Mashujaa waivua nguo Simba Taifa, timu 32 zafuzu simba haimo

HAUNA MATANGA MSIBA WA KUJITAKIA!
 
aisee kichuya hapana,apumzike
Anapapara sana, hatulii na kufikiri afanye nini cha maana ili kuisaidia timu anapokuwa na mpira.
Ikitokea faulo wa kwanza kuikimbilia na anachofanya anajua mwenyewe.
Hata akiwa kwenye sita anapaisha sababu ya papara, akili ya mpira imemtoka kabisa, anawaza umaarufu tu.
Ndemla naye anafuta nyayo, pamoja na mashuti yake mazuri ikitokea faulo hapigi, akipata mpira anapaisha tu, akibahatika kulenga goli ni kwamba lazima afunge goli bila shaka, sijui kwanini hataki kuitumia hii faida aliyonayo, angejifunza kulenga goli tu angepandisha sana thamani yake.
David Bekham alikuwa maarufu kwa kulenga goli tu ktk faulo na shambulizi linalopangwa, chenga alikuwa hazijui kabisa.
Mi najiuliza tu, ivi huko mazoezini hawajifunzi kulenga goli ?
Mashujaa wamepiga mashuti matatu na magoli matatu.
Hakika pongezi kwao mashujaa, wamecheza mpira mzuri mno.
Wakishambulia wanaonana vizuri, wanaibia nafasi ya kufunga na wakipata mpira wa kufunga wanafunga na hakuna kupaisha mpira wala kubutua mpira.
Hakika mimi nina hamu ya kuwaona tena Mashujaa katika mechi nyingine. Mpira wao umenivutia sana, wanautendea haki mpira.
Hawa vijana wetu wanajiona wamesha jua mpira, na hakuna haja ya kujifunza chochote, wamekamilika.
Mashujaa kazeni buti, mmewafundisha mpira hao magoigoi, mpira mnaocheza ndio unaotakiwa kuchezwa.
Nina uhakika wengi wenu mtasajiriwa kwanye timu kubwa kama mtabakisha nidhamu ya mpira mliyoionesha.
Linapofika swala la mpira sisi wadau tunataka kuona mpira mzuri nasio vijana wazuri.
 
Kwako Mwalimu Kashasha ....agiza bili leta huku nilipe.Wakati ndio utaongea macho na masikio tunaiombea tu wawe vizuri tuone burudani nyingine kama za Nkana.Ila kusiwe na visingizo..
 
Tukumbushane tu...
WARRIORS ni MASHUJAA , kwa kiswahili.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Si kwa povu hili
 
vyuraaaa katika ubora wenu!! Umeandika as if unakimbizwa! Au unatumia kasimu ka touch. Maneno kibao yana errors hats hayaeleweki " Mara Sumba (sijui ndo simba?) vipi mkuu!!
Kwahio hapa mbumbumbu alichoandika hakina errors
 
Kocha anaangalia, anayepaform vizuri mazoezini ndiye anayepangwa.
Huoni Messi wa Barcalona anacheza kila mechi.
Timu inapokuwa ktk kushindania ubingwa, mchezaji bora ndiye anayepangwa na sio kupanga kwa kuangalia zamu.
Cha msingi mchezaji akitaka kuanza kikosi cha kwanza ni lazima aoneshe kiwango bora ktk mazoezi.
Kagere anaanza kwakuwa tu anaweza na sio vinginevyo. Hata mechi ya Simba na Mashujaa, akina Ali Selemani hawakutakiwa kuanza.
Kocha alizingatia ubinadamu tu na kimemgharimu.
Akiendelea kupanga kwa kuzingatia zamu ya kutoa nafasi kwa wachezaji wote atafungwa na kupoteza kibarua chake.
Kila timu kuna wachezaji wanaokalia benchi.
Jonas Mkude alikalia benchi msimu mzima wa kocha Amog lakina alipoboresha kiwango chake akapata namba ya kudumu.
Tofauti na hao vijana wakipewa nafasi badala ya kujituma nakuwa makini ili waisaidie timu wanarukaruka tu.
Utaendeleaje kuwapanga katika mechi za ushindani katika kiwango hicho.
Hao uwezo wao ndio umeishia hapo ni swala la kuamua tu, tuwapende wao au mafanikio ya timu.
Kuna baadhi yao hapo wanaweza kujirekebisha siku za usoni, lakini hao akina Ali Selemani ni bora wagombee tu uongozi wa timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…