Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

Nimesoma post yako nimegundua wewe bado ni mtoto mdogo, yani kula kulala.

Hata me kipindi naishi kwa dingi niliamini kama hivyo uaminivyo, ila nilipo kua, kuoa na kubarikiwa watoto, mawazo hayo sina tena.

Dogo hakuna kitu cha kinyonge kama kudaiwa kodi

Na unapokua na Nyumba yako, hatakama unakula ugali na mchicha kila siku, lakini unakua huna pressure za hapa na pale.

Kua kwanza ujitegemee utayajua haya.
 
Nimesoma post yako nimegundua wewe bado ni mtoto mdogo, yani kula kulala.

Hata me kipindi naishi kwa dingi niliamini kama hivyo uaminivyo, ila nilipo kua, kuoa na kubarikiwa watoto, mawazo hayo sina tena.

Dogo hakuna kitu cha kinyonge kama kudaiwa kodi

Na unapokua na Nyumba yako, hatakama unakula ugali na mchicha kila siku, lakini unakua huna pressure za hapa na pale.

Kua kwanza ujitegemee utayajua haya.
Bado mtoto anakula pesa za boom,
 
Tanzania ilitakiwa tufikie kununuwa nyumba ni kama kununuwa nguo dukani. Inawekana.

Ni mipango mibovu ya watendaji wetu inayozuwia hilo.
 
Kuwasomesha.. unless hiyo nyumba inaweza kuwapatia angalau laki tano kwa mwezi... ila kama ni hizi nyumba za laki 2 kwa mwezi bora kuwasomesha iwe kipaumbele
Daah unajua mimi naamini sana kwenye kujipnga na kutengeneza miundo mbinu mizuri ya kiuchumi! Mtu mwenye miundo mbinu ya kiuchumi kodi sio issue kwake! Lakini kama kipato ni cha msimu na hakina uhakika ni bora kujenga!
 
Mtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.
Hakika mkuu. Maskini/watu maisha ya chini tunahangaika na kujenga au kuvaa vitu vya gharama afu hatuna hela zinazozunguka na kutujengea financial freedom
 
Back
Top Bottom