Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,194
- 4,549
Mkuu umekula kweli mbona kama unapuyanga sanaMtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.
Siku ukitafuniwa mkeo na baba mwenye nyumba wako ndy akili itakukaa sawa,,Mtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.
Wake wa wenye nyumba hutafunwa pia na sisi wapangajiSiku ukitafuniwa mkeo na baba mwenye nyumba wako ndy akili itakukaa sawa,,
Jiulize kwann hata ndege wanahangaika kujenga viota vyao?
Sembuse wewe mwanadamu uendelee kuishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio.
Akitafunwa mke wa mwenye nyumba amependa mwenyewe,,Wake wa wenye nyumba hutafunwa pia na sisi wapangaji
Mi mwenyewe naweka theoryKatika maisha ya mwanada Nyumba ni hitaji la muhimu sana.
Waliosoma Manslow Theory of Human Needs wanafanamu vizuri.
Mtu unaenda kufanya kazi mbali na Nyumbani kwako. Manyanyaso ya nyumba za kupanga yanafahamika.
Ni bora ujenge hata chumba kimoja chako uanzie maisha, huku ukiendelea kujenga kidogo kidogo.
Tulioanzia nyumba za kupanga tunazifahamu kadhia zake.
Wajenge wenye uwezo huoWanaoponda kujenga mbona hatuwaoni kuishi chini ya miti au mapangoni, tunaona wamepanga au wapo home na hizo nyumba nawao wasinge Jenga Kama wao wanaosema kujenga ni uoga wa maisha wangekaa mapangoni labda.
Tumeanza kudanganyana.Mtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.
Hitaji muhimu la kwanza la mtu ni kula chakula. La pili ni usalama wa mwili, nyumba, mavazi, malazi bora.Mi mwenyewe naweka theory
NakaziaKwa kweli ujenzi ni muhimu sana asikwambie mtu
Unaandika huku umelala kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio kenge weweMtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.