Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Nyie masikini nimeshawaambia siwahitaji pm maana nawaona mnavyojaa kuomba pesa nimeshasema ukioniona barabarani ndio uniombe pesa mmesikia nyie masikini sitaki mtu pm tafadhali mnaanza kulialia shida zenu tafuteni hela muwe kama Mimi mtoto mdogo miaka 28 ila pesa nyingi huwa nashangaa jitu Zima ila pesa halina limejaza ndevu tu tafuta hela tutawalia wake zenu sana
Kajifunze kuandika
,hata na kuacha nafasi
 
niny nao mnao angaika kubishana na huyu ntu mnaonekana dish limegumba kama mtoa mada
 
Huyu jamaa kama sio tapeli bali anatatizo kubwa la akili now anatakiwa kuwa mirembe
 
Back
Top Bottom