EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
nilimpa nasijala na yupo mbali mnooooWatu wanashida ungempa tu maana wewe ndio tegemeo . Je umekula papuchi
sema kila navompa ndo anavozidisha kuomba
nawala sina uhusiano nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilimpa nasijala na yupo mbali mnooooWatu wanashida ungempa tu maana wewe ndio tegemeo . Je umekula papuchi
Polenilimpa nasijala na yupo mbali mnoooo
sema kila navompa ndo anavozidisha kuomba
nawala sina uhusiano nae
Ndiyo mamaHivi wamezidi hivi
Kuna mtu alidai kusema asilimia kubwa ya id za humu ni wanawake nimeamini mnapemda sana kuwaota wenzenu wanaume ili nyie mkadange ila ukweli ni huu katika udangaji wenu mnapigwa matukio . Namnasanukiwa ni kausha damu na mnasemwa vibaya. Sijui wafupi wamepigwa pasi ndio hivyoo
Waulize hao hao uliokutana naoKitu kingine wanawake wasichojua ni kuwa mwanaume yoyote anaejielewa mwenye hela, anapenda kutoa hela kwa mwanamke anaempenda
Shida ni hawa wadada wengi a.k.a vijukuu vya Delilah, yani ukiwatongoza, wengi Wana personality za kishenzi, interaction Yao yoote, you feel used, hata kama una hela unaona huyu kwanini nimsaidie, mdada ukimtongoza, she can't carry a Convo, mdada anakujibu vibaya, au anakujibu as if ww ni kinyesi, au as if uko kwenye job interview, half anatarajia umsaidie hela, how yani Depal Unique Flower Natafuta Ajira
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kivumbi leoMnifuate PM? Nifuate sasa kinguvu shenzi type . Huna uume ,hela wala pp zimelegea ukiwa chooni haja kubwa yote yanashuka kamzigo. Halafu nikulazimishe kitu kimepauka kina rangi nyeupe, ushindwe,.. mtaani muna wanaume wa chuga watraam kama nini wananguvu za maziwa na nyama mashine imepigwa dawahata apples ni tramu.
Wewe kenge uwe ke au me mi nimjamzito soon naenda leba so kaa kwakutulia. Sina haja ya kupuliwa na watu wazee mie . Msije mkanifia na vipumzi haba
Kazi nimeshapata dada angu.Umepata kazi arusha kuna kazi ya wamama kubebishwa ukijua mambo vizuri unapata hadi na tipu
Jukumu la baba yake kuhakikisha binti yake amekula🤣
Umeua kwa njaa binti wa watu tayari
Siku hizi pussy iko cheap sanaAisee nunua mdoli
Nashangaa anavyojipa cheo cha mke, angekuwa ni wife wangu kumtunza ni jukumu langu asingehitaji hata kunikumbushaAnakuita majina yote ya kimahaba "mume,mpenzi, mkeo nitalia"
Hivi ndo huyu huwa unamzungumzia kwenye kugusanisha vikojoleo zile style unamuweka,mzee wa "de libolo"?
Tuma hiyo 5,000 Tsh mara ya mwisho aiseeh,hatutaki msiba.🤣
Hawa kausha damu hawaelewi tukishamaliza kuwazagamua wasitutafute tena na shida zao asubiri tena shoo nyingine. Mchakato mzima wa kumzagamua nitalipia lakini sio baada ya mzagamuo aanze kutangaza shida zakeHivi ndo huyu huwa unamzungumzia kwenye kugusanisha vikojoleo zile style unamuweka,mzee wa "de libolo"?
Tuma hiyo 5,000 Tsh mara ya mwisho aiseeh,hatutaki msiba.
Nitakucheki PM mumsaidie shosti yenuNipe namba yake aisee asije akafa njaa mdada wa watu😃,, wanawake kuinuana au unasemaje Unique Flower
Oyaa dhamani kama dhamani 😅😅Mbona huoni dhamani ya mwenzio 😂
Hahaha vipi na wewe huumpigi vizinga mwanetu?Poleni sana aisee
Huyu manzi ni mtumishi serikalini anafanya kazi na mshahara si haba sio kwamba hana misheHuyo mdada kama anakupa papuchi, kiukweli kama una hela nashauri umsaidie kulingana na uwezo wako, saa ingine hujui mtu anapitia nini kwenye haya maisha
Shida yangu iko kwa wale mademu mbususu hajawahi kupa na hataki kuitoa, na bado anakuomba hela Mzee wa kupambania
Kwamba bila mimi atakufaEti "nimueleze nani shida zangu",
Si amuambia babaake na mamake au hata Mwenyezi Mungu?
Hahaha dah ka ni ivyo ulikuwa na haki ya kumnyima hela, ila yote tisa, unamlaga 0713? au kwavile ni wife to be, tope lake unalikaushia Mzee wa kupambaniaHuyu manzi ni mtumishi serikalini anafanya kazi na mshahara si haba sio kwamba hana mishe
Shida ya wanawake ni moja hela zao wanazionea ubahiri sana
Za kwao kuzitumia wanazionea uchungu ila zetu ndio za kufanyia matumizi yao binafsi
Wana ile kauli yao kwamba hata awe na milioni ila akiona unamtumia hata elfu 10 yako anahisi anathaminiwa ndio pigo zao
Nilimkaushia na sikumtumia sasa hivi tumepatana, alikuwa anajidekeza eti anakaza nione kweli ana shida, hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili sana
Ananielewa sana, ila ndio hivyo anataka aniingize kwenye mfumo wa kumhudumia, na mimi nilishaapa kwenye maisha yangu wa kumhudumia ni atakeyekuja kuwa mke wangu wa ndoa tu
Kama nikimuoa atakula vizuri tu hela za mumewe, ila kwa sasa acha twende hivi kibishi
View attachment 2874128