Mashujaa inaenda kumfunga Yanga

Kwa mujibu wa hii taarifa nani ameuza Nani amenunua?
Kitu chochote kikithaminishwa na pesa ni kuuza tu
Hata ukimtolea mahari mkeo ujue umenunua
Pesa inanua
Mkataba wa kocha ili uvunjwe lazima iwepo thamani ya pesa, hapo ndo kuuza

SWALI jingine?
 
Kitu chochote kikithaminishwa na pesa ni kuuza tu
Hata ukimtolea mahari mkeo ujue umenunua
Pesa inanua
Mkataba wa kocha ili uvunjwe lazima iwepo thamani ya pesa, hapo ndo kuuza

SWALI jingine?

Kwa bei gani? Haya kocha wa Singida mmenunua kwa bei gani?
 
Kwa hiyo Yanga imepanga kufungwa?
 
We jamaa hivi kweli umeenda shule?
Soma
Buy out clause
Release clause
Sell on clause

Jielimishe kuhusu biashara ya mpira na usajili dogo langu

Hamna kocha anauzwa mdogo wangu,wala kusajiliwa https://jamii.app/JFUserGuide you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…