Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Hamna mchango wowote, hamna kitu chochote cha kuweka mezani, hamna akili, mnavaa uchi na bado haitoshi mnaamua kuvaa mpaka tyt za ndani zilizo chanwachanwa na kutembea nazo, bado ni chuma ulete , hamna hata mchango wowote mnadai haki sawa na wakati bado mnataka matunzo na kupiga mizinga na bado hapo hapo mnatembea nusu uchi.

Mbaya zaidi unakuta mnapiga mizinga bado kisamaki kinasikika na bado unatembea uchi sasa nyie omba omba na malayai mnaojificha kwenye kigezo cha mahusiano tusiwachane ukweli. Mkiona mnaanza kuumia mkae mkijua huu ndiyo ukweli unao uma

* Humwaka kataa mwanamke kausha damu, kataa ombaomba , kataa chuma ulete, kataa feminist, kataa harufu ya kisamaki, kataa single maza. Hao wamelaaniwa ukiwaendekeza utakufa masikini tukakuzike kwenye makaburi ya kadamnasi*


Nb: Wanaume wote kule UWABATA- cha cha wanaume bahili Tanzania kunakikao chetu kinaendelea tokea jana.
 
Tafuta wa kutulia naye namuwe mnapenda kwenda kucheki afya zenu.
Haya maisha ya huyu au yule shida tu ndio utampata single mother .
Ushauri mzuri

Huu ushauri uguse wote wanawake na wanaume

Tatizo lenu mnaonaga ni sisi tu ndio hatujatulia

Wakati tukishika simu zenu tunakuta mna mabwana kama wote. Na mnavyojua kutupanga
 
Back
Top Bottom