao ni hizi
1.MASKINI WA AKILI NA PESA
2.WAFUPI, WASIO NA MUONEKANO MBELE WALA NYUMA
3.HASIRA ZA UGUMU WA MAISHA
4.HASIRA KUKATALIWA
5. GUBU

Ukiona jamaa wa hivyo humu muonee tu huruma hayuko sawa
 
Wanawake asili yao nikuchuna sio kuchunwa, ukimwona mtu wewe mwanaume unamchuna usimchukulie poa kakupenda.

Sasa kuna watu wanaongea shit kuhusu watu wa humu sio nawapenda sana wanawake wa humu but anajumlisha wanawake wote . Nasio mara moja wanadai anaona profile picture anaenda pm sasa profile picture ya rihanna halafu kweli unaenda pm eti ukakutane na rihana .

Aisee acheni kuzingua basi hakuna kichaa ataona picha halafu aweke ndio mtu halasi . Mtoa ni tz halafu kaweka picha ya white not yake halafu unaenda huko huko unamtag unaenda naye kulala naye. Shame on you men.

Hivi unaanzaje kukutana na mtu humjui hujawahi mwona mpaka unamvua nguo zote hizo ulikuwa unaona ile profile picture . Au ulikuwa na shida zako . Zimeisha eti mtu yuko kama mfuniko .

Halafu unatujumlisha wote kabisa hii sio sawa . Wanaume wa jf jieshimuni tokea nifanye kazi za watu wa jf wote ni watu wazima wenye familia zao. Humu jf siwajui wanawake kwa sura japo mmoja nimemuona kupitia facebook kweli ni anasura ya baba ila wanaume wazee sana mnakera mnadhalilisha watu . Kuweni na adabu andika fulani unakera mpe makavu basi sio watu wote mimi na shida zangu naingia jf nifurahie nakuta wadada wajf wamefanya hili au lile why mnamjulisha watu wote nani sasa amtake nani humu kwalipi sasa mbwa tuambie sasa mnatembelea magari ya mikopo na yakazini hamna lolote.

Acheni ujinga mnakeraaa . Hakuna mtu amewahi nipa pesa yakujikimu humi ndani hata mwezi mmoja zaidi yakufanya kazi nakujitoa kwa jasho .

Kila saa wadada wa jf andikeni wa mf kimeumana umekula hela yangu rudisha sio wote wanaishi kwa hela za wajinga wa humu.
Imeandikwa mwanaume ndio atakula kwa jasho, kwanini wewe unaenda kinyume na maandiko?
 
Nimeona hapo kuna mtu ana sura ya baba๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Yan ye mwenyewe anasema ni mwanamke alafu anamponda mwanamke mwenzie , huwezi kukuta wanaume wanafanya hichi kitu, women hate each other soo bad. Yan anafanya kitu kile kile anachokilalamikia yeye ila in a different way inawezekana angekuwa mwanaume angewaponda wanawake kuliko hata hawa anaowalalamikia hapa jf. I am amused.
 
Yan ye mwenyewe anasema ni mwanamke alafu anamponda mwanamke mwenzie , huwezi kukuta wanaume wanafanya hichi kitu, women hate each other soo bad. Yan anafanya kitu kile kile anachokilalamikia yeye ila in a different way inawezekana angekuwa mwanaume angewaponda wanawake kuliko hata hawa anaowalalamikia hapa jf. I am amused.
Wanawake hatujai pendana sijui kwanini
 
Back
Top Bottom