Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Masikini siwataki pm maana naona mnajaa kuomba hela

Nyie masikini nimeshawaambia siwahitaji pm maana nawaona mnavyojaa kuomba pesa nimeshasema ukioniona barabarani ndio uniombe pesa mmesikia nyie masikini sitaki mtu pm tafadhali mnaanza kulialia shida zenu tafuteni hela muwe kama Mimi mtoto mdogo miaka 28 ila pesa nyingi huwa nashangaa jitu Zima ila pesa halina limejaza ndevu tu tafuta hela tutawalia wake zenu sana
We jamaa na huku upo khaa!! 😕😕
 
Kwa kweli kwa mabalaa ya pesa ya huyu mwana its either you hate or be inspired....vinginevyo mtu akuje hapa na ushahidi wa hzi tuhuma mnazompa......
 
Back
Top Bottom