Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

Masikini mwana MMU mwenzetu. Je, atapona kweli leo?

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Kuna taarifa ya kuuzunisha nimeipata muda huu kutoka Morogoro, Kihonda kwamba memba mwenzetu kafumaniwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya jamaa.

Nimeambiwa kwamba kumbe mwenye mke alimtegea muda mrefu tu sana na leo kanasa mtegoni.

Nasikia memba mwenzetu kamiminiwa uji wa moto ndani ya viatu vyake na kakalishwa kwenye chungu cha moto.

Sina taarifa za kutosha kwani nipo mbali ya tukio mliopo Kihonda Bima hapo tupeni habari kamili maana nimeambiwa kimenuka kisawa sawa watu kibao.

Kazi kwenu wapenda wake za watu, mwenzenu ameshanasa huko bado wewe zamu yako na nina kuhakikishia utanasa tu usijione mjanja saaaaaaana.
 
Ajali kazini acha Katisha mabaharia
Cha mtu uliwa na mtu chuma tu ndo uliwa na kutu

Huyo mzembe hivi unashikwaje daah yaani unaenda mgonga mke wa mtu nyumbani kwake kwa mumewe hizo ni nyege au uchizi daah jamaa kajilipua vibaya ..au Hakuwa na hela ya guest na kumsafirisha
 
Ajali kazini acha Katisha mabaharia
Cha mtu uliwa na mtu chuma tu ndo uliwa na kutu

Huyo mzembe hivi unashikwaje daah yaani unaenda mgonga mke wa mtu nyumbani kwake kwa mumewe hizo ni nyege au uchizi daah jamaa kajilipua vibaya ..au Hakuwa na hela ya guest na kumsafirisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] only baharia wa kweli can understand this kind of therapy [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
taarifa kutoka kwenye moja ya vyombo vyetu vya habari ni kwamba aliyefumania ndio kapewa kipigo cha mbwa kok6
Kwahyo mwenye mke kapigwa na mkewe kaliwa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Daah jamaa sio baharia ameyumba kichizi mtoa Mada anasema kakalia sufuria ya maji ya moto sijui wanataka kuchemsha mapumbu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] only baharia wa kweli can understand this kind of therapy [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kama vile umekuja kuwananga hivi. Kama hakuna hiyo taarifa ila umekuja kuwapa hiyo habari kwa njia ya kikuda. Halafu siku hizi hayo mambo siku hizi ni ya kawaida sana. Mke wa mtu kugongwa ni kawaida sana. Ni 80% ya wanaume (utafiti usio rasmi) wanagonga hicho kitu
 
Lazima uwe na nguvu ukizubaa unaliwa kimsamvu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mke wa mtu siku hz haliwi mkoa husika au wilaya huwa Ni mbali Sana Tena Sana na Ni mipango ya muda mrefu Sana yaani unamtoa dar unaenda mla Moro unamtoa Moro unaenda mla Dom chap anarud
 
mimi nlikua namla mke wa mtu anatako balaa..na alisema mboo ya jamaa yake haimkuni..hivo nikawa najipigia tu...nikaanza kumfanyisha mazoez ili awe sexy na tumbo lipungue .basi sku iyo jamaa katukuta..demu anafanya mazoez nliomwambia na mimi niko napga mazoez yangu...mamaaee izo zoez nlizokua napiga ni hatari,,kumbe jamaa alikuja na kisu ila alivoona mi mwenyewe mnyama katika martial arts ikabid anywee na akaanza kusema inakuaje mke wake anapgavtzi na hakuomba ruhusa..nkamwambia mi hainihusu na nlifanya nlivoombwa..hivo wakajadiliane kwao...Sasa na yule mke wa mtu nikamuacha baada ya kujua mwenye mke anaweza kukuuumiza bila ata kukugusa...KUBWA ZAIDI saiv kuna watu na wake zao wanafanya michezo ya kupora riziki za watu,,yani anakuacha utembee na mke wake hata mkiwa kumi,,ila unavokojoa ndivo riziki yako inavohamia kwake,inakua unamtaftia hela yeye bila kujijua..hivo unakuta hupati hela kama unavofanya kazi,kumbe tego uliliingia kwa mke wa mtu la kugawa riziki yako kwa mme wake...saiv wake za watu sitaaakiii
 
mimi nlikua namla mke wa mtu anatako balaa..na alisema mboo ya jamaa yake haimkuni..hivo nikawa najipigia tu...nikaanza kumfanyisha mazoez ili awe sexy na tumbo lipungue .basi sku iyo jamaa katukuta..demu anafanya mazoez nliomwambia na mimi niko napga mazoez yangu...mamaaee izo zoez nlizokua napiga ni hatari,,kumbe jamaa alikuja na kisu ila alivoona mi mwenyewe mnyama katika martial arts ikabid anywee na akaanza kusema inakuaje mke wake anapgavtzi na hakuomba ruhusa..nkamwambia mi hainihusu na nlifanya nlivoombwa..hivo wakajadiliane kwao...Sasa na yule mke wa mtu nikamuacha baada ya kujua mwenye mke anaweza kukuuumiza bila ata kukugusa...KUBWA ZAIDI saiv kuna watu na wake zao wanafanya michezo ya kupora riziki za watu,,yani anakuacha utembee na mke wake hata mkiwa kumi,,ila unavokojoa ndivo likizo inavohamia kwake...saiv wake za watu sitaaakiii
Sijakuelewa hapo kweny likizo embu fafanua
 
Back
Top Bottom