Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
-
- #21
bora hata angekuwa popo bawa, kwa upumbavu ule sitaki kabisa mazoea....bora waendelee kuniona eti mimi najifanya wajuu au najiona.itakuwa kuna masikini amejifanya popo bawa akamfata jamaa akamananii so limemkwaza akaona aje aanzishe na uzi humu...π
Labda alianika samaki nje akaange mangapulila wakamkwapilia .....Mbona umeandika kwa jazba wamekufanya nini
bora tu iwe hivyo mkuu potelea mbali..mimi mimi mimi hilo ndio tatizo lako labda , β¦
Labda alianika samaki nje akaange mangapulila wakamkwapilia .....Mbona umeandika kwa jazba wamekufanya nini
Labda alianika samaki nje akaange mangapulila wakamkwapilia .....Mbona umeandika kwa jazba wamekufanya nini
ni laana mkuu.Umasikini nauona kama laana tu
kabisa mkuuUsimfanye maskini kuwa rafiki yako
Yaani mtu kila ukimuona anahitaji tu huyo ni laanani laana mkuu.
Nakazia unaambatana na umafakuNiliendekeza urafiki na maskini mmoja(alifikuzwa kazi ya ulinzi) akawa anashinda ghetto kwangu, namsaidia chakula na mahitaji mengine, hatimaye akaniibia TV, simu, pasi, hela laki moja na nusu,subwoofer na vitu vingine vidogo_vidogo. Baada Ya uchunguzi na mahojoano kwa kina akakiri kuwa aliviiba.
UMASKINI UNAAMBATANA NA USENGE
ombaombas...mtu ana mikono na miguu na macho mawili na afya njema, anavuta pumzi ya bure lakini bado hataki kujitutumuaYaani mtu kila ukimuona anahitaji tu huyo ni laana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaaLabda alianika samaki nje akaange mangapulila wakamkwapilia .....
mimi kuna mmoja nilimuokota msikitini ni shehe ubwabwa na kanzu yake chakavu iliyofubaa, nikamuonea huruma nikampeleka kwangu, kula bure, kulala bure na mpaka na nguo nilikuwa nampa cha ajabu nikiondoka kwenda kwenye harakati zangu akawa ananisnich kwa mama mwenye nyumba yaani mpaka siku naamua kumtimua alikuwa ameniharibia pakubwa....Nakazia unaambatana na umafaku
Ni tabia mbaya sana ambayo inawafanya waifanye kazi ya kila sikuombaombas...mtu ana mikono na miguu na macho mawili na afya njema, anavuta pumzi ya bure lakini bado hataki kujitutumua
Ishanikuta hiyo Kuna kamdada nakaaga nacho jirani nikitokaga visiwani namleteaga tusamaki Sasa siku nimerudi nimeziandaa nimeanika ...nimeenda dukani narudi nakuta mtu anakaanga dooh.... Halafu akagawa vipande pasu Kwa pasu..wakati mi nimepiga hesabu za kutafuna samaki wiki nzima ni yale masangara makubwa mabondoless....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa
huyo mlikuwa mnajuana....au ulikuwa unakula mzigo kiskuti.....Ishanikuta hiyo Kuna kamdada nakaaga nacho jirani nikitokaga visiwani namleteaga tusamaki Sasa siku nimerudi nimeziandaa nimeanika ...nimeenda dukani narudi nakuta mtu anakaanga dooh.... Halafu akagawa vipande pasu Kwa pasu..wakati mi nimepiga hesabu za kutafuna samaki wiki nzima ni yale masangara makubwa mabondoless....
sema masikini hawapendani hasa hao wanaoishi kajampa nani.Nin kimekukuta,
Inakuaje maskini hampendan?
silagi mangapulila mimiLabda alianika samaki nje akaange mangapulila wakamkwapilia .....