Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kada wa CCM mwenye kujua namna ya kuishi na wakubwa.Huyu Pindi Chana ni useless lakini Huwa hawamtoi.
Kuna 2 aidha ni kitengo mwenye kazi maalumu kama Jenista au mgnga mzoefu.
Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Mkuu sio kweliUkiwa mteuliwa kumsifia mteule ni sehemu ya job responsibilities.
community developmentIvi ummy by professional ni medicinal personnel au kasoma kozi tofauti na afya?
Mkuu, ni kweli hiyo? Sio kwamba Waziri ni msimamizi wa SERA za Chama Tawala katika Wizara husika kwa miaba ya Rais, ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho na Katibu Mkuu ndie Mtendaji Mkuu. Au nasema uongo ndugu zanguUmmy aliyasimamia Kwa niaba ya Rais,Waziri sio Mtendaji Bali Mtendaji ni Rais Kwa muundo wa Serikali
Siasa...
Kosala Uummy Mwalimu ni lipi hapa?
Kosa la Ummy ni lipi hapo ndugu Griti Sinka?Kwa mavitu kama haya alipaswa AONDOKE Tu na next ni Janabi. Amekua mwana siasa na Social entertainer kuliko taaluma.
Tuliambiwa tanzania itakua kama uraya,tutakua dona kantreee,kwa hiyo hata hili la muhimbili kuwa kama Aga Khan litapita,next time tutaambiwa Muhimbili kuwa kama Apolo India
Nimecheka kama mazuri vileTuliambiwa tanzania itakua kama uraya,tutakua dona kantreee,kwa hiyo hata hili la muhimbili kuwa kama Aga Khan litapita,next time tutaambiwa Muhimbili kuwa kama Apolo India
Kama huna D mbili huwezi kuelewaKosa la Ummy ni lipi hapo ndugu Griti Sinka?
Nahisi ndo lishangazi nalitamanigi siku zote katika viongozi sema sina uwezo wa kulifikia 😀Ummy hakua compitent sema sura yake ilimbeba
Ummy Mwalimu alikuwa anampamba kweli Samia, leo kamtoa! kwangu mimi Ummy alimudu by 90% afya. Kizuri hakikosi kasoro!
Ww mwenye D 2 nieleweshe mkuuKama huna D mbili huwezi kuelewa
Mkuu,tusubiri Tanzania kuwa kana dubaiNimecheka kama mazuri vile
Wanatuchanganya sana.si alisema haya ni Rais samia alifanya? leo imekuwa ni Ummy tena, mbona munatuchanganya