Mashujaa inaenda kumfunga Yanga

Kwani Muddy ndo kashika bahasha mkuu? Unadhani wamechekeshana nini?
Akili zenu sijui mmeshikiwa na nani? A4 envelop ni ya kuhifadhi document, hata waliomaliza vyuo wanapiga misele na bahasha zao za kaki kutafuta kazi.

Halafu mlivyokuwa kama misukule ya Zumaridi tangu lini rushwa ikatolewa hadharani?
 
Akili zenu sijui mmeshikiwa na nani? A4 envelop ni ya kuhifadhi document, hata waliomaliza vyuo wanapiga misele na bahasha zao za kaki kutafuta kazi.
Kweli mkuu, pia unaweza kuweka open cheque, fedha taslimu n.k
Halafu mlivyokuwa kama misukule ya Zumaridi tangu lini rushwa ikatolewa hadharani?
Suala la rushwa unalileta wewe. Kuna sehemu imetajwa rushwa kwenye hiyo habari?
 
Shida ya baadhi ya mashabiki wa simba ni kupenda kwenu kuwaaminisha watu kama mpira ni uadui! Huu ujinga sijui mtauacha lini.
Hahaha, Kuna uadui gani hapo mkuu na watu wanachekelea na bahasha mkononi?
 
We jamaa, kuloga ujui
 
Mkuu punguza maneno, hata Kolo atafungwa, ana uhusiano gani na GSM?
 
Jamaa shingo yako ina kazi sana kubeba hicho kichwa chenye mavi tupu..
Yani ulifungua thread kwamba Yanga lazima akae sasa umeona mumeo kapigwa kama mbwa koko umegeuka kama tumbo la kuhara unatoa tu ushuzi sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…