sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
I don't know why people takes things seriousEwaaaaa JF unaichukuliaje serious lkn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I don't know why people takes things seriousEwaaaaa JF unaichukuliaje serious lkn
Sina ufahamu na hilo mkuu siwezi ligusia maana sijawahi kuwa na ndoa.Ila ndoa ni utapeli sana mkuu
Ukiwa unaona hivyoo unamuuliza shida nini na kama habadiliki unamwambia na unatafuta kwingine usikae mahali pasipo na muelekeo jamaniUshauri mzuri
Huu ushauri uguse wote wanawake na wanaume
Tatizo lenu mnaonaga ni sisi tu ndio hatujatulia
Wakati tukishika simu zenu tunakuta mna mabwana kama wote. Na mnavyojua kutupanga
Ndoa siri yandoa ni mwishi kwa kupendana sio kwa kuvizianaIla ndoa ni utapeli sana mkuu
Na nyie mmezidi kudate wadada njaa mtu unakosaje hela ya kula 🤨
Anamnyima mwenzie efu tano anataka afe njaa 🤣🤣🤣Anakuita majina yote ya kimahaba "mume,mpenzi, mkeo nitalia"
Hivi ndo huyu huwa unamzungumzia kwenye kugusanisha vikojoleo zile style unamuweka,mzee wa "de libolo"?
Tuma hiyo 5,000 Tsh mara ya mwisho aiseeh,hatutaki msiba.🤣
Mie ilikuwa zamani nilichunwa laki mbili na vocha ya elfu 50 so jumla ni laki mbili nanusuHivi humu ndani mpo serious sana eeh?
Kanuni ni kwamba ukishagundua ana wengine ni hapohapo kupiga chini haina maelezoUkiwa unaona hivyoo unamuuliza shida nini na kama habadiliki unamwambia na unatafuta kwingine usikae mahali pasipo na muelekeo jamani
SawaNdoa siri yandoa ni mwishi kwa kupendana sio kwa kuviziana
Ndio zenu hizo hata mkiwa na hela mnajifanya mmeishiwa kabisaNa nyie mmezidi kudate wadada njaa mtu unakosaje hela ya kula 🤨
Vijana wana roho ngumu.Anamnyima mwenzie efu tano anataka afe njaa 🤣🤣🤣
Mnajiona pigo zenu eeh! 😅😂😂😂😂Jamani
Mama some food upo una afu tano hapo unisaidie😂😂😂😂Jamani
Kuna wanawake hawnaa bahat kabisa 😀😀Mnajiona pigo zenu eeh! 😅
Nitoe humo jamaniNdio zenu hizo hata mkiwa na hela mnajifanya mmeishiwa kabisa