Masikini alivyokuwa anampamba Samia, leo kamtoa kweli? Ummy Afya at least alimudu by over 90% Kizuri hakikosi kasoro

Masikini alivyokuwa anampamba Samia, leo kamtoa kweli? Ummy Afya at least alimudu by over 90% Kizuri hakikosi kasoro

Ummy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikali
Mkuu, ni kweli hiyo? Sio kwamba Waziri ni msimamizi wa SERA za Chama Tawala katika Wizara husika kwa miaba ya Rais, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho na Katibu Mkuu ndie Mtendaji Mkuu. Au nasema uongo ndugu zangu
 
Ummy has ruined all insurance systems of our nation it will take a while to recover…..
People are suffering because of her actions on Toto Afya card and insurance bundle!

Ummy deserve what she got…. She is distraction!
 
Back
Top Bottom