Mashujaa waivua nguo Simba Taifa, timu 32 zafuzu simba haimo

Mashujaa waivua nguo Simba Taifa, timu 32 zafuzu simba haimo

Kipigo cha 3-2 walichokipata Simba toka kwa Mashujaa ya Kigoma kimewatoa na kuwatupa nje kabisa katika mashindano ya FA.

MIKIA buana, kelele nyingi vitendo 0 😁😁😁View attachment 978158

#ASFC Timu zilizofuzu kuingia raundi ya 4 ya 32 bora kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports - ASFC.

1. Yanga SC

2. Stand United

3. Mtibwa Sugar

4. JKT Tanzania

5. Biashara United

6. Mbeya City

7. Azam FC

8. Lipuli FC

9. Singida United

10. Kagera Sugar

11. Coastal Union

12. KMC

13. Alliance FC

14. African Lyon

15. Mbeya Kwanza

16. Kitayosce

17. Dodoma FC

18. Pamba SC

19. Mashujaa FC

20. Dar City

21. Trans Camp

22. Pan African

23. Friends Rangers

24. Rhino Rangers

25. Namungo FC

26. Reha FC

27. Majimaji FC

28. Boma FC

29. Cosmopolitan

30. Polisi Tanzania

31. La Familia

32. Mighty Elephant


Hahahahaha hii picha yako noma kweli kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Hahahahaha hii picha yako noma kweli kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
😁😁😁😁😁😁
 
Sio kwa kupaisha mipira huko,
Rashidi Juma akifika golini anapiga mpira nje.
Ndemla naye anapaisha mipira yake yote.
Salamba ndio alikuwa wa kwanza kipiga mpira juu ya goli.
Kichuya ndio kabisa hata kross anapaisha.
Jamani hivi ndivyo mnavyojifunza mazoezini, mnapaisha hata faulo?
Kila siku mpo mazoezini kwani mnajifunza nini, mbona mnapaisha sana mipira, hamjifunzi kupiga mashuti huku unakimbia na kulenga goli ?
Kama kocha hakufundishi kwanini usijifunze peke yako, kwamba unadrible mpira na unapiga kulenga goli, tena kwa faida yako.
Katika kikosi kilichoanza anayeweza kuangaliwa tena ni
Juuko Murshid, Salamba na Ndemla basi.
Wengine wote hawana kiwango cha kuichezea Simba ya Sasa hivi,
kama wataendelea kubweteka wakisubiri kocha awape mazoezi hata ya kulenga goli.
 
Hawa vijana wakikaa benchi wanalalamika, wakipewa nafasi ndio hivyo hawajitumi kabisa.
Simba ina mazingira yote ya kuwezesha kucheza mpira, umri wao bado mdogo.
Simba ya sasa haihitaji wachezaji kama hawa tuliowaona leo.
Wapelekwe hata kwa mkopo kwenye timu nyingine.
Ona Chama anaingia na kupiga faulo vizuri inayosababisha goli la pili.
Kichuya anakimbilia kupiga mpira wa faulo huku akijua kabisa mashuti yake yote hayalengi goli, kwanini hamuachii Kwasi.
Ivi huko mazoezini wanafanya nini ?
Mashuti kumi na moja yote yanatoka nje ?
Hawa vijana wameidhalilisha sana timu ya Simba leo. Yaanii pamoja na stahiki zao zote wanafungwa na wanakijiji ambao hata mshahara hawana. Wanacheza kwa kujitolea tu.
Ni aibu Kwao
Ni matokeo ya usajili wa maonesho na kukomoa timu nyengine. Mchezaji asiyecheza mechi mara kwa mara hawezi kulinda kiwango chake, hata awe mzuri vipi. Kwa hivyo si sahihi kusajili wachezaji wawili wa kiwango sawa kwenye nafasi moja. Ni sahihi zaidi kusajili wachezaji chipukizi kuwa ndio mbadala wa wa kikosi cha kwanza. Kwa sababu hawa chipukizi watakuwa na uchu wa kuonesha uwezo wao siku wakipata nafasi. Lakini wachezaji nyota kukaa benchi kunawajengea hisia za chuki na viburi dhidi ya wenzao wanaoanza, mbali ya kufutaa kwa uwezo wao. Hata kisu kiwe kikali kiasi gani, hakitaonesha ukali huo iwapo kitabaki muda mrefu kwenye ala yake. Lakini kikosi kipana pia huundwa na wachezaji nyota wachache wa ziada wenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi. Hawa hawavunjiki moyo kwa sababu watapata mara kwa mara nafasi ya kucheza ama kwa kuendana na mfumo ataotaka mwalimu au kujaza nafasi ya aliyeumia. Wachezaji wa aina hii husaidia kuonesha tafsiri nyingine ya kikosi kijana, nayo ni uwezo wa kucheza mifumo tofauti ndani ya mechi moja kwa kuwabadilishia nafasi (rotation) na majukumu (roles) na hivyo kuonekana kama kuna timu mpya imeingia. Kwa ufupi, kuna tofauti baina ya kikosi kipana na mkusanyiko mkubwa ya wachezaji wazuri.
 
Ni matokeo ya usajili wa maonesho na kukomoa timu nyengine. Mchezaji asiyecheza mechi mara kwa mara hawezi kulinda kiwango chake, hata awe mzuri vipi. Kwa hivyo si sahihi kusajili wachezaji wawili wa kiwango sawa kwenye nafasi moja. Ni sahihi zaidi kusajili wachezaji chipukizi kuwa ndio mbadala wa wa kikosi cha kwanza. Kwa sababu hawa chipukizi watakuwa na uchu wa kuonesha uwezo wao siku wakipata nafasi. Lakini wachezaji nyota kukaa benchi kunawajengea hisia za chuki na viburi dhidi ya wenzao wanaoanza, mbali ya kufutaa kwa uwezo wao. Hata kisu kiwe kikali kiasi gani, hakitaonesha ukali huo iwapo kitabaki muda mrefu kwenye ala yake. Lakini kikosi kipana pia huundwa na wachezaji nyota wachache wa ziada wenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi. Hawa hawavunjiki moyo kwa sababu watapata mara kwa mara nafasi ya kucheza ama kwa kuendana na mfumo ataotaka mwalimu au kujaza nafasi ya aliyeumia. Wachezaji wa aina hii husaidia kuonesha tafsiri nyingine ya kikosi kijana, nayo ni uwezo wa kucheza mifumo tofauti ndani ya mechi moja kwa kuwabadilishia nafasi (rotation) na majukumu (roles) na hivyo kuonekana kama kuna timu mpya imeingia. Kwa ufupi, kuna tofauti baina ya kikosi kipana na mkusanyiko mkubwa ya wachezaji wazuri.
Sio kweli kabisa.
Hapo wanaocheza mara kwa mara ni, ( Kichuya, Ndemla, Mzamiru, Juuko, Rashidi Juma, Salamba, Kwasi
Ambao hawachezi sana ni Ali Selemani, Dida, Bukaba na huyo beki mpya Zana.
Hicho ndicho kikosi kilichoanza leo dhidi ya Mashujaa.
Hivyo timu zote kuna wale ambao hawachezi mara kwa mara.
Hivyo huwa wanacheza ni kutojitambua tu kunako waponza na kuendekeza Starehe badala ya mazoezi ya kocha na binafsi.
 
Sio kwa kupaisha mipira huko,
Rashidi Juma akifika golini anapiga mpira nje.
Ndemla naye anapaisha mipira yake yote.
Salamba ndio alikuwa wa kwanza kipiga mpira juu ya goli.
Kichuya ndio kabisa hata kross anapaisha.
Jamani hivi ndivyo mnavyojifunza mazoezini, mnapaisha hata faulo?
Kila siku mpo mazoezini kwani mnajifunza nini, mbona mnapaisha sana mipira, hamjifunzi kupiga mashuti huku unakimbia na kulenga goli ?
Kama kocha hakufundishi kwanini usijifunze peke yako, kwamba unadrible mpira na unapiga kulenga goli, tena kwa faida yako.
Katika kikosi kilichoanza anayeweza kuangaliwa tena ni
Juuko Murshid, Salamba na Ndemla basi.
Wengine wote hawana kiwango cha kuichezea Simba ya Sasa hivi,
kama wataendelea kubweteka wakisubiri kocha awape mazoezi hata ya kulenga goli.
Msikilize Mzungu wenu anavyowadanganya kila siku
 

Attachments

Husika na kichwa cha habari hapo

Huyu kocha wa Simba ana dharau sana hawezi kutupangia kikosi cha kijinga kama kile. Hizo zote ni dharau kwa mfumo huu Simba hatutafika popote; ligi hatachukua na hata huko Africa tutatolewa mapema sana.

Kwa dharau ya leo tumeumia sana aisee tunachekwa sana. Kumbukeni Simba sio ya kwenu Simba ni ya washabiki, huyu kocha afukuzwe arudishwe kwao atuachie timu yetu wenyewe maana huu ujinga sasa. Wachezaji wote amewaacha anaanzisha wachezaji wa kijinga.

Wana Simba huyu kocha ana dharau na kibaya dharau sio nzuri katika mpira. Kikosi kipana hakuna pale tunataka kikosi cha kwanza kilichoiua Mkana ndo kicheze aisee.
Mkuu nyie mnakikosi kipana cha kucheza bara na zenji?
 

Attachments

Sio kweli kabisa.
Hapo wanaocheza mara kwa mara ni, ( Kichuya, Ndemla, Mzamiru, Juuko, Rashidi Juma, Salamba, Kwasi
Ambao hawachezi sana ni Ali Selemani, Dida, Bukaba na huyo beki mpya Zana.
Hicho ndicho kikosi kilichoanza leo dhidi ya Mashujaa.
Hivyo timu zote kuna wale ambao hawachezi mara kwa mara.
Hivyo huwa wanacheza ni kutojitambua tu kunako waponza na kuendekeza Starehe badala ya mazoezi ya kocha na binafsi.
Sawa, wanacheza kwa kuzunguka. Inategemea unaangaliaje muda wa kila mchezaji kupata nafasi. Haikuzoeleka, na wenyewe hawakuzowea, kuona wachezaji waliocheza - mathalan - dhidi ya KMC kuanza. Na ndio maana washabiki wa Simba wakajilabu kuwa siku ile wamechezesha Kikosi cha pili. Na ndio maana washabiki wa Simba wanalalamikia kikosi kilichoanza jana, wakisema ni dharau. Kwa nini kiwe kikosi cha pili, kwa nini iwe dharau, iwapo hao uliowataja wanapata nafasi sawa na akina Kagere, Manula, Wawa na Okiwi? Kwa nini washabiki wawasimange waliocheza dhidi ya mashujaa kwamba wanalalamika hawapati nafasi na walipopewa hawakuitumia? Bado huamini kwamba Dida hajapata nafasi ya kuanza sawa na Manila?
 
Kipigo cha 3-2 walichokipata Simba toka kwa Mashujaa ya Kigoma kimewatoa na kuwatupa nje kabisa katika mashindano ya FA.

MIKIA buana, kelele nyingi vitendo 0 [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 978158

#ASFC Timu zilizofuzu kuingia raundi ya 4 ya 32 bora kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports - ASFC.

1. Yanga SC

2. Stand United

3. Mtibwa Sugar

4. JKT Tanzania

5. Biashara United

6. Mbeya City

7. Azam FC

8. Lipuli FC

9. Singida United

10. Kagera Sugar

11. Coastal Union

12. KMC

13. Alliance FC

14. African Lyon

15. Mbeya Kwanza

16. Kitayosce

17. Dodoma FC

18. Pamba SC

19. Mashujaa FC

20. Dar City

21. Trans Camp

22. Pan African

23. Friends Rangers

24. Rhino Rangers

25. Namungo FC

26. Reha FC

27. Majimaji FC

28. Boma FC

29. Cosmopolitan

30. Polisi Tanzania

31. La Familia

32. Mighty Elephant
Yule mchezaji wao mwenye mvi hamna kitu pale, mashujaa walikuwa na moral ya hali ya Juu.
 
Jana hakuna hamna aliye R.I.P, wakati mwingine ni vizuri kula kichapo
 
Hii Timu yetu asipocheza Manula ni shida. Dida anadaka kama anaokota taka taka!!!
Hakuna lolote unataka kuhamisha magoli tu. Ukweli ni kwamba Simba yenye Kichuya, Chama 'Mwamba Wa Lusaka' imefungwa na timu isiyoeleweka. Yaani simba yenye hao wachezaji imekuwa timu ya ajabu dhidi ya hicho kitimu cha mchangani!? Usitafute sympathy Simba imefungwaView attachment 978162
 
Hawa vijana wakikaa benchi wanalalamika, wakipewa nafasi ndio hivyo hawajitumi kabisa.
Simba ina mazingira yote ya kuwezesha kucheza mpira, umri wao bado mdogo.
Simba ya sasa haihitaji wachezaji kama hawa tuliowaona leo.
Wapelekwe hata kwa mkopo kwenye timu nyingine.
Ona Chama anaingia na kupiga faulo vizuri inayosababisha goli la pili.
Kichuya anakimbilia kupiga mpira wa faulo huku akijua kabisa mashuti yake yote hayalengi goli, kwanini hamuachii Kwasi.
Ivi huko mazoezini wanafanya nini ?
Mashuti kumi na moja yote yanatoka nje ?
Hawa vijana wameidhalilisha sana timu ya Simba leo. Yaanii pamoja na stahiki zao zote wanafungwa na wanakijiji ambao hata mshahara hawana. Wanacheza kwa kujitolea tu.
Ni aibu Kwao
Pole mkuu Umeongea kwa uchungu sana!!!
 
Sio kweli kabisa.
Hapo wanaocheza mara kwa mara ni, ( Kichuya, Ndemla, Mzamiru, Juuko, Rashidi Juma, Salamba, Kwasi
Ambao hawachezi sana ni Ali Selemani, Dida, Bukaba na huyo beki mpya Zana.
Hicho ndicho kikosi kilichoanza leo dhidi ya Mashujaa.
Hivyo timu zote kuna wale ambao hawachezi mara kwa mara.
Hivyo huwa wanacheza ni kutojitambua tu kunako waponza na kuendekeza Starehe badala ya mazoezi ya kocha na binafsi.
Mbona wa Yanga wakiingia ambao huwa hawachezi wanaipa Yanga matokeo bora.
 
Back
Top Bottom