Mkuu umejitahidi sana! Najiuliza aliyebuni kipimo cha akili cha IQ wewe ungeangukia scale ipi?Hao wazee unaoita watulivu, si ndio hao wakionya kuhusu mwenendo mbovu wa CCM mnaishia kuwaambia wakae kimya?
Ngoja hao waropokaji waongee, na hamna chochote cha kuwafanya maana hata nyie sukuma gang hamna ushawishi kwa umma zaidi ya ulevi wa muda mfupi madarakani.
Huyo mzee mpumbavu tu kama wewe mwenyewe,mbona kina mzee Malechela, Warioba wapo na watulivu?
Hawa wazee wapumbavu endeleeni kuwatetea nchi inaangamia kwa kujifanya wanahati miliki ya chama na nchi,kiama chao chaja
Hapa nchini kingekuwa na tume huru kama Kenya ccm ingeonddoka asubuhi na mapemaHao wazee unaoita watulivu, si ndio hao wakionya kuhusu mwenendo mbovu wa CCM mnaishia kuwaambia wakae kimya?
Ngoja hao waropokaji waongee, na hamna chochote cha kuwafanya maana hata nyie sukuma gang hamna ushawishi kwa umma zaidi ya ulevi wa muda mfupi madarakani.
Haiondoi upumbavu wa mzee Makamba..Magufuli aliwahi kuuliza ktk mkutano wa hadhara, " wanawake mnataka KUPANULIWA wapi.."
Haiondoi upumbavu wa mzee Makamba
Ile kauli ya asali watu waliipuuza tu ilikuwa na maana kubwa mno na muendelezo ndio huu wa kufurahi watu wafe ili yeye na familia yake ifaidiNilimfahamu zaidi alipokuwa mkuu wa mkoa.
Ndiye muanzilishi wa soko la kila wiki la barabara inayopitia Lumumba.
Kuna kipindi nilimuona mtetezi wa wanyonge alipowapigania wafanyakazi wabangua korosho kiwanda flani pale Waliita Abestozi pale karibu na Kibo complex.
Alitoa speech nzuri sana kuwatetea.
Kumbe asali huleta kiburi
Hawa mambuzi huwa wanaongea ukweli kupitia utaniIle kauli ya asali watu waliipuuza tu ilikuwa na maana kubwa mno na muendelezo ndio huu wa kufurahi watu wafe ili yeye na familia yake ifaidi
Ushahidi wa mauaji aliyofanya ukiombwa uutoe mahakamani upo tayari kufanya hivyo? Yale yale ya maiti kuokotwa ndani ya viroba yalisemwa sana lakini cha ajabu ni kwamba mpaka leo bado miili inaokotwa ndani ya viroba. Na hawa nao mhusika mkuu ni JPM?.Makamba mbona kasema vizuri tu, Magu was evil na ni kweli MTU MWOVU HAISHI na hakuna sababu aishi
Imagine angekuwa hai leo tungeshakufa wangapi? Maelfu kwa Maelfu
Ungekuwa ni mtu wa CCM ningeweza kukuelewa lakini CHADEMA hata siku moja huwezi kuongea maongezi chanya lazima ukosoe tu.Tunashukuru kwa bandiko lako la kucheza na maneno, lakini ukweli utabaki palepale kuwa Magufuli hakuwa kiongozi bora au makini, bali katili, mwenye jazba na mlevi wa madaraka.
Kwa bahati mbaya Bashiru akaiga tabia za Magufuli. Na Msoga gang wanachofanya sasa ni kutoa mrejesho wa siasa zao za ulevi wa madaraka chini ya Magufuli.
Pro Samia huu ni uhuru wa maoni unaotumika hapa.Fanyeni kazi zingine tumewachoka sasa
Pro Samia huu ni uhuru wa maoni unaotumika hapa.
Kauli mbaya sana! Bashiru?Huyu mjinga Bashiru aliyetoa kauli ya kijinga kuwa ccm itumie dola kubakia madarakani ndiyo unamsifia?
Kweli mahaba na unazi vinapofusha akili.
Jpm live: Mkiwa kwenye vita, ukisaliti huwezi kusurvive! Wk moja Lisu anapigwa risasi!Ushahidi wa mauaji aliyofanya ukiombwa uutoe mahakamani upo tayari kufanya hivyo? Yale yale ya maiti kuokotwa ndani ya viroba yalisemwa sana lakini cha ajabu ni kwamba mpaka leo bado miili inaokotwa ndani ya viroba. Na hawa nao mhusika mkuu ni JPM?.
Uovu wa kubuni tu akilini bila ya ushahidi wowote ni dhambi ya huyo anayetuhumu.
Wewe na Dr Bashiru mjinga nani?
Haiondoi upumbavu wa mzee Makamba
Ushahidi wa mauaji aliyofanya ukiombwa uutoe mahakamani upo tayari kufanya hivyo? Yale yale ya maiti kuokotwa ndani ya viroba yalisemwa sana lakini cha ajabu ni kwamba mpaka leo bado miili inaokotwa ndani ya viroba. Na hawa nao mhusika mkuu ni JPM?.
Uovu wa kubuni tu akilini bila ya ushahidi wowote ni dhambi ya huyo anayetuhumu.