Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Ushauri mzuri

Huu ushauri uguse wote wanawake na wanaume

Tatizo lenu mnaonaga ni sisi tu ndio hatujatulia

Wakati tukishika simu zenu tunakuta mna mabwana kama wote. Na mnavyojua kutupanga
Ukiwa unaona hivyoo unamuuliza shida nini na kama habadiliki unamwambia na unatafuta kwingine usikae mahali pasipo na muelekeo jamani
 
Back
Top Bottom