Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

Masikini kuwaza kujenga nyumba ya kuishi ni umasikini pia

Manyanyaso ya nyumba ya kupanga ni kwa kapuku,siyo kwa mwenye hela,wewe unaye bangaiza kulipa kodi ya afu 50 kwa mwezi ni tofaut na yule anaye lipa laki 3 kwa mwezi. Pia tambua kuwa siyo kila aliye panga hana uwezo wa kujenga..ni malengo na vipaumbele
Ndio maana kwa sisi makapuku kujenga nyumba ni hitaji la muhimu sana.
Nyie ma taita huwa mnalala hata kwenye merikebu zenu.
Au Hoterini maisha yenu yote.
 
Kila mtu akijenga waliojenga nyumba za kupanga watazifanyia nini?

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Na wote wasipo jenga utaenda kupanga wapi?
Ww kama huna uwezo wa kujenga kaa kimia na sio kuja humu kubwabwaja na kuwaponda walio jenga hali yakuwa ww na familia yako wanaishi kwenye nyumba zao.
 
Na wote wasipo jenga utaenda kupanga wapi?
Ww kama huna uwezo wa kujenga kaa kimia na sio kuja humu kubwabwaja na kuwaponda walio jenga hali yakuwa ww na familia yako wanaishi kwenye nyumba zao.
Wewe hujamwelewa mtoa mada! Anamaanisha kujenga bila kuwa na uchumi wa uhakika ni Umasikini!
Mfano unajenga nyumba ya million 100 kwa kijibana unakaa humo lakini mifumo yako ya fedha ishaharibika utakomea kuishi maisha duni tu!
Lakini mtu akiwekeza hiyo hela na akaanza kujenga taratibu bila kuharibu capital yake ina maana atajenga na atamaliza nyumba yake akiwa na uchumi wake imara!
 
Watu wameidandia mada bila kuelewa vizuri
Unajua kusema kweli watanzania wengi hawana elimu ya fedha!
Kujenga sio vibaya ila kujenga tu bila kuimarisha misingi ya kifedha ni kitu hatari sana!
Mfano umepanga sehemu lakini mwenye nyumba anaishi maisha duni,kula anakula matembele daily pia ada za watoto zinasumbua kila siku kukopa fedha na usumbufu kibao!
Mimi naamini kabisa ukiwa na uchumi imara utajenga nyumba nzuri na bado uchumi wako utakuwa imara lakini haya mambo ya kujenga bila mipango kwanza ya kuwa na njia imara za maokoto hapana aese!
 
Wewe hujamwelewa mtoa mada! Anamaanisha kujenga bila kuwa na uchumi wa uhakika ni Umasikini!
Mfano unajenga nyumba ya million 100 kwa kijibana unakaa humo lakini mifumo yako ya fedha ishaharibika utakomea kuishi maisha duni tu!
Lakini mtu akiwekeza hiyo hela na akaanza kujenga taratibu bila kuharibu capital yake ina maana atajenga na atamaliza nyumba yake akiwa na uchumi wake imara!
Hizi kitu ni rahis kuzizungumza.. biashara... Kukuza kipato . Kuimarika ... Mm biashara iliyonipa hela nkajenga nakomaa hiyohiyo kwanza mpaka nimalize ujenz.

OVA.
 
Unajua kusema kweli watanzania wengi hawana elimu ya fedha!
Kujenga sio vibaya ila kujenga tu bila kuimarisha misingi ya kifedha ni kitu hatari sana!
Mfano umepanga sehemu lakini mwenye nyumba anaishi maisha duni,kula anakula matembele daily pia ada za watoto zinasumbua!
Mimi naamini kabisa ukiwa na uchumi imara utajenga nyumba nzuri na bado uchumi wako utakuwa imara lakini haya mambo ya kujenga bila mipango kwanza ya kuwa na njia imara za maokoto hapana aese!
Ukijenga unajipa ubaba mwenye nyumba. Kodi yako kila mwezi unjilipa mwemyew, tayari ushajipa chanzo cha mapato yako.

Muhimu ni kujiwekea mkataba urafiki usije ukajigombanisha wewe mwemyew kama baba mwenye nyumba na mpangaji (kwa wakati mmoja)
 
Unajua kusema kweli watanzania wengi hawana elimu ya fedha!
Kujenga sio vibaya ila kujenga tu bila kuimarisha misingi ya kifedha ni kitu hatari sana!
Mfano umepanga sehemu lakini mwenye nyumba anaishi maisha duni,kula anakula matembele daily pia ada za watoto zinasumbua kila siku kukopa fedha na usumbufu kibao!
Mimi naamini kabisa ukiwa na uchumi imara utajenga nyumba nzuri na bado uchumi wako utakuwa imara lakini haya mambo ya kujenga bila mipango kwanza ya kuwa na njia imara za maokoto hapana aese!
Sahihi
 
Yaani masikini anayeteseka akiwa kwake ni mjinga kuliko masikini anayeteseka akiwa kapanga? Upuuzi mwingine hauna maana.

Inshort, baba mwenye nyumba masikini ni tajiri kuliko baba mpangaji masikini sababu yeye na umasikini wake aliweza kuhifadhi akajenga.
 
Hizi kitu ni rahis kuzizungumza.. biashara... Kukuza kipato . Kuimarika ... Mm biashara iliyonipa hela nkajenga nakomaa hiyohiyo kwanza mpaka nimalize ujenz.

OVA.
Biashara zipo nyingi unaweza kuwa na eneo lako ukaanzisha ufugaji wa kuku na mifugo mingine then biashara ikimama unaanza kujenga!
Mwisho wa siku nyumba ya kukaa tu haiwezi kukutoa kwenye umasikini hapo ni kuwa na uhakika pa kulala ila maisha yanahitaji fedha nyingi sana!
Tujenge ila tusijisahau kutengeneza mifumo ya fedha kadri umri unavyoonda!
Kama uwezo wako mdogo nashauri tengeneza michirizi ya feha anza kujenga pole pole kwa faida ndogo ndogo unayopata!
 
Yaani masikini anayeteseka akiwa kwake ni mjinga kuliko masikini anayeteseka akiwa kapanga? Upuuzi mwingine hauna maana.

Inshort, baba mwenye nyumba masikini ni tajiri kuliko baba mpangaji masikini sababu yeye na umasikini wake aliweza kuhifadhi akajenga.
Kaka sio wote wenye nyumba wanaishi maisha mazuri the Same to wapangaji!
Mwenye nyumba na aliyepanga wote wanahitaji vitega uchumi imara!
Wanaouzaga nyumba sio wajinga kuna kitu huwa hakiko sawa kiuchumi!
 
Unajua kusema kweli watanzania wengi hawana elimu ya fedha!
Kujenga sio vibaya ila kujenga tu bila kuimarisha misingi ya kifedha ni kitu hatari sana!
Mfano umepanga sehemu lakini mwenye nyumba anaishi maisha duni,kula anakula matembele daily pia ada za watoto zinasumbua kila siku kukopa fedha na usumbufu kibao!
Mimi naamini kabisa ukiwa na uchumi imara utajenga nyumba nzuri na bado uchumi wako utakuwa imara lakini haya mambo ya kujenga bila mipango kwanza ya kuwa na njia imara za maokoto hapana aese!
Kujenga ni sahihi katika hali yoyote ile. Ukikosa yote utarudi kula hayo matembere uliyopanda nje kwako. Sasa huna kodi hizo tembere utachuma wapi? Stand za mabasi?

BINAFSI NAONA NI SAHIHI SANA, KAMA UNA KAENEO KAKO NA UNA KAAKIBA KANAKOTOSHA KUSIMAMISHA HATA CHUMBA, SIMAMISHA KWANZA HALAFU NDO TAFUTA PESA NYINGINE ZA BIASHARA. KAMA UNAPENDA SANA BIASHARA KULIKO NYUMBA BASI FANYA KAMA HIYO PESA ULIIPELEKA KWENYE BIASHARA MTAJI UKAKATA HIVYO UNAANZA UPYA ILA ULIIJENGEA.
 
Yaani masikini anayeteseka akiwa kwake ni mjinga kuliko masikini anayeteseka akiwa kapanga? Upuuzi mwingine hauna maana.

Inshort, baba mwenye nyumba masikini ni tajiri kuliko baba mpangaji masikini sababu yeye na umasikini wake aliweza kuhifadhi akajenga.
Utajiri gani wa baba mwenye nyumba masikini? Atazikwa na hiyo nyumba?
 
Kaka sio wote wenye nyumba wanaishi maisha mazuri the Same to wapangaji!
Mwenye nyumba na aliyepanga wote wanahitaji vitega uchumi imara!
Wanaouzaga nyumba sio wajinga kuna kitu huwa hakiko sawa kiuchumi!
Mkuu, huna uchumi imara ila una pa kulaza fuvu vs huna uchumi imara na huna pa kulaza fuvu kipi bora?
 
Utajiri gani wa baba mwenye nyumba masikini? Atazikwa na hiyo nyumba?
Hawa wanataka kutuaminisha kujenga nyumba ndo kuwa na maisha mazuri!
Mimi nasema kuwa na vitega uchumi vya uhakika ndo kuwa na maisha mazuri!
Tupo wote mtaani kuna wenye nyumba kibao bado wa madeni na mikopo isiyolipika mpaka nyumba zinauzwa!
Mifumo ya fedha lazima tujitahidi kutengeneza maisha ni fedha na fedha ni maisha!
 
Maisha ni unapokuwa hai. Achana na makaburi boss.

Sasa upo hai, masikini, huna nyumba vs upo hai masikini na huna nyumba. Hali ipi ni bora?
Nachomaanisha masikini kama unaona kabisa huna kipato cha kuanzisha ujenzi basi hicho kidogo peleka kwenye msosi, mavazi na mengine huku ukiendelea kuimarisha vyanzo vya pesa. Vyanzo vikiruhusu Jenga.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom