OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ndio hawa wanataka heshima, unampa heshima tapeli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hawa wanataka heshima, unampa heshima tapeli?
Nilikuwa nimeandaa makala pgs kama 8 hivi kulalamika. Sasa umeniwahi kha😀😀😀Wanawake asili yao nikuchuna sio kuchunwa , ukimwona mtu wewe mwanaume unamchuna usimchukulie poa kakupenda...
Women are very selfish creatures. Halafu baada ya hapo wanadai 50/50. Ajira 50/50, uongozi 50/50, kurithi mali 50/50 ila kwenye ku-provide monetary expenses ndio mwanaume abebeshwe 100% zoteAnasema nature ya mwanamke ni kuhongwa, yaani yeye akipiga mizinga ruksa
Kama ulikua haujui basi nakufahamisha mimi kama mwenyekiti wa UWABATA natambua juhudi zako. Keep it up my boy.
Tatizo ni Njaa...
Ila ni kwa baadhi ya wanaume wa JF...
Ur?Kama ulikua haujui basi nakufahamisha mimi kama mwenyekiti wa UWABATA natambua juhudi zako. Keep it up my boy.
Nina matatizo mengi. Nije pm?Sio kwamba una matatizo yako binafsi?
“Onyesha na huko juu mlikotokea”
Ina shida gani?
Tatizo la Akili.Wanawake asili yao nikuchuna sio kuchunwa , ukimwona mtu wewe mwanaume unamchuna usimchukulie poa kakupenda .
Sasa kuna watu wanaongea shit kuhusu watu wa humu sio nawapenda sana wanawake wa humu but anajumlisha wanawake wote . Nasio mara moja wanadai anaona profile picture anaenda pm sasa profile picture ya rihanna halafu kweli unaenda pm eti ukakutane na rihana .
Aisee acheni kuzingua basi hakuna kichaa ataona picha halafu aweke ndio mtu halasi . Mtoa ni tz halafu kaweka picha ya white not yake halafu unaenda huko huko unamtag unaenda naye kulala naye. Shame on you men.
Hivi unaanzaje kukutana na mtu humjui hujawahi mwona mpaka unamvua nguo zote hizo ulikuwa unaona ile profile picture . Au ulikuwa na shida zako . Zimeisha eti mtu yuko kama mfuniko .
Halafu unatujumlisha wote kabisa hii sio sawa . Wanaume wa jf jieshimuni tokea nifanye kazi za watu wa jf wote ni watu wazima wenye familia zao. Humu jf siwajui wanawake kwa sura japo mmoja nimemuona kupitia facebook kweli ni anasura ya baba ila wanaume wazee sana mnakera mnadhalilisha watu . Kuweni na adabu andika fulani unakera mpe makavu basi sio watu wote mimi na shida zangu naingia jf nifurahie nakuta wadada wajf wamefanya hili au lile why mnamjulisha watu wote nani sasa amtake nani humu kwalipi sasa mbwa tuambie sasa mnatembelea magari ya mikopo na yakazini hamna lolote .
Acheni ujinga mnakeraaa . Hakuna mtu amewahi nipa pesa yakujikimu humi ndani hata mwezi mmoja zaidi yakufanya kazi nakujitoa kwa jasho .
Kila saa wadada wa jf andikeni wa mf kimeumana umekula hela yangu rudisha sio wote wanaishi kwa hela za wajinga wa humu.
Msisitizo ni muhimu mtaniIla ni kwa baadhi ya wanaume wa JF...[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi😃😁wanaume hatuna mambo Mengi weka picha una kalio hata kama sio Yako sisi tunaruka na Wewe Ili mladi una kitumbua tu baaasi.
Mtaje huyo kahaba mwenzako sasa mlalamishi mkuuWewe ni kahaba fulani tu sikia wanaume mmezidi sana kuwadharau wanawake
Pole madam. Take it easy, please!Wewe ni kahaba fulani tu sikia wanaume mmezidi sana kuwadharau wanawake
Kweli wawaache aisee waongeze bidii huko chaputa na tena palivyojaa wanawake wazuri stripchat na ok.xxx mtu unaanza kulalamika lalamika
Kweli Kazi ipoME
ME kabisa
Tuishie hapa hapa..Nina matatizo mengi. Nije pm?