Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ni muhimu sana kujenga.point
Me nakumbuka msoto tulioupitia baada ya Mzee kufariki hivyo kutakiwa kuondoka kwenye kota za Serikali tulizokuwa tukiishi.
Bi mkubwa alichanganyikiwa sana maana familia ilikuwa kubwa na Mzee hakuwa amejenga hadi anapatwa na umauti