Ungekuwa ni mtu wa CCM ningeweza kukuelewa lakini CHADEMA hata siku moja huwezi kuongea maongezi chanya lazima ukosoe tu.
kuna Viongozi wengi tu wamefariki wakiwa madarakani ukianzia kwa Rais Karume Mkubwa, Sheikh Anri Abeid, Sokoine, Horace Kolimba, Salome Mbatia, n.k
kwanini tumekimbilia kuhisi kuwa kasemwa mtu fulani ?
Kuna nini kipya ambacho kilikuwa hakijulikani? Kikwete, Kinana, Makamba na kundi lao lote walifurahia sana kutwaliwa kwaa bwana yule... Ni watanzania tu mnapenda kujadili mambo ambayo yako wazi na yale ambayo hayako wazi mnayaacha. Alichosema huyu Makamba ni sehemu ndogo tu ya undani wao.Wazungu wanao msema usemao nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni mtu wa aina gani. Maana yake marafiki zako ndio wanaokutambulisha mbele ya wastaarabu. Ni msemo umekuwepo kwa miaka mingi japo unajulikana kwa wale wasomaji wa vitabu vya kingereza.
Mwalimu Nyerere alikuwa na Hayati Rashid Kawawa, wakati akihutubia hupenda kumtambulisha kwa kulitaja jina lake la kwanza la Rashid. Alikuwa ni msiri wake waliyeshibana vyema, nakumbuka miaka ile pale ikulu alikuwa akitamka Rashid atageuza shingo yake na kumtazama akiwa amekaa kushoto kwake.
Awamu ya nne ilipoingia ikulu Mheshimiwa Jakaya Kikwete akaja na katibu mkuu wa CCM ambaye ni mwanajeshi mwenzake mstaafu mzee Makamba, Kuonyesha alivyoshibana haraka sana akamuondoa Mzee Mangula kutoka katika nafasi ya ukatibu mkuu ili Makamba achukue cheo chake. Hawa wameshibana sana tangu ujanani wakiwa na siri nyingi wanazozifahamu za miaka na miaka.
JK ni mpenda mno masikhara, yapo ndani ya damu yake na hawezi kuongea bila ya kuchomeka maneno mawili matatu ya utani. Makamba nae ni mule mule anamopita JK. Kauli za kebehi kwa wajane wa marais waliokuwa pale ukumbini zilipokelewa kwa tabasamu lile lile la miaka yote la bosi wake wa zamani aliyemuamini na kumpa nafasi ya juu kabisa ndani ya CCM.
Labda ni kuteleza ulimi kwa mtu mzima mwenye miaka 84 na Rais SSH akatumia busara za hapo kwa hapo za kumfichia aibu mzee Makamba pale ukumbini akitumia kiswahili kile kile laini na neno moja la kingereza kwamba mzee alikuwa na emotions wakati anatoa hotuba yake, wenye akili tulimuelewa kwanini aliamua kumsitiri mtu wa umri wa Baba yake akimuita kaka yake.
Ni yale yale ya wazungu na msemo wao nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni mtu wa aina gani. Bashiru Ally Kakurwa kwa kumtazama tu akiongea ni mtu makini na mwenye kuchagua aongee lipi na kwa wakati upi, anayo kauli yenye mamlaka na ujumbe wake unafikirisha kwa msikilizaji. JPM alituonyesha yeye ni mtu wa aina gani kwa kumpa kipaumbele Bashiru Ally. Tulimjua ni mtu wa aina gani pale tulipomtazama rafiki yake.
Pengine maneno ya mzee Makamba ni matokeo ya umri kuwa umesogea, mzee wa miaka 84 hawezi kupanda jukwaani akawa sawa na mwanasiasa mwenye miaka 45 hadi 60. Na nadhani ni sababu baadhi yetu tunamshauri mzee Wasira Stephen aachane na siasa, kwani ni rika hilo hilo la Makamba.
JK analo la kubeba katika kauli iliyochukuliwa kama ni dhihaka ya Mzee Makamba wakati akihutubia. Hawezi kukwepa lawama kutoka kwa wale wenye kufikiria masuala ya kisiasa kwa kina. Tumemuona yeye mwenyewe kupitia kwa haiba ya Mzee Makamba.
Kufurahia kutwaliwa kimya kimya wengi tu walifurahia, kuna waliofanya sherehe kabisa kwa kwenda disco usiku ule ule kujipongeza.Kuna nini kipya ambacho kilikuwa hakijulikani? Kikwete, Kinana, Makamba na kundi lao lote walifurahia sana kutwaliwa kwaa bwana yule... Ni watanzania tu mnapenda kujadili mambo ambayo yako wazi na yale ambayo hayako wazi mnayaacha. Alichosema huyu Makamba ni sehemu ndogo tu ya undani wao.
Watu wamechukua mbili wakajumlisha na mbili jawabu likaja nne.kuna Viongozi wengi tu wamefariki wakiwa madarakani ukianzia kwa Rais Karume Mkubwa, Sheikh Anri Abeid, Sokoine, Horace Kolimba, Salome Mbatia, n.k
kwanini tumekimbilia kuhisi kuwa kasemwa mtu fulani ?
Daaah kwa iyo wote ni CHAWA...!!???Wote wana Bosi wao wanaomtumikia ndio maana kujitoa akili kote, Tanzania siyo tulioijua ilishaenda kitambo sana!
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu. Na madaraka yanalevya kweli kweli. Sasa hivi kina Kikwete na Kinana na pia huyu mzee wameshasahau kuwa walikuwa wameshapotea mazima. Wamerudi kwa kiburi na dharau kali huku hawajui ya kesho.Kufurahia kutwaliwa kimya kimya wengi tu walifurahia, kuna waliofanya sherehe kabisa kwa kwenda disco usiku ule ule kujipongeza.
Tatizo ni hizi hekima mbovu za uzeeni za kusema kabisa kwamba umefurahi juu ya kifo cha JPM mbele ya mjane aliyefunga safari kutoka alipotoka kwenda mkutanoni pale. Inakuwa kama vile mnamsuta yeye kwa kuwa mahali pale na kwa kuolewa na marehemu. Mzee Makamba amefanya jambo la kipuuzi sana kuongea vile hadharani.
Kauli huwa inaumba, chunga sana kitokacho kinywani mwako huweza kukuharibia maisha yako yote. Kitokacho mdomoni mwako kinakushtaki moja kwa moja kwa Mungu. Pia upo msemo Mungu hadhihakiwi.
JK Kwa kuwa na upande anaoshabikia anajishushia heshima yake japokuwa anajaribu kadri awezavyo aonekane ni mstaarabu.Nakubaliana na wewe kabisa mkuu. Na madaraka yanalevya kweli kweli. Sasa hivi kina Kikwete na Kinana na pia huyu mzee wameshasahau kuwa walikuwa wameshapotea mazima. Wamerudi kwa kiburi na dharau kali huku hawajui ya kesho.
Nenda basi mahakamani, idiotUshahidi wa mauaji aliyofanya ukiombwa uutoe mahakamani upo tayari kufanya hivyo? Yale yale ya maiti kuokotwa ndani ya viroba yalisemwa sana lakini cha ajabu ni kwamba mpaka leo bado miili inaokotwa ndani ya viroba. Na hawa nao mhusika mkuu ni JPM?.
Uovu wa kubuni tu akilini bila ya ushahidi wowote ni dhambi ya huyo anayetuhumu.
yule sio zimefyatuka …hazijawahi kuwepoHivi kuna mtu anaeweza kwenda kwa makamba kuomba ushauri kweli!
Naamini utarudi na ushauri uliojaa upuuzi na ujinga mtupu!
Na wote tuseme tawile
Jukwaa hili linatosha kabisa kufikisha ujumbe mpaka watoa mapovu kama wewe wanakuja na kutukana maana yake lengo lililokusudiwa limefanikiwa.Nenda basi mahakamani, idiot
"JPM alituonyesha yeye mi mtu wa aina gani kwa kumpa kipaumbele Bashiru Ally."Ni yale yale ya wazungu na msemo wao nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni mtu wa aina gani. Bashiru Ally Kakurwa kwa kumtazama tu akiongea ni mtu makini na mwenye kuchagua aongee lipi na kwa wakati upi, anayo kauli yenye mamlaka na ujumbe wake unafikirisha kwa msikilizaji. JPM alituonyesha yeye ni mtu wa aina gani kwa kumpa kipaumbele Bashiru Ally. Tulimjua ni mtu wa aina gani pale tulipomtazama rafiki yake.
Hilo likitokea,nchi itafaidika sana.Mwenyekiti Mstaafu na anayeendelea walishampatia twisheni mzee asiye na breki aongee nini na hakuna litakalotokea.
Natabiri, uchaguzi wa 2025 utakuwa baina ya CCM dhidi ya JPM. Wapinzani watakuwa watazamaji
Hizi ni porojo zingine!Wazungu wanao msema usemao nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni mtu wa aina gani. Maana yake marafiki zako ndio wanaokutambulisha mbele ya wastaarabu. Ni msemo umekuwepo kwa miaka mingi japo unajulikana kwa wale wasomaji wa vitabu vya kingereza.
Mwalimu Nyerere alikuwa na Hayati Rashid Kawawa, wakati akihutubia hupenda kumtambulisha kwa kulitaja jina lake la kwanza la Rashid. Alikuwa ni msiri wake waliyeshibana vyema, nakumbuka miaka ile pale ikulu alikuwa akitamka Rashid atageuza shingo yake na kumtazama akiwa amekaa kushoto kwake.
Awamu ya nne ilipoingia ikulu Mheshimiwa Jakaya Kikwete akaja na katibu mkuu wa CCM ambaye ni mwanajeshi mwenzake mstaafu mzee Makamba, Kuonyesha alivyoshibana haraka sana akamuondoa Mzee Mangula kutoka katika nafasi ya ukatibu mkuu ili Makamba achukue cheo chake. Hawa wameshibana sana tangu ujanani wakiwa na siri nyingi wanazozifahamu za miaka na miaka.
JK ni mpenda mno masikhara, yapo ndani ya damu yake na hawezi kuongea bila ya kuchomeka maneno mawili matatu ya utani. Makamba nae ni mule mule anamopita JK. Kauli za kebehi kwa wajane wa marais waliokuwa pale ukumbini zilipokelewa kwa tabasamu lile lile la miaka yote la bosi wake wa zamani aliyemuamini na kumpa nafasi ya juu kabisa ndani ya CCM.
Labda ni kuteleza ulimi kwa mtu mzima mwenye miaka 84 na Rais SSH akatumia busara za hapo kwa hapo za kumfichia aibu mzee Makamba pale ukumbini akitumia kiswahili kile kile laini na neno moja la kingereza kwamba mzee alikuwa na emotions wakati anatoa hotuba yake, wenye akili tulimuelewa kwanini aliamua kumsitiri mtu wa umri wa Baba yake akimuita kaka yake.
Ni yale yale ya wazungu na msemo wao nionyeshe rafiki yako nikwambie wewe ni mtu wa aina gani. Bashiru Ally Kakurwa kwa kumtazama tu akiongea ni mtu makini na mwenye kuchagua aongee lipi na kwa wakati upi, anayo kauli yenye mamlaka na ujumbe wake unafikirisha kwa msikilizaji. JPM alituonyesha yeye ni mtu wa aina gani kwa kumpa kipaumbele Bashiru Ally. Tulimjua ni mtu wa aina gani pale tulipomtazama rafiki yake.
Pengine maneno ya mzee Makamba ni matokeo ya umri kuwa umesogea, mzee wa miaka 84 hawezi kupanda jukwaani akawa sawa na mwanasiasa mwenye miaka 45 hadi 60. Na nadhani ni sababu baadhi yetu tunamshauri mzee Wasira Stephen aachane na siasa, kwani ni rika hilo hilo la Makamba.
JK analo la kubeba katika kauli iliyochukuliwa kama ni dhihaka ya Mzee Makamba wakati akihutubia. Hawezi kukwepa lawama kutoka kwa wale wenye kufikiria masuala ya kisiasa kwa kina. Tumemuona yeye mwenyewe kupitia kwa haiba ya Mzee Makamba.