Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Wewe ulizaliwa kwenye Meli sio.Wewe kapuku upanue vyanzo vya kipato chako ili uwe taita pia,siyo kwenda kuzika pesa.
Kwangu mimi ni Nyumba kwanza.
Napambana narudi Nyumbani kwangu.
Mambo ya kukumbushana kodi kodi za Nyumba sio kipaumbele changu.
Nyumba ya mtu ni utumwa tu. Upo Nyumba ya kupanga umestarehe zako na familia yako mala Mwenye nyuma kaleta notisi ya uhame anataka kujenga Godown hapo.
Au kaiuza ukaonane tena na mmiliki mpya ambaye hataki kupangisha tena.
Unaanza kuhangaika na Madalali.
Jenga dogo pesa inatafutwa wakati wote.
Nyumba ni heshima kwa tunao jitambua. Familia inatulia sehemu nzuri uliyoichagua na kula maisha bila ya Bughudha za mama Mwenye Nyumba.
Kupanga ni fedheha kwa sisi watu wenye heshima zetu.