Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Nyie masikini nimeshawaambia siwahitaji pm maana nawaona mnavyojaa kuomba pesa nimeshasema ukioniona barabarani ndio uniombe pesa mmesikia nyie masikini sitaki mtu pm tafadhali mnaanza kulialia shida zenu tafuteni hela muwe kama Mimi mtoto mdogo miaka 28 ila pesa nyingi huwa nashangaa jitu Zima ila pesa halina limejaza ndevu tu tafuta hela tutawalia wake zenu sana
 
Back
Top Bottom