Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta helaTajiri vipi wife alipona vidonda vya tumbo? Au bado anakula wali mkavu na ndizi
Nile ban nitulie saiv anaruka comment zangu sijui tayari kabeba na ujamwepesi wa chifu akiniona kichefuchefMbona maneno magumu sana😬😬😂😂🙌,.
Tafuta helaNile ban nitulie saiv anaruka comment zangu sijui tayari kabeba na ujamwepesi wa chifu akiniona kichefuchef
Tajiri vipi wife alipona vidonda vya tumbo au bado anakula wali mkavu na ndizi?Nyie masikini nimeshawaambia siwahitaji pm maana nawaona mnavyojaa kuomba pesa nimeshasema ukioniona barabarani ndio uniombe pesa mmesikia nyie masikini sitaki mtu pm tafadhali mnaanza kulialia shida zenu tafuteni hela muwe kama Mimi mtoto mdogo miaka 28 ila pesa nyingi huwa nashangaa jitu Zima ila pesa halina limejaza ndevu tu tafuta hela tutawalia wake zenu sana
Tafuta helaTatizo la afya ya akili ni kubwa nowdays
Tafuta helaTajiri vipi wife alipona vidonda vya tumbo au bado anakula wali mkavu na ndizi?
Tafuta helaWeka screenshot ya walivyojaa PM, vinginevyo hii ni chai.
Hahaaaaaa, alafu nikishaitafuta? Hutupati humu ng'oooooo sana tukupige wewe.Tafuta hela
Tafuta helaHahaaaaaa, alafu nikishaitafuta? Hutupati humu ng'oooooo sana tukupige wewe.
Tafuta helaNjaa mbaya jamani vijana tutafute kazi za maana za kufanya hii nayo eti ni nyezo ya mtu kuseti watu apate chochote kitu kwa njia ya utapeli
Unajifungua lini tukuletee vitengeTafuta hela
Dogo kaja kwa pupa, ngoja tumshughulikie kama tulivyokushughulikia. 😀😀😀😀😀Hahaha cheka balaa
Tafuta helaUnajifungua lini tukuletee vitenge
Tafuta helaDogo kaja kwa pupa, ngoja tumshughulikie kama tulivyokushughulikia. 😀😀😀😀😀
Hapa kajichanganya.
🚮Tafuta hela
Niuzie madafu wewe Masikini