Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera

Nicheki pm, nina ujumbe wako
 
Nitoe huko kwenye Hilo kundi
Hata kama naomba siwezi kuomba efu 5
Haya tumeshakutoa kwenye kundi la kausha damu a.k.a ombaomba

Tunawataka wanawake kama nyinyi kind of woman that can do for herself she got her own thing and her bills are paid on time

Omba omba BIG NO iwe kizinga ni kikubwa au kidogo
 
Wamekosa kazi za kufanya hivi mtu mwenye akili timamu anaweza sema oohnyonyinyonyonyo kama sio utahira ni nin eww.
 
99% ya wanaume humu wanaopiga kelele na kuwapa sifa mbaya wanawake kila kukicha sifa zao ni hizi
1.MASKINI WA AKILI NA PESA
2.WAFUPI, WASIO NA MUONEKANO MBELE WALA NYUMA
3.HASIRA ZA UGUMU WA MAISHA
4.HASIRA KUKATALIWA
5. GUBU

Ukiona jamaa wa hivyo humu muonee tu huruma hayuko sawa
 
Imeandikwa mwanaume ndio atakula kwa jasho, kwanini wewe unaenda kinyume na maandiko?
 
Nimeona hapo kuna mtu ana sura ya babaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Yan ye mwenyewe anasema ni mwanamke alafu anamponda mwanamke mwenzie , huwezi kukuta wanaume wanafanya hichi kitu, women hate each other soo bad. Yan anafanya kitu kile kile anachokilalamikia yeye ila in a different way inawezekana angekuwa mwanaume angewaponda wanawake kuliko hata hawa anaowalalamikia hapa jf. I am amused.
 
Wanawake hatujai pendana sijui kwanini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…