Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si alisema haya ni Rais samia alifanya? leo imekuwa ni Ummy tena, mbona munatuchanganya-Kuboreshwa miundombinu ya Afya
-Kuboreshwa vifaa tiba na dawa
-Maelfu ya Ajira
-Kuoungua Kwa Vifo vya Watoto Wachanga na wamama wajawazito
-Ameasisi kupatikana Kwa sera ya bima ya Afya Kwa wote
-Rufaa za Wagonjwa kwenda Nje ya Nchi ni kama hazipo kabisa badala yake wageni ndio wanakuja
-Kuimarika Kwa Huduma tiba za kibobezi ikiwemo Baadhi ya vifaa tiba ,madawa kuzalishwa na hospital zetu
-Bohari ya Taifa ya Dawa kupata soko Sadc yote.
Mwisho Changamoto kubwa imekuwa ni Bima ya Afya na sababu ni yule Mama wa Bidi Spika Mstaafu,hakuna kitu pale.
Ummy, alipamudu Kwa asilimia za juusi alisema haya ni Rais samia alifanya? leo imekuwa ni Ummy tena, mbona munatuchanganya
Ummy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikalisi alisema haya ni Rais samia alifanya? leo imekuwa ni Ummy tena, mbona munatuchanganya
Kama Rais ndiyo mtendaji kwenye wizara kazi ya Katibu Mkuu wa wizara ni nini?Ummy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikali
Ummy kwenye Kuongea na kuzituma media ku-mbrand alifanikiwa sana. ila chini ya kapeti kila kitu aliharibuUmmy, alipamudu Kwa asilimia za juu
Kwan rais si ni binaadamu anakosea na kupatia? Hilo walaumu wasaidiz wake ambao hawa kumzindua hakuna binaadam asiekosea na rais hajakingwa na makosaHii dhana ni dhana ya uongo kwa 100%.
Embu jiulize ulikuwaje kipindi fulani Rais aliteua marehemu?
Tuna mfumo wa Executive ambao unatambua Rais kuwa Mtendaji Mkuu,hao wengine ni Watumishi wa Umma ambao wanamsaidia Rais.Kama Rais ndiyo mtendaji kwenye wizara kazi ya Katibu Mkuu wa wizara ni nini?
Hii ndio biashara pekee nisiyoipendaUkipewa nafasi ya kuwa chawa piga pesa tembea
Cheo chochote cha kuteuliwa lazima uwe chawaHii ndio biashara pekee nisiyoipenda
Kuna kitu hakipo sawa kwenye hii mifumo. Rais anahisikaje kwenye wizara moja wka moja? Waziri jukumu lake kubwa ni lipi kwenye wizara? Bajeti na mipango ya wizara inapangwa na nani? miradi hiyo inaibuliwa na nani na kusimamiwa na nan? Je Rais huwa anapeleka hela kwenye hizo wizara au fedha zinatolewa na kuidhinishwa na nani?Tuna mfumo wa Executive ambao unatambua Rais kuwa Mtendaji Mkuu,hao wengine ni Watumishi wa Umma ambao wanamsaidia Rais.
Simple tuu kwani wewe Ukiwa CEO huna Watumishi chini Yako? Wewe kazi Yako ni kutoa Maelekezo,Maagizo wenyewe wataumiza kichwa wafanywe uje kusifiwa simpo tuu hivyo.
Waziri Huwa ni msemaji wa Wizara kisera na mshauri wa Rais tuu.
KabisakabisaUkiwa mteuliwa kumsifia mteule ni sehemu ya job responsibilities.
Kwamba hiyo wizara inahitaji mwanamke mwenye sura mbaya?Ummy hakua compitent sema sura yake ilimbeba