Masihara dhidi ya COVID-19 yamtokea puani, adakwa na Polisi

Serikali bwana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mbona mshua alisema hivihivi wakamchukue na yeye
 
Huu ni upendeleo wa wazi kabisa, mbona bosi wa mizaha hakamatwi mara oh Barakola zina Corona, mara utamsikia akisema dawa iliyopulizwa inasababisha Corona hiyo ni michache tusisahau kufukiza .....

. Challenge ni afya unaita watu wa USALAMA na DINI

Hakuna nchi rahisi kuiongoza kama Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo alichokisema dogo ndio sheria watu wataifata? Hivi kuna mwenye akili timamu kweli atafanya huo ujinga aliosema dogo? Polisi wetu waache hizi mambo aisee.
 
ku
kumbe udom
 
Kwa hiyo alichokisema dogo ndio sheria watu wataifata? Hivi kuna mwenye akili timamu kweli atafanya huo ujinga aliosema dogo? Polisi wetu waache hizi mambo aisee.
Dogo Hana kesi pale,ila lokapu atakaa
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚.....Yani kuna issue unaweza kujua ni utani vile,mpaka kamanda wa mkoa anazungumzia kitu kama hiki
 
Huo ujumbe yeyote atakaesoma anajua asilimia 100 ni utani tu wa kawaida
 
Aliharibu Hapo kwenye upupu, kwenye pilipili hayuko mbali na ukweli, pilpili ni una vitamni C za kutosha kupandisha Kinga ya mwili
Upupu una vitamini D & E kwa wingi. Kinga kwnye ngozi inakuwa imara sana.

Sent using iphone pro max
 
Jeshi la polisi wametoa tamko kwa jamii kupinga huo uzuri wa jamaa au wameacha hiyo habari hivyo hivyo na kujipa kazi ya kumkamata?
Trump alisema mambo kama haya, wahusika walitoa onyo kwa umma kutofuata ushauri wa rais, na si kumkamata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…