Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Nimesoma post yako nimegundua wewe bado ni mtoto mdogo, yani kula kulala.
Hata me kipindi naishi kwa dingi niliamini kama hivyo uaminivyo, ila nilipo kua, kuoa na kubarikiwa watoto, mawazo hayo sina tena.
Dogo hakuna kitu cha kinyonge kama kudaiwa kodi
Na unapokua na Nyumba yako, hatakama unakula ugali na mchicha kila siku, lakini unakua huna pressure za hapa na pale.
Kua kwanza ujitegemee utayajua haya.
Hata me kipindi naishi kwa dingi niliamini kama hivyo uaminivyo, ila nilipo kua, kuoa na kubarikiwa watoto, mawazo hayo sina tena.
Dogo hakuna kitu cha kinyonge kama kudaiwa kodi
Na unapokua na Nyumba yako, hatakama unakula ugali na mchicha kila siku, lakini unakua huna pressure za hapa na pale.
Kua kwanza ujitegemee utayajua haya.