Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka hiyo ni mbaiologist[emoji16]Aliharibu Hapo kwenye upupu, kwenye pilipili hayuko mbali na ukweli, pilpili ni una vitamni C za kutosha kupandisha Kinga ya mwili
Hiyo kesi ni ngumu kwelikweli. Sema dogo naye, yaani upupu kabisa. Afadhali angesema mbegu za upupu!inawezekana bwana mdogo yuko sahihi,polisi walitakiwa kuifanyia utafiti wa kitabibu hiyo dawa kabla ya kumkamata
Hii kesi ni kama ile ya Masanja Mkandamizaji. Aonywe tu inatosha.Mkuu ujumbe ule ni kama comed ila unasomo zuri watu wawe na tahadhari si kila wanachokiona na kuambiwa ni dawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kumbe udomJeshi la Polisi linamshikilia Ibrahim Peter (26) ambaye Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza wa Chuo Kikuu cha Dodoma akisomea shahada ya Sayansi ya biolojia
Anatuhumiwa kuandika na kusambaza ujumbe wa kupotosha jamii kuhusiana na Dawa ya #COVID19 katika makundi ya WhatsApp kwa kutumia simu yake ya mkononi
Miongoni mwa ujumbe alizosambaza ni kwamba ‘Dawa ya #COVID19 inatakiwa utwange pilipili kichaa sufuria moja halafu changanya na maji vikombe vitano na kunywa kutwa mara saba kwa muda wa siku tatu na siku ya nne chuma upupu kisha jipake mwili mzima’
Kamanda wa Polisi mkoani humo, ACP Simon Maigwa amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika Kijiji cha Mnyele Wilaya ya Nyasa na kitendo alichofanya ni upotoshaji, taratibu zinakamilishea ili aweze kufikishwa Mahakamani
Dogo Hana kesi pale,ila lokapu atakaaKwa hiyo alichokisema dogo ndio sheria watu wataifata? Hivi kuna mwenye akili timamu kweli atafanya huo ujinga aliosema dogo? Polisi wetu waache hizi mambo aisee.
Upupu una vitamini D & E kwa wingi. Kinga kwnye ngozi inakuwa imara sana.Aliharibu Hapo kwenye upupu, kwenye pilipili hayuko mbali na ukweli, pilpili ni una vitamni C za kutosha kupandisha Kinga ya mwili