Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
umetumwa na ray c?
Si ndio mitaa ya King'oko hiyo? kama ndio penyewe hapo Miraji Kikwete ni mdau hapo aongee tu mshuwa huyo dogo apelekwe rehab.Mkuu Matola, Chid anahitaji msaada wa haraka sana. Tutampoteza kama Mangwea, mitaa anayoshinda ni hatari sana ....kwakuwa nipo kwa shughuli flani hii mitaa nitajitahidi kupata picha yake.
umetumwa na ray c?
kama kuna mtu anayekula unga na akachoka simuonei huruma ni huyu mama chidi benz....safi sana kama anazidi kuchoka kwaajili ya ngada!....
kwenye hiyo mitaa anashinda peke yake? Waliopo huko jeMkuu Matola, Chid anahitaji msaada wa haraka sana. Tutampoteza kama Mangwea, mitaa anayoshinda ni hatari sana ....kwakuwa nipo kwa shughuli flani hii mitaa nitajitahidi kupata picha yake.
Leo kaachia ngoma mpya kamshirikisha Doamond na AY amejitahidi icheki HAPA
Umeandika nini ?
Nakusaidia, nimeuliza kwa vijana wanaoshinda mitaa hii ya Shoppers Plaza...pita kijinjia jirani na ofisi za XCAR, mbele kidogo kuna kuna kanisa ( hili kanisa lipo chini ya wakorea).
Ukiwa mitaa hiyo kuna sehemu vijana wanacheza Playstation games hapo waulize Kibanda cha chips.
Utamuona Chid Benz baada ya hapo njoo tena na Shudu za Ray -C. Si hampendi kuambiwa ukweli; Mwenzenu kaisha anakula vyakula vya Magengeni Msasani na kugongea Juu..
Kama ni mitaa ya King'oko mbona mtoto wa muheshimiwa naye ni anga zake hizo?Anamtaka Matola tu akamsaidie
Wafe tu wapungue bana
roho mbaya ugonjwa
Inakera sana mtu anakuja na hoja wewe unaleta majungu. Nimekosa neno la kukuambia